Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Umeshawahi kusikiliza interview za Mafuru akiongelea uchumi, salaleeh; ata simple economic concepts kuzidadavua vizuri hawezi.

Nehemia ata investment hawezi ameenda kuitengenezea serikali madeni balaa na uwekezaji wake wa ovyo NHC their financial statements says it all. Magufuli akaona upuuzi alipotaka kuwekewa government guarantee aendelee kukopa.

Huyo Bade ndio fisadi la kutupa alipokuwa TRA.

Mwigulu ndio salaleh anajua tozo tu, kukopa na uelewa wake wa taxation close to zero.

Ni team ya mapoyoyo mno, vichwa kwa viwango vya JK tu but for the rest of us uwezo wao ni mdogo mno hao watu.
Kwani si ni hawa wasanii??
92920a3bfcfd4188a46b46f918867bb9_335910116_1315110419346577_2573704875999464657_n.jpg
 
Uwezo wa kuelewa maswala ya biashara na uchumi ni mdogo ndio maana unaweza kuwaona hao watu vipanga.

Ebu tupe mfano wa successful ‘financial product’ iliyobuniwa na hao watu walipokuwa bankers, thamani yake as an intangible asset kwa wengine leo au hata imetengeneza kiasi gani ndani ya hizo bank.

Kufanya kazi bank, hakukufanyi kuwa successful banker; Mafuru nimemsikiliza anapwaya sana ata kwenye simple economic concepts.

Wana uwezo kwa vigezo vya Tanzania tu, na nafasi wanazopewa Tanzania wakienda Kenya ata sidhani kama tawi la high street bank wanaweza pewa.

Banker unamjua au unaropoka tu.
Angalau Dr Kimei, at least tunaweza kusema amefanya kitu kwenye masuala ya Fedha
 
Wewe taifa limejaa Ma-jobless kibao alafu unasema Uchumi unakua!,unakuaje bila uzalishaji??
Marekani kwenyewe ukimsikiliza Biden anakwambia anapambana kutengeneza ajira kwa Wamarekani na ata Makamu wake Haris anakuja Afrika kusaka Business deals Ili kukuza Uchumi!
Sasa huu Uchumi wa tozo za miamala[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unasema majobless Tanzania kwani wapi duniani kila mtu ana kazi?

Bora Tanzania tunaona miradi ya maana kama BBT inayozalisha ajira kila siku
 
Mabeberu na mafisadi hapa nyumbani ndio wanaocontrol media .

Wameshapewa fursa waliyokuwa wananyimwa Sasa hivi wanasifia tu.

Jifunze kutumia akili mdogo wangu.
Hadi Business Insider Africa? Hadi majarida maarufu ya media maarufu za nje?
 
Kwani issue ni vichwa ili uchumi ukue? au uaminifu + vichwa + watu kwa ujumla wazalishe, sera bora na endelevu za kukuza uchumi, so far mikakati mikubwa ya kukuza uchumi nimeona kwenye Kilimo, sijui Tanzania ya viwanda imeishia wapi? Kila Rais akija anakuja na priority zake, sera kuu ya Taifa inahitajika, mfano JPM alikuja na sera yake ya viwanda, na kila Rais anayekuja ingefaa aendeleze pale alipoacha kuhusu viwanda na mipango mingine mtangulizi wake alipoishia.
 
Angalau Dr Kimei, at least tunaweza kusema amefanya kitu kwenye masuala ya Fedha
Kumfananisha Kimei na hao vijana wa hovyo ni kumkosea heshima.

Kimei ana maandishi ya Banking on what was wrong on management control wakati bank zinamilikiwa na serikali 100% ukibahatika kuisoma hiyo paper unaona kwanini kulikuwa na haja ya kubinafsisha hizo bank, hata bila ya kuambiwa na donors.

Kimei akiongelea banking seriously kwenye interview zake kabla ya ubunge anaweza justify msingi wa financial products zao na riba zake, anaweza elezea performances za portofolio kadhaa za CRDB kwanini zilifanikiwa or failed with economic justification.

Kimei kaikuta CRDB ina book value isiyozidi tsh 20 billion, kaicha ina asset value ya over trillions; kwa kazi hiyo tu ingekuwa nchi zilizoendelea mshahara wa Kimei ungekuwa over tsh 2 billion kwa mwaka and justifiable.

Yaani Kimei uwezi mfananisha na hao watu ata robo at his peak (sema nae sijui anazeeka ameanza kuongea pumba kidogo toka aingie kwenye siasa, siyo kama yule Kimei wa CRDB).

Hao vijana hawana kitu cha kuonyesha zaidi ya porojo tu na wapambe wa kusifia but non to measure on performance wise.
 
Unafahamu Gharama iliyolipwa na wafanyakazi? Unajua kucheza cheza kwao na mifuko ya pnsheni wafanyakazi sasa hivi wanalipwa 33% badala ya 50% kwa mkupuo wanapostaafu??
Alipokuwepo nssf tuliona miradi mingi na shirika lilikuwa vizuri kiukwasi. Ametoka kuna nini cha maana nssf?
 
"Hali ya uchumi inakwenda vizuri Sana"

Baada ya mama kusema anapitia jamiiforums,Kuna nyuzi ukiziona tu unajua mwandishi anataka kusikia simu ya teuzi.

Yani mwigulu Leo amekuwa wa waziri Bora wa fedha kweli?

Sawa mama atauona huu uzi na ata-like.
Bora enzi za mustafa mkulo
 
Hadi Business Insider Africa? Hadi majarida maarufu ya media maarufu za nje?
Yaani unajiandikia tu kufurahisha genge.

Unaweza tumia magazeti kama kipimo cha ukuaji wa uchumi??

Elimu Yako bado haijakusaidia.
 
Hadi Business Insider Africa? Hadi majarida maarufu ya media maarufu za nje?
Yaani unajiandikia tu kufurahisha genge.

Unaweza tumia magazeti kama kipimo cha ukuaji wa uchumi??

Elimu Yako bado haijakusaidia.
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Hakuna kitu hapo,ingewezekana kama Siasa zisingeingilia utaharamu,
Nchi hii,uchumi unahudumia Siasa,badala ya Siasa kuhudumia uchumi,nchi hii wenye akili,hawapendwi,majizi,mazuzu,ndio yanafsnya maamuzi,
 
Tanzania ni Nchi ambayo hatuwezi kuwa na viwanda vya magari kwa sababu hiyo kodi kubwa wanayopata kwenye magari hasawezi kuipata kwenye kutengeneza magari na pia wanaona ajira kwa vijana sio muhimu kwenye viwanda muhimu ni hiyo kodi..hata umeme utasikia tutauza Nchi za Nje na si kusema kuwa tutakua na umeme wa uhakika kwa Wananchi wetu hapo hata akae nani kwa hiyo Wizara labda wabadilishe hizo fikra zao kwanza ndio tutapata maendeleo...
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Wengi hao hapo ni comfort zone yao, maana walikuwa kule kwenye mabenki sehemu ya kupasha kichwa sasa mserereko.
 
Back
Top Bottom