Rwabugonzi
Member
- Sep 27, 2020
- 70
- 125
Huku katika upinzani, watu tulishazowea kujitolea, hakuna Lori wala basi la kusomba watu kujaza watu mikutanoni. Hivyo hivyo katika usimamizi wa kura, tutajitolea kwa hali na mali kulinda kura za wagombea wetu. Anayedhani kuwa kutakuwa na mteremko wa kuiba kura za upinzani pole yake.Siasa ni gharama kwa hiyo ili chama cha siasa kiweze kufanikisha malengo yake lazima wanachama na wafuasi wake wajitolee kwa hali na mali....
Uzalendo ni kujitoleaNiliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Mipango haijawahi kuwa UkataZile ndoo nyeupe mnazochangishia pesa,alafu hata mabango ya Lissu hamjachapisha.
Hata huku Rchuga.hata mgombea udiwani mtaa wetu toka kampeni zimeanza Jana ndo namuona kwa Mara ya pili.afu chadema wamejipanga sana kama sio nyie kuwazuia kukodisha chopa kampeni zote zilikuwa zipigwe kwa chopa.hvi unajua kukodisha chopa kwa siku ni milioni ngapi mkuu.Wapi huko?
Tandika Mwembeyanga hakuna swaga mbona !Swaga za kwenye kitchen party peleka kwenu uswahilini.
Hatuhitaji ruzuku. Mimi mwenyewe nimejitolea mawakala wote wa kata yangu nawalipa. Na siyo hela ya kijinga. Siyo kila kitu maccm mjue. Nyie mmetuibia hela za kodi zetu mnatumia kufanya ushenzi wenu. Sisi kuna watu hamuwaoni lakini wanatusapoti.Siasa ni gharama kwa hiyo ili chama cha siasa kiweze kufanikisha malengo yake lazima wanachama na wafuasi wake wajitolee kwa hali na mali...
Zanzibar wao wamekuja na hii,Hatuhitaji ruzuku. Mimi mwenyewe nimejitolea mawakala wote wa kata yangu nawalipa. Na siyo hela ya kijinga. Siyo kila kitu maccm mjue. Nyie mmetuibia hela za kodi zetu mnatumia kufanya ushenzi wenu. Sisi kuna watu hamuwaoni lakini wanatusapoti.
Viongozi wenu jana wameridhia mgombea wao kusitisha kampeni, kwahiyo wamekubaliana na huu uonevu?Ikumbukwe kabla ya kwenda Iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lissu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa ccm
kwhiyo unakiri kwamba uswahilini hakuna swaga , ila uliposema nipeleke swaga uswahili uliboronga .Kwa maneno uliyoandika nilijua tu ni mitaa hiyo.
Wapo wanajiliwaza tu humu...Acha uongo wewe kenge.
Katibu wako mkuu keshaona hali si hali hukuEndelea kuota mkuu! View attachment 1591163
CHADEMA ina wafia Chama vijana kibao watafanya bureSiasa ni gharama kwa hiyo ili chama cha siasa kiweze kufanikisha malengo yake lazima wanachama na wafuasi wake wajitolee kwa hali na mali...
Ruzuku za CHADEMA anawekeza kwenye miradi yake huku chama kikiwa hohehahe.Yani imefikia hatua ACT Wazalendo ina mabango mengi kuzidi CHADEMA!
Mbowe siyo mtu mzuri kabisa, ruzuku yote sikui kaipeleka wapi?