We jamaa acha kudharau Dola...Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma
Akhsante Kwa ushauri mzuriJenga yakupangisha!
Hoja yako ya kishamba sana , ndio maana wapinzani mnaonekana wajinga ...Hao CCM wana mijengo mpaka DubaiMbona umeandika Kwa uchungu sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Ccm ni wezi hiyo mijengo ni pesa za wananchi masikini inajulikana Sasa ya bon yai hiyo ni nyumba ya mpambanaji vipi wewe unayo pamoja na uchawa wako Kwa ccm🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hoja yako ya kishamba sana , ndio maana wapinzani mnaonekana wajinga ...Hao CCM wana mijengo mpaka Dubai
Hatari sana aiseeDaaha jamaa kajenga kwa kuuza mayai tuu aisee...!
Hilo lililotoboka mgongonihata yeye hana shati kama nililovaa mimi 🤣
utoto bana dah 🤣
hapana, hili lenye zipu begani 🤣Hilo lililotoboka mgongoni
Waandamaji wajinga wa Chadema wajifunze hapoJana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma.
Na Mimi NI Ex-Mayor?Wewe umejenga kama huo?
ImeshawekwaIkiwa uzi huu haujaambatanishwa na ushahidi wa picha!
Naomba uongozi waufute tuu.
Sasa kumbe sio ecmx mayor basi huna unalolijua kuhusu malupulupu nikajua ulishawahi kua meya🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na Mimi NI Ex-Mayor?
Vipi wewe ambae sio muandamanaji unao kama huo MJENGO au ndio unasubiri kifo mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waandamaji wajinga wa Chadema wajifunze hapo
Mwenzao boni yai akianzisha vurugu pesa zinaingia toka kwa mabeberu wao wanaambulia virungu tu vya polisi hawapati hata tofali moja la kujenga banda la kuku
We ndio mbunge mtarajiwa sio 😂hapana, hili lenye zipu begani 🤣
Hahaha ni hatariKuna mmoja alijipiga na selfie akatambie kwenye status whatsapp na fb 😃
Duh ngoja waje 😄Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma.
Hebu fikiria unakaa kwenye mabanda unatumwa kwenda kukamatahata yeye hana shati kama nililovaa mimi 🤣
utoto bana dah 🤣