Kwa videos zile mbili MO Dewji na GSM wakipiga danadana, nazidi kuthibisha simba tunapigwa kweupe

Sipati picha kama Mo angekua mpigaji kama Home shoping au kudhulumu nyumba za watu,kupiga danadana tu kachambwa kiasi hiki!
 
Mkuu ukitaka kuchunguza alacho kuku hutomla tena. Ukisimuliwa historia ya GSM hutopenda awe mdhamini tena wa gongowazi fc.Taswira utakayopata ni kwamba huyu jamaa kaja pale uzuzuni kukamua mi hela ya jezi tu .
Hapo sawa
 
Acha unazi Bana, we uliona wapi danadana zinapigwa kwa kurukaruka Kama unacheza singeli?
 
una umri gani?
 
Pipo na mabosiii wenu bhanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…