Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ndio maana nikasema utendaji kazi huu wa mh Rais wetu umesha wachanganya Sana na Kuna uwezekano mkaogopa kuvuna aibu iliyo wazi kabisa baada ya kuonekana kuwa kwa Sasa mmekosa Sera na ajenda za kueleweka kwa wananchi
CCM sio chama cha siasa, kama mlitegemea wapinzani washiriki huo upuuzi ili wawajazie watu kisha mpore uchaguzi, basi mmeukalia. Hakuna mwanaume anayesimamisha vizuri atashiriki huo ukhanithi uitwao uchaguzi. Hivyo vyama vinaweza kushiriki, lakini sisi wapiga kura tumeshapuuza hilo zoezi.
Uchaguzi uko Kenya. Hapa kwetu machafuko tu ndio yatairejesha hii nchi kwenye mfumo sahihi wa kupata chama halali cha kukaa madarakani.l fullstop.