mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Kuna hii mentality kuwa wachaga ni wabahili Huwa bado hainiingii akili kabisa..labda mseme huo ubahili upo angle ipiUko sahihi sana Ndugu Yangu.
Wahaa ni Bahili sana Hapo, Mpare, mchaga aingii kwa Muha hao jamaa ni wabahiri sana
Naweza sema waha.
wanachuana na Muhindi kwa Ubahiri.
Kwamba uliliwa namuhaNilishawahi kupita na Muha .ila nilikuja kuwajua waha baadae ila jamaa alikuwa mstaarabu sana
Acha kukariri hapa tanzania hakuna kabila linatumia pesa kwenye kula bata namatumiz mengine kuzidi wachaga hio nadharia yakusema wachaga bahiri ni scamMkuu ubahiri ndio chanzo cha utajiri. Ndio maana wachaga, wapare na waha wanatoboa kimaisha kwa sababu ya ubahili wao. Huwezi kutoka kibiashara na kimaisha bila kuendekeza ubahairi mkuu.
Nyie aisee mmezidi ndugu zangu mnapenda Sana kuangalia kabila lenu Tu kwenye biasharaUsitufute sisi tu, futa na wasukuma, wahaya, wachaga mkuu.
Hili la uchafu nna ushahidi nalo....🙌🙌Kuna lingine umeacha, uchafu
Kwa hii comment yako, umeongea kitu cha umuhimu sana kwa namna rahisi. Nahisi pale usalama wa taifa kama hawana basi wanatakiwa kuwa na kitengo cha ku document behavior na character za makabila ili iwe rahisi kuwatambua wapi ni watanzania wapi sio.kitu nimegundua hao tunaowaona town tukawaita waha, si waha ni warundi.. muha ni mvivu, hapendi kuhama kigoma wala hapendi wahamiaji mkoani kwake, hajui kufuga wala kulima kazi zote anafanyiwa na mrundi ndo kama mtumwa make huku. nimejionea mengi wilaya ya kasulu vijijini
Ukifungua duka karibu yako umekwisha....Bei wanazopanga utasema wamekatwa kichwa....Mimi nafanya nao biashara Mimi nawauzia kwa jumla Ila nina reja reja pia.Kama ningekuwa na uwezo wa kufuta hili kabila ningelifuta aisee hawa jamaa Wana maisha ya kubagua Kwa kuangalia watu wa kabila Lao Tu..
Hilo nimeona Sana huku chamazi ambako nafanya biashara.
Kama unaishi na hao wajinga jitahid uende sehemu nyingine akafanye biashara usijichanganye ukafungua Duka huku walikuzunguka ni waha ambao wanauza bidhaa kama zako, hawa jamaa sio watanzania kabisaa
Uko sahihi sana Ndugu Yangu.
Wahaa ni Bahili sana Hapo, Mpare, mchaga aingii kwa Muha hao jamaa ni wabahiri sana
Naweza sema waha.
wanachuana na Muhindi kwa Uba
Ila hata hapa mtaani kwetu aisee watu wamejaribu kufungua maduka ya takataka ila wameishia kufunga TU...ni maduka ya waha TU ndo Yana surviveNinachowapendea waha na wachaga ni makabila pekee ambayo kijana ukimkabidhi Milioni 3 baada ya miaka mitano anakukabidhi 15M au na zaidi.
Vijana wa makabila mengine ukimpa milioni 3 baada ya Mwaka kauza hadi mbao za fremu. Sababu na visingizio kibao.
Hao watu wana hustle sana. iwe kwebye biashara hata kwenye Elimu hawana masihara.
Mademu wamekuwa wakijaribu kuwapa majina ya kuwatweza wanaponyimwa kuhingwa na kuwapa majina ya Ubahili, roho mbaya lakini hawajali na maisha yao yanainuka siku hadi siku.
Nimejifunza mbinu zao ziko sawa na waarabu na wahundi.
Aah wapi umejitahidi kujitetea tu ila ndio wanaume wanaoongoza kwa kutelekeza mke na watoto mkifuatiwa na wasukumaPole mkuu, waha ndio tulivyo nahio dhiki yakwetu ndio tunapambna nayo Ili tuboreshe maisha yetu. Hapana waha hawatekelezi familia bali tunaenda kutafuta huku tukiwa tumeacha familia nyumban, na Ili turudi nyumbani ni either turudi na pesa au irudi maiti.
Unanijua kunizidi mkuu angalia yasikuparamieHivi wewe chimbuko lako si Wilaya ya Ngara
hamna uspesho huuuuuooSisi ni bahili nahatutoe pesa hovyo, kwahio kama lengo ni kuhongwa hivyo hovyo kwetu sahau. Kama kula utakula kitachokuwepo lkn kupewa pesa Hilo sahau. Tunajua tukotoka na bahati nzuri zaidi tunajua tunataka kwenda wapi.
Kwakweli kwenye hilo wanaongoza nchi tena kwa mbaali, achana na watu wenye ujasiri wa kufulia kwenye sufuriaHili la uchafu nna ushahidi nalo....🙌🙌
Mkuu na dada yangu Kapeace wewe nikabila gani?.hamna uspesho huuuuuoo
Mnatuzushia waha, hatuna tabia ya uchafu. Sisi tupo kawaida hatuvai nguo za gharama maana hatuna uwezo nazo, lkn tuko smart na tunaoga nakupaka mafuta ya mgando/Nazi maana ndio uwezo wetu. Lakini kikubwa kuliko yote waha tunajua kuitafuta pesa awe mwanamke au mwanaume na niwavumilivu mno.Kwakweli kwenye hilo wanaongoza nchi tena kwa mbaali, achana na watu wenye ujasiri wa kufulia kwenye sufuria
Wahangaza huwa wananifurahisha sana, maana wao wanaongea Kiha lkn wanakata kwamba sio Kiha.Naye Mrundi tu huyu Kapeace maana ni Mhangaza