Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Hapo Kakaangu Paschal Mayala nitakupinga. Bila nchi kujitosheleza kwa chakula kwanza, hakuna maendeleo. Leo hii wananchi wako site huku wanalia hawana uwezo wa kununua chakula maana chote kinaenda nje, maendeleo yanatoka wapi? Pili, bila nchi kutengeneza home purchasing power (ambayo siioni ikitengenezwa) hakuna kwenda popote ila tunaweza kujidanganya kuwa tunaenda.
Nimeunga mkono the team is good, but it's very unfortunately mimi sio mchumi!.
P
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!

Hao uliowataja Wana nafasi gani hapo wizarani??
Unaweza weka title zao??
 
Mtu unasifia tuu watu bila kusema grounds zipi ulizotumia!! Kama unawapenda binafsi hilo ni lako sema kazi walizofanya tukuelewe lasivyo ni blah blah tuu...kukusanya kodi nijambo moja na kuinua uchumi ni lingine kabisa...
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Serikali kupiga Vizinga kama demu wa chuo. Au ndiyo uchumi wa kisasa.
 
Hao uliowataja Wana nafasi gani hapo wizarani??
Unaweza weka title zao??
Screenshot_20230326_221853_Twitter.jpg
Screenshot_20230326_221809_Twitter.jpg
Screenshot_20230326_221523_Twitter.jpg
 
Mtu unasifia tuu watu bila kusema grounds zipi ulizotumia!! Kama unawapenda binafsi hilo ni lako sema kazi walizofanya tukuelewe lasivyo ni blah blah tuu...kukusanya kodi nijambo moja na kuinua uchumi ni lingine kabisa...
Nimekwambia vigezo nilivyotumia. Wewe tafuta habari yeyote mbaya iliyoandikwa kuhusu uchumi wa Tanzania ilete hapa kupinga hoja yangu
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Naunga mkono hoja..
1.Mwanzoni wakati Samia anaanza nafikiri mambo yalikuwa hayajakaa sawa tukajikuta tunarudi kwenye low income status ila kwa sasa tumerudi kwenye lower middle income status kwa kishindo kabisa Tanzania kwa sasa ipo kumi bora ya nchi za Africa ambazo ni strong kiuchumi

2.GDP ya Tanzania imekua na inapita mataifa mengi sana ya ulaya kama Croatia na America kusini kama Uruguay na mengineyo data zinaongea

3.Tumemanage rate ya inflation kama nchi Tanzania ni moja ya nchi zenye inflation ndogo sana hapa Africa na duniani kwa ujumla
4.Masoko ya kimataifaa yanapanuka sina haja ya kulidiscuss hili linajulikana

Nadhani tuvumiliane tu tutafika tunapopataka raisi anaonekana ana nia njema ila kufika huku ni lazima akubali kuwaweka pending baadhi ya washauri hasa wale waliomshauri mwanzo kabisa wakati anaingia
 
Tatizo ni kwamba hatuoni B.O.T wakijitahidi hata kuraise interest rates kuishusha inflation kwa kutumia monetary policy. Watu wanateseka mno wao wanakula viyoyozi wanaona hakuna shida yoyote.
Watanzania sio wajinga.
Niambie bei ya mafuta ya kula ipoje saivi?

Maana ninavyojua tuna manage vizuri sana inflation. Saivi nanunua mafuta ya kula kwa bei ya kawaida sana
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!

UCHUMI WA KWENYE MAKARATASI
 
Back
Top Bottom