Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

Angerudi salama hawa ndo huwa wanasema " nilianza biashara na mtaji wa elfu 40
 
Ila watanzania mna upendo sana...mtu maarufu akiumwa mnamchangia..mdada kama huyu naye mnamchangia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…