Ni umaskini uliokithiriVivo hivyo na ndugu zao warundi...burundi ni moja ya nchi ngumu mno kufannya biashara sababu ya wananchi wake kuwa ni wabahili kupitiliza. Biashara zao nyingi faida ni 10% na wanashindana kushusha bei ya vitu wanaishia kupata faida kiduchu
Ubahili, uchafu, ubishi, waongo, wagumu kutoa/kusaidia wanapenda kuomba, wakiazima kitu hawarudishi labda ufuate.Kuna lingine umeacha, uchafu
Haa Mkuu Wanazo Ngoja WajeHivi kuna "muha" mwenye simu janja?
😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂Ubahili, uchafu, ubishi, waongo, wagumu kutoa/kusaidia wanapenda kuomba, wakiazima kitu hawarudishi labda ufuate.
Sifa yao nzuri sana ni wachapakazi, wanajituma sanaa.
Watu wa kazi kazi kweli.
Wengi wao wanajiita waha takribani 80% ni warundi siyo waha watanzania halisi.
nakubaliSalaam
Nia ya uzi wangu sio kubeza wala kudhihaki mtu yoyote, ila natoa angalizo tu kwa mtu mwenye nia/ ndoto/ dhamira/ kusudi la kufanya biashara ajue anakabiliwa na mtihani mkubwa mbeleni.
Utafiti wangu umejikita mitaa ya Boko Chasimba, ambako Nina nyumba kadhaa za kupangisha na ninaona hali halisi ilivyo, kwani ni eneo lenye Waha wengi na ndio walifika mapema zaidi eneo hilo.
Waha hununua bidhaa kwenye maduka ya Waha wenzao. Hununua chakula kwenye migahawa ya Waha wenzao, pia ni wagumu sana kununua nyama.
Ukiwa na bucha huku utalaza nyama mpaka ukome. Waha sii walaji wa mahotelini. Huku Chasimba ukianzisha hata sehemu ya kitimoto, hupati mteja. Watu wanataka kwenda kwa Isaya ambaye anauza mapande ya kichwa cha nguruwe buku buku, maini ya nguruwe, mapupu, figo na utumbo wa nguruwe, kitu ambacho sijawahi kuona sehemu nyingine aina hiyo ya biashara.
Huku huwezi kufungua bar, jamaa ni mabahili hatari. Bia wanapenda ila kununua hawataki, wanakunywa Nipe Tano, Dabo Kiki, Sungura and the likes.
Huku kuna supu hadi ya shilingi Mia tano ya utumbo aina ya Msinjilo, utaipata kwa Mama Sumaiya.
Hizo pombe kali na zenyewe zinapimwa kuanzia Mia mbili na kuendelea. Pombe kama Scud na wanzuki ndio zimeshamiri.
Hakika kwa ninayoyaona, ni ngumu mno hawa wenzetu kujichanganya, ni wabishi sana na wajuaji.
Akitaka kuoa lazima arudi kwao, ukimpangisha nyumba yako ataharibu bomba atataka wewe ukarabati.
Tulakoze
Haa Safari Ya Dispensary Baada Ya Kula Sotojo, Masapta Ya AjabuUkiona maisha Magumu, tafuta rafiki Muha au ishi maeneo wanayoishi,
Kuna kipindi nilipigika baada ya kujichanganya, nikawa na jamaa yangu muha bingwa wa kubana matumizi, hio siku akanipeleka chocho la ugali na mboga kama nne hivi kwa tsh 300., Yes namaanisha mia tatu.., Sema baada ya kufika geto kulikua na safari nyingine ya kuitafuta dispensary
😅😅😅hawana mshipa wa aibu, eti utununulie nyumba nzima yani wale hata mke anaweza kukupa upige, akili yao iko taratibu mnoMTU Ana biashara kubwa tu, unamwambia twende tukale kitimoto tujadili mawili matatu, anasema sawa, Mnataka kwa ajili ya business talk, mnaagiza kilo Yenu , nusu chops, nusu ribs na ndizi nne.
Mnaongea issue mbalimbali za kibiashara, mnamaliza kula, kwa kuwa wewe (mimi) ndiye niliyeitisha/ niliyeonba kikao ninaletewe bill, inawekwa mezani kwenye glass, anairukia kusoma amount, naona sura yake imebadilika.
Muhudumu anakuja, ninamuomba nilipe kwa ku scan QR Code. Na tunaendelea kidogo na maongezi.
Ghafla jamaa anasema aisee, ungeagiza tu nusu kilo kwa ajili yako, hiyo hela ya nusu nyingine ungenipa, wakati mwingine vikao tuwe tunafanyia nyumbani kwangu, kitimoto utununulie nyumba nzima
Huwezi kuwatofautisha warundi na waha hao ni ndugu sema wametenganishwa na mpaka. Ni sawa na kusema 80% ya wakurya ni wakenya huu sio ukweliUbahili, uchafu, ubishi, waongo, wagumu kutoa/kusaidia wanapenda kuomba, wakiazima kitu hawarudishi labda ufuate.
Sifa yao nzuri sana ni wachapakazi, wanajituma sanaa.
Watu wa kazi kazi kweli.
Wengi wao wanajiita waha takribani 80% ni warundi siyo waha watanzania halisi.
Pole sana kwa changamoto hizoWaha ni wabinafsi sana kiasi kwamba kufanya kazi hapo ni lazima ujipange,, nilianzisha kazi moja na ile ofisi ilikua inakesha.... Walipiga makombora wakachoka wakaamua kuhamia kwenye uongo kikawa naripotiwa polisi nauza milungi yani heka heka niliamua kufunga maana kila siku ni mwendo wa kukaguliwa.
Wachaga sio bahaili ila wanakuaga na ujanja ujanja mwingi kwenye kusaka pesa..Niulize mimi nilikuwa Mkwe wa Rombo huko. Baba Mkwe Profesa, Mama Mkwe Lecturer SUA.
Mkiona watu wanafanikiwa kwao Ubahili sio tusi ni Jadi
Tatizo ni umaskiniVivo hivyo na ndugu zao warundi...burundi ni moja ya nchi ngumu mno kufannya biashara sababu ya wananchi wake kuwa ni wabahili kupitiliza. Biashara zao nyingi faida ni 10% na wanashindana kushusha bei ya vitu wanaishia kupata faida kiduchu
Pia wamejaa salasala,kinzudi na majengo goba.
Hili Hili La Tanzania Ama JingineWaha na wachina ni hatari kwa taifa.
Ni kweli Mtu aliyezaliwa Dar awe Mwanamke au Mwanaume ni watumiaji wazur na watoaji wazur siyo wagumu kwenye kutoa, Kimbembe awa wanaotoka mikoani yani ni wagumu kwenye kutumia pesa na kutoa pesa, kwasababu wamezaliwa na kukulia kwenye Mazingira ambayo hawajawai kuona Wazazi na ndugu jamaa na marafiki wakipeana pesa au kufanya matumizi ya pesa, yani wao ni kupewa pesa ya kusaga mahindi kwenye machine, Wao mambo ya Mzazi kumpa mtoto pesa ya shule hakuna wala shuleni watoto watumie pesa kinunua ice cream au kashata keki hakuna mambo kama hayo. Na wadau wanaosema pesa ya Mwanamke ngumu kuipata kweli lakini kwa Wanawake walikulia Maisha ya vijijini laki kwa waliozaliwa mjini ukiwakopesha pesa wanakulipa na ukiwakopa wana kupa.Aisee pole mkuu...kila jamii ina utamaduni wake wa matumizi. Kuna wanaotumia kidogo na wengine ni Watumiaji wazuri.
Fanya biashara kwenye maeneo yenye wenyeji wa Dar, wao ni watumiajia wazuri hawajui kujibana na hawachagui kabila au dini
Warburg sio wabahari ila hawana pesa na wengi wao waleviwapare na wachaga sio wabahiri, wabahiri na waha na wamburu