Unapoteza muda vipi? Nchi lazima iwe na wataalamu wa fani zote, unajua sisi wa Africa kutokana na ugumu wa maisha tunaamini elimu ni ajira, lengo la elimu ni kutengeneza wataalamuKama mtu anaweza akajiajiri katika fani ambayo hajasomea, kwanini tunapoteza muda huko vyuoni?
Mkuu umemaliza kila Kitu ,ubarikiwe sanaNadhani ziachwe tu! Kwa sababu zipo ili kupanua wigo kwa watoto wetu angalau wapate degree za kuwaletea heshima kwenye jamii kwamba nao wamesoma! Watapata kazi wapi hiyo watajua wenyewe na wazazi wao.
Na matatizo mengi ya Public Finance Managmnet yako kwenye procurement.Cha kumsaidia tu asilimia 70 ya bajeti ya Tanzania inahusu procurement peke yake
Hahahaaaaaa, mkuu, sasa mtaalam wa Petroleum Engineering anaendesha Bajaj kijiwe kimoja na yule wa kidato cha sita, huyo mtaalam ana faida gani kwa taifa?Unapoteza muda vipi? Nchi lazima iwe na wataalamu wa fani zote, unajua sisi wa Africa kutokana na ugumu wa maisha tunaamini elimu ni ajira, lengo la elimu ni kutengeneza wataalamu
Asante kwa taarifa. All in all, procurement haisaidii self employment kwa fresh graduates.Na matatizo mengi ya Public Finance Managmnet yako kwenye procurement.
Wanakuwa tofauti Sana, fanya researchHahahaaaaaa, mkuu, sasa mtaalam wa Petroleum Engineering anaendesha Bajaj kijiwe kimoja na yule wa kidato cha sita, huyo mtaalam ana faida gani kwa taifa?
Tukizungumzia uhalisia wa mambo hasa sekta ya taaluma, bado tunachanga moto kubwa mnoo. Course nyingi zinaanzishwa kwetu lakini hazitumiki ipasavyo.Mkuu, huyo jamaa inaonekana ni mnufaika wa hizi corrupt systems za Afrika. We seriously need to change.
Ndani yake unasoma kozi zinazokuwezesha ufanye self employment eg, entrepreneurship, strategic management, financial accountingAsante kwa taarifa. All in all, procurement haisaidii self employment kwa fresh graduates.
Store anafundishwa mwanafunzi anaesoma accounting kuna topic kabisa na ipo deep Sana procurement ifutwe hii courseMbona wanauhitaji sana mkuu. Mtu wa store anayecheza na stock ya store ni muhimu sana eneo lolote ambapo kuna store kama hotelini, mgahawa, gereji, hospital, popote pale ambapo kuna store.
Uko sahhi San ingefundishwa kwa watu wa account au wale engineering wapate hyo Kaz Tena iwe very short sana haina maana nikisikia mtot anasoma procure au education natamani nimuambienkuwa aende hata veta tu akajifunze ufundi simu na ufundi uwashi au umeme wa manyumbani atapiga pesaa mnooBaadhi ya vyuo Duniani vimekuwa vikifanya mabadiliko ya mitaala na kufuta ama kuachana na fani ambazo haziendani na wakati.
Bado najiuliza, kwa Dunia ya sasa fani ya Procurement inafundishwa vyuoni kwa sababu gani? Ni fani ambayo haina umuhimu wowote kwa karne hii ya 21.
Mtoto akisoma Procurement basi umuhimu wake ni aajiriwe Serikalini zaidi ya hapo fani haina umuhimu wowote,na haina msaada wowote kwa mhitimu. kwanini iendelee kufunishwa vyuoni?
Hii fani ilipaswa kuwa sehemu ya course za watu wanaosoma finance/accounts lakini sio kuwa independent course.
Wakati tunafanya mabadiliko ya mitaala ya elimu, tusisahau ya vyuo vikuu. Vyuo wao wanachotaka ni hela tu kwa kuanzisha fani sizizo na maana yoyote ambazo hazina msaada kwa wahitimu.
Fani ya Procurement inapaswa kufutwa. Mzee Kishimba aliwahi kuuliza, mtu anasoma fani ya manunuzi ananunua nini?
Vipi kuhusu mining engineering, petroleum engineering, civil engineering, accountancy, taxation, public relations, nk wao wanajiajiri vipiBaada ya kusoma mada na kutafakari kwa kina, ninaunga mkono hoja kwa 100%, hiyo kozi ya Procurement and supplying kwa sasa inapaswa ifutwe kabisa hapa Tanzania kwenye vyuo vyetu. Haina maana yoyote kijana asiyekuwa na Connection ya wakubwa serikalini ya kuja kumpa ajira.
Sasa kwa Nini accounting ndo isifutwe?Store anafundishwa mwanafunzi anaesoma accounting kuna topic kabisa na ipo deep Sana procurement ifutwe hii course
Sikubaliani na wewe kwa sababu, hayo yanaonekana yanawezekana kutokana na mfumo wa mazingira yetu, mfumo wa maisha usio rasmi.Ni kweli, Kuna watengeneza simu ambao hawajawahi kugusa hata darasa, Kuna watu wanafanya wiring vizuri Sana, na mambo mengine yanayohisisha fani ya electrical engineering licha ya kwamba hawajawahi kanyaga darasa, Kuna watu wanatengeneza ramani za nyumba na hawajawahi kugusa darasa la architecture, Kuna watu ni watumiaji na mafundi wazuri tu wa computer na hawana hata degree ya it, au computer science kwa hiyo nikusahihishe tu kwamba chochote kinaweza fanywa na yoyote tu
[emoji16][emoji16] una machungu either wewe ni supplier ulinyimwa tender, acha watu wapige 10%Procurement and Supply ilipaswa kuwa ni subcourse kwenye kozi zingine kulingana na kada husika na sio kuwa kozi kamili ya kuisomea na kupewa degree.
Wale tulio Soma nao ss wengi wao Ni maafsa mikopo wa hz taasis za mitaani na unamkuta mtu Ana mpk hyo board yao lkn wapi mzingo umegomaa mazima kwa nch za kiafrica hyo coz Ni big nooMkuu, hayo makampuni makubwa yapo Ulaya na Marekani. Kuna baadhi ya kozi ni irrelevant kabisa na mazingira ya Tanzania
Soma mada na kuelewa, usikariri ndugu. Mleta mada amekuja kuzungumzia kozi moja mahususi ya Procurement and Supply. Zipo kozi nyingi za ovyo na zisizo na kichwa wala mkia hapa Tz kwa sasa, Procurement and Supply ni mojawapo katika hizo, tena huenda ni kinara.Vipi kuhusu mining engineering, petroleum engineering, civil engineering, accountancy, taxation, public relations, nk wao wanajiajiri vipi
Punguzenj chuki na watu wa procurement, ili kukufanya uendelee kuwa na machungu zaidi nj kwamba watu wa procurement wamezungukwa tu na pesa ,Procurement and Supply ilipaswa kuwa ni subcourse kwenye kozi zingine kulingana na kada husika na sio kuwa kozi kamili ya kuisomea na kupewa degree.