Akienda kuziomba rais hawawi mabeberu wanakuwa wahisaniWaandamaji wajinga wa Chadema wajifunze hapo
Mwenzao boni yai akianzisha vurugu pesa zinaingia toka kwa mabeberu wao wanaambulia virungu tu vya polisi hawapati hata tofali moja la kujenga banda la kuku
Hahaha sijawahi ona hiyoDuh ngoja waje π
Ila wapo polisi wengine wako
Njema
Ova
Raisi Anaziomba kufanyia miradi ya maendeleo ya wananchi haziombi kuanzishia fujo na maandamanoAkienda kuziomba rais hawawi mabeberu wanakuwa wahisani
Mbona hamna maendeleo anayofanya sasaRaisi Anaziomba kufanyia miradi ya maendeleo ya wananchi haziombi kuanzishia fujo na maandamano
Treni ya mwendo kasi sio maendeleo? Macho huna au?Mbona hamna maendeleo anayofanya sasa
Sio maendeleo hayoTreni ya mwendo kasi sio maendeleo? Macho huna au?
Maendeleo ni maandamano ?Sio maendeleo hayo
sio mbunge tu,We ndio mbunge mtarajiwa sio π
NdioMaendeleo ni maandamano ?
Mada yako inapotosha muelekeo wa kumpigania mhusika. Hili suala la nani ana hela zaidi ni nje ya hoja ya kumpigania mtuhumiwa. La sivyo Polisi wanaweza kumuongezea tuhuma nyingine ya hujuma ya uchumi wakimtaka aeleze wapi alipopata hela za kujenga nyumba kama hiyo wakati wewe mwenyewe unakiri kwamba kwa mshahara tu, kama walivyo polisi, mtu hawezi kuwa na jumba kama hilo.Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma.
Chawa nani kakuambia polisi wanamuweza huyo jamaa polisi wanamuogopa hatari na hawawezi kumfanya loloteMada yako inapotosha muelekeo wa kumpigania mhusika. Hili suala la nani ana hela zaidi ni nje ya hoja ya kumpigania mtuhumiwa. La sivyo Polisi wanaweza kumuongezea tuhuma nyingine ya hujuma ya uchumi wakimtaka aeleze wapi alipopata hela za kujenga nyumba kama hiyo wakati wewe mwenyewe unakiri kwamba kwa mshahara tu, kama walivyo polisi, mtu hawezi kuwa na jumba kama hilo.
Na wale jamaa walivyokuwa dokodoko sijui kama ndani vitu vimeponaChawa nani kakuambia polisi wanamuweza huyo jamaa polisi wanamuogopa hatari na hawawezi kumfanya lolote
Hahaha π€£π€£π€£π€£Na wale jamaa walivyokuwa dokodoko sijui kama ndani vitu vimepona
Ova
hakuna anaemtumikisha mwingine nchi hii..Nyie ndy mnawaza kiumaskini,mnafanya hao mnaowatumikisha waishi kimaskini
Ova
Nyie si mnaishi kwa uchawa sifiasifia mkono unaenda kinywanihakuna anaemtumikisha mwingine nchi hii..
kua maskini au tajiri ni uamuzi binafsi ndrugu yangu mrangi
nini hakuna humu nchini hata uwe maskini kwa mfano? ni vizuri kuepuka uvivu na kutumia fursa zilizopo kujiondoa katika fikra na mawazo ya kimaskini..
Tanzania ni Tajiri Mno bana π
mie si nyumbu wala hiyo ingine.Nyie si mnaishi kwa uchawa sifiasifia mkono unaenda kinywani
Ila siyo mbaya kama umeona ndy utafutaji
Ova