Kwa Ule Mjengo wa Boniface Jacobo: Hakuna Polisi Mwenye Uwezo wa Kujenga

Umejipanga?
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma Kwa cheo cha hao Maaskari wanaotumwa kukamata, huwezi kumiliki mjengo wenye ile level

Hata Maaskari wenyewe vyeo, labda wafikie level ya RPC ndiyo pengine wakaweza, tena hapo ni baada ya kukopa sana kwenye Mishahara yao pamoja na Saccos za Jeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…