Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Naunga mkono hoja
P
 
"Hali ya uchumi inakwenda vizuri Sana"

Baada ya mama kusema anapitia jamiiforums,Kuna nyuzi ukiziona tu unajua mwandishi anataka kusikia simu ya teuzi.

Yani mwigulu Leo amekuwa wa waziri Bora wa fedha kweli?

Sawa mama atauona huu uzi na ata-like.
 
Bora nikae kimya.....
JamiiForums-1144151357.jpg
 
"Hali ya uchumi inakwenda vizuri Sana"

Baada ya mama kusema anapitia jamiiforums,Kuna nyuzi ukiziona tu unajua mwandishi anataka kusikia simu ya teuzi.

Yani mwigulu Leo amekuwa wa waziri Bora wa fedha kweli?

Sawa mama atauona huu uzi na ata-like.
Kwani wewe unaonaje Mzee? Mwigulu ndio Waziri Bora wa Uchumi kuwahi kutokea.

 
Hao wote ni ma "guru" yanaijua fedha na uchumi kama maji yanavyolijua Koo. Vyuma vya moto sana, acha yule doto James alikuwa mbeba mafaili tanroad akapelekwa wizara ya fedha, hajui lolote lile, hajwahi kuwa senior officer hata wa vikoba ya mtaa
 
Hao wote ni ma "guru" yanaijua fedha kama maji yanavyolijua Koo. Vyma vya moto sana, acha yule doto James alikuwa mbeba mafaili tanroad akapelekwa wizara ya fedha, hajui lolote lile, hajwahi kuwa senior officer hata wa vikoba ya mtaa
Walifanya vizuri sana private sector. Hii breed ndo kitu serikali ilikosa kwa muda mrefu kwenye nafasi za juu kwenye wafanya maamuzi na wasimamia sera
 
Hao wote ni ma "guru" yanaijua fedha na uchumi kama maji yanavyolijua Koo. Vyuma vya moto sana, acha yule doto James alikuwa mbeba mafaili tanroad akapelekwa wizara ya fedha, hajui lolote lile, hajwahi kuwa senior officer hata wa vikoba ya mtaa
Kazi nzuri
 
Hakuna viwanda vya kubadilisha raw materials kwenda processed goods.
Mfano dhahabu sisi tunaiuza kama $2000 hivi ikiwa raw inapelekwa nje wanaiprocess baadaye wanatuuzia ela nyingi zaidi ya $2000 unakuja kukuta tunachoexport hakina msaada mkubwa Kwa uchumi wetu
Viwanda vipo na vinaendelea kujengwa ila sio vya kutosha..

Lite ungejua sekta ya manufacturing inavyobeba uchumi Kwa Sasa hata usingeongea
 
Back
Top Bottom