Kwa uzoefu wangu, sehemu zenye Waha wengi ni ngumu sana kufanya biashara

kitu nimegundua hao tunaowaona town tukawaita waha, si waha ni warundi.. muha ni mvivu, hapendi kuhama kigoma wala hapendi wahamiaji mkoani kwake, hajui kufuga wala kulima kazi zote anafanyiwa na mrundi ndo kama mtumwa make huku. nimejionea mengi wilaya ya kasulu vijijini
 
Hili nalo neno, red alert to immigration department
 
Daaa...aseee nmecheka kama chiz
 
Ukimkopesha muha mpaka utatoa machozi
 
Tunaingia kwenye ukabila taratiibu, mataifa yote ambayo ukabila na ukanda umekita mizizi, mijadara yake Huwa ni kama hii.
Hakuna kabila lisilo na mapungufu madogomadogo juu ya standards za kabila lingine. Hizo sifa zilizotajwa hapo juu Kwa mtu aliyetembea nchi hii zipo karibu kwenye makabila yote. Kusema kwamba hizo pombe ndio wametengezewa waha pekee.
Abstain from tribalism
 
Haha haha
 
Sas naona kuna kutupiana sifa za ubahiri.Kanda ya nyanda za juu kusin watu wana waghaya wakinga kwa ubahiri kichiz.Labda mtudadafulie makabira angalau matatu yanayo ongoza kwa sifa zifuatazo kwa pamoja ubahiri,uchoyo,ubinafsi na kujtenga.ikibid mtoe top ten kabsaa ili tufanye analysis kwa pamoja.
 
Please improve your writing skills
 
😅😅😅hawana mshipa wa aibu, eti utununulie nyumba nzima yani wale hata mke anaweza kukupa upige, akili yao iko taratibu mno
Wanawake waha waaminifu sana kwenye ndoa'.
Tatizo uchafu tu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…