Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

Nakuelewa sana mtu wangu. Hiki unachopitia ni kitu ambacho kuna watu wengi wanapitia halafu wanaamini ndio maisha so kuvumilia na kukubali upuuzi ndio namna ya kuishi. HII SI SAHIHI KABISA.

Mimi pia napitia the same story. Mimi mtoto wa pili kutoka mwisho. Tupo wa 5. Mzee wangu alikuwa mpambanaji sana kutoka mtoto wa mfugaji yaani wale watoto wa kuchunga ng'ombe na kutoroka kuja mjini kujipambania na kujiendeleza kwa elimu hadi akawa mhandisi wa mitambo na kufanya kazi wizara ya ujenzi chini ya magufuri kabla hajawa hata mbunge.

Mzee kapambana na kutafuta mali nyumba 3, biashara za maduka ya spare, trekta 2, mashamba matatu mbeya, mawilli morogoro, land Rover 110, land Rover 109, Isuzu tipper, na garage yenye vifaa vingi tu vya kisasa vya gereji. Hivi ni baadhi ya vitu vichache mzee aliacha. Na kulikuwa na salio Bank pia.

Picha linaanza mshua kafariki ghafla kwa shinikizo la damu. Tukabakia na bi mkubwa kama msimamizi na mshika mirathi. Watoto watano, wakwanza amemaliza form 6 kwa mbinde balaa mzee alikuwa kila siku anampa risala atulie asome yeye michezo, wapili nae mzee kuvuta alikuwa yupo kidato cha n'ne akasema yeye shule hataki, tusome sisi wadogo tu, watatu alikuwa form one, wanne ni mimi nikiwa darasa la 5, na wa mwisho akiwa vidudu ndio anataka kuanza la kwanza.

Sasa kutokea hapo ikawa bi mkubwa kwa kushauriana na sista wa kwanza ni kuuza kitu kimoja baada ya kingine bila consultation ya watu wenye ujuzi. Mfano waliuza gari Isuzu tipper kwa bei ya hasara ya 1 million kwa kupigwa sound na madalali. Then upotevu uliendelea kwa mali zingine ambazo ziliuzwa kwa bei za hasara. Me nikiwa mdogo na sina nguvu za kushauri au kukataa.

Haya yaliendelea kwa muda mrefu na mali nyingi zilitoweka katika mazingira ya uzembe sana. Na wahusika ni bi mkubwa, sista mtoto wa kwanza na bro mtoto wa pili, huyu watatu alikuwa mkoani alipokuwa akisoma boarding. Mimi na mdogo wangu tulikuwa nyumbani.

Mimi nilimaliza primary na kufaulu shule ya Serikali. Kipindi hicho ada kwa mwaka ni elfu 20. Lakini nilikuja kuilipa hiyo pesa mwenyewe nikiwa nakwenda chuo maana nilitakiwa kupeleka cheti na sio results slip. So nilikwenda kulipa ada ya miaka yote minne kwasababu sikuwahi kulipiwa ada na bi mkubwa. Kwakifupi pesa ambazo zilitolewa serikalini kwaajiri ya kusomesha watoto, maza alizigawanya kwa kuwapa wakubwa ambao hawakuwa shule, yule wa boarding alipewa account yake yote ambapo aliacha shule na kuanza kufanya upuuzi wa kujifanya mjasiliamali wa maswala ya miziki na kupromote wasanii akaishiwa kudhurumiwa pesa na mwenzake aliyekuwa mjanja wa mjini so akakosa shule na biashara chali.

Huku nyumbani pesa zangu mimi ambayo ilikuwa ni around 3 milion sikupata hata mia maana account ilikuwa ni ya kusimamiwa sikuwa nimetimiza miaka 18 kwa wakati huo. so bi mkubwa ndie alikuwa na access ya account yangu na ya mdogo wangu wa mwisho. Pesa zetu zilitumika bila sisi kujua na ziliisha haraka sana ndio maana nilipofaulu kwenda sekondari hakukuwa hata na 100 ya kunisapoti.

Huu uharibifu ulifanyika ndani ya muda mfupi na waliofanya ni bi mkubwa, sista mtoto wa kwanza, na bro mtoto wa pili. Bro alisema anataka kupambana akapewa tractor akaenda kulitelekeza huko hadi leo hii haijulikani kuwa aliuza au alifanyaje hiyo ni siri yake, sista kwa kushirikiana na boyfriend wake wa kipindi hicho waliuza mashamba na pesa kidogo wakamtumia maza nyingine sista akala bata na jamaa na kumhonga.

Maisha yakifika kipindi yakawa magumu maana ufujaji ulimaliza pesa zote zilizokuwapo kwenye akiba na asset ambazo zilikuwa za kuuzika kirahisi kama magari, trekta, mashamba, na mzigo kwenye maduka ya spea, waliviuza kwa bei za hasara chini ya bei ya soko so ni kama walivigawa bure na vingine kama tractor vilipotea bila taarifa.

Sasa ilifika kipindi naenda shule kwa shida napewa 200 ndio pocket money. Aisee nikikumbuka nashikwa hasira sana.

Fast forward leo, nilipita kwa shida sana ila MUNGU sio Jr makamba nikafika chuo na kumaliza salama kwa msada wa marafiki, na baadhi ya ndugu ambao walinisaidia kwa lawama sana kwa kuwa mzee alikuwa na mali walihisi mimi ni wale watoto wa kusema uongo jambo ambalo lilinifanya nikiwa na shida kufa na tai shingoni sikuwa tayari kumwambia ndugu bora nimuombe mtu baki au marafiki na familia zao wataweza nipa sapoti bila kuhoji.

Baada ya kumaliza elimu ilikuwa kama zari nilipata ajira ndani ya miezi mitatu tu. Kwa namna nilikuwa nachukia kuwa karibu na ile familia nilikopa hela kidogo nikaondoka nyumbani miezi minne tu baada ya mwezi wa kwanza kuanza kazi. Bi mkubwa alilalamika sana na kunitamkia kuwa naondoka kwasababu nimepata kazi badala ya kukaa na kuwasaidia mahitaji pale ndani.

Nilishajaribu kuweka mambo sawa kwa kulazimisha nyumba zile nyumba mbili kati ya tatu zipangishwe ili kodi isaidie maana nyumba walikuwa wakiishi ndugu so nilizungumza nao kiuungwana wakakubali kupisha. So kodi nikawa nashika mimi nampelekea bi mkubwa mahitaji yake ya ndani kama chakula na kadhalika.

Yule sista ambaye nae anaishi mkoani na jamaa mluga luga tu na bro nae asiyejisoma anaishi kwa mwanamke wake aliezaa nae, wakawa na mawasiliano maana bi mkubwa alikuwa na tabia za umbea za kuwaambia kila ninachofanya. Sasa sijui ni wivu wakaanza kusagia kunguni kuwa kwann nashika pesa za kodi nimuachie mama ashike mwenyewe, yule mtoto wa tatu alikuwa amepotelea mikoani huko maana aliacha shule asijue anafanya nini na maisha yake akarudi home kwa bi mkubwa na kuishi pale na akiwa anajifanya ni mtu wa kusali kumbe unafiki tu maana ndie alikuwa mchochezi.

Kuna siku bila taarifa bi mkubwa ananipigia simu kuwa yupo kwa wapangaji wamegoma kumpa kodi niwaambie kuwa yeye ndie mwenye nyumba na kuanzia sasa atakuwa anapokea yeye, aisee nilimind sana. Nikamuuliza kwann umeenda kwa wapangaji, akaanza kujibu kwa ukali kuwa nisimpande kichwani. Nikaona isiwe shida, ya nini kupata laana ya bure. Nikawaambia wapangaji wote kuwa huyo ni bi mkubwa watoe shaka.

Tokea siku ile nikaachana na maswala ya familia nikapiga kimya. Yule mtoto wa tatu na huyu mdogo wangu wa kike wakageuka masnitch namba moja wakiungana na wale wakubwa wawili kuwa wapinzani kwangu.

Kimsingi nikaamua kujitenga na familia kwasababu katika kitu sipendi ni kuishi na watu ambao hawaeleweki na wana mambo ya ajabu na upuuzi mwingi.

Haiwezekani watu kwa uzembe wenu mharibu na kufuja mali za familia halafu zinabakia chache anatokea moja wa wanafamilia anataka kuzisimamia vizuri mnamletea ligi kwa hoja za kipumbavu na za wivu wivu na mafigisu ya kifala. Mimi nikasema kama mtaniona. Huu ni mwaka wa tano naandika sijaenda tena na bi mkubwa ameshaniulizia sana. Naongea nae tu kwenye simu kumsalimia kawaida akianza kuniuliza nipo wapi au nafanya nini ntasitisha mazungumzo hapo hapo nikate simu na huwa siulizii chochote hapo nyumbani. Nikitaka kutoa sapoti nampigia mpwa wangu namuelekeza nilipo nampa kama vifurushi na pesa kidogo namtumia bi mkubwa napiga kimya.

Kuna familia nadhani tunakuwa tumezaliwa kimakosa. Sasa kulazimisha kublend nazo unaweza kufa kwa pressure. Mimi kama wewe nimeamua kukaa nao mbali na ninaona namna ninavyokwenda vizuri kwasasa maisha yangu yana utulivu na sina msongo wa mawazo
Huwa namuelewa sana mtu akizungumza kama wewe hivi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Salute kaka skupingiii hauko peke yako 2po wengii japo mpk now bado nipo home ila mzee anaznguw kinom[emoji114]
 
Binafsi mimi Nina matatizo ya kusikia ni shida sana
Mim sikulelewa na mama , na Wala mama yangu hakuwahi kuwa karibu na mm yani hata nikiomba kitu sipew na mama alinitekeleza huko kwa baba , baba alikuwa ameshaoa tuliishi vizur tu japo sikuwa karibu sana na mzee japo nilikuwa nalipiwa ada za shule Ila niliwapenda wadogo zangu shida ilianza 2014 nimemaliza form four mzee Katengana na mama wa kambo alikuwa anadai mchawi na sis watoto ni wachawi had shule alikuwa anaenda kututangaza imagine wanafunzi watakavokutenga nilikosa kabsa marafiki na haya masikio ndo balaa sasa akahama home na kwa vile yule mama wakambo alikuwa hatuelewan sana nikaambiwa nihamie kwa shangazi , kwa shangazi Nayo ndo Yale yale naruhusiwa tu kuangalia tv wakat watoto wake wapo 😀 Nalala stoo yani niligeuzwa house gal siruhusiwi kukaa sebleni kama hakuna mtu 😒 Chakula nilie jikoni sio dining namshukuru Mungu nilienda kusoma boarding form five na six nilichaguliwa shule ya wasichana tupu balaa likaanZa 2017 naingia chuo baba aligoma kulipa ada mzee wangu alikuwa na masters sio kwangu tu had watoto wa mama wa kambo Ila namshukuru MUNGU nilimaliza chuo japo Chet sijakufata had Leo nadaiwa chuo Nina wadogo wamekataliwa kabsa kulipiwa ada , wale watoto wanasomeshwa na pango nyumba zilizopangishwa watoto wako watatu wa kiume yuko chuo mwaka wa kwanza mwaka juz alishindwa kwenda chuo sababu ya ada Ana miaka 20 wa pili yuko form six this gal ni genius sana ananiambia dada nataka kuwa doctor baba angenipambania nipate scholarship Ila namuonea huruma tu wa mwisho yuko form one yuko na miaka 13 . I love this kids bas tu sema tu ningekuwa na uwezo Ningewapambania sema na mm masikio yanachanganya sisikii . Baba kapelekana na mkewe mahakamani wanasema watamfikiria wa mwisho tu kumsomesha since hao wawil wanamiaka kumi na nane sio lazma wasome wajitegemee just imagine mtu una masters unaongea utumbo hivo kwa wanao baba alikuwa anawasomesha watoto wa dada zake na kaka zake Leo hii sis hatuna mbele wala nyuma Alafu anakazania et tujikombe kwa ndugu 😒 Dah naumia sana na nasikia sahiz kazaa nje watoto watatu kila mtoto na mama yake so tupo 7 😭 I feel very sad inside me hata elimu haikumsaidia niko kwa rafik yangu nakaa she is very gud friend she is my world at least I can call her my home 🙏🏻 Wadogo zangu tunawasiliana baba nilikata mawasiliano nae 1 yr ago hajawah kunitafuta , anyway kama mtu anakazi yoyote naomba 🙏🏻 Am 26 am a gal thankyu.

Am sorry for a long message .
 
Binafsi mimi Nina matatizo ya kusikia ni shida sana
Mim sikulelewa na mama , na Wala mama yangu hakuwahi kuwa karibu na mm yani hata nikiomba kitu sipew na mama alinitekeleza huko kwa baba , baba alikuwa ameshaoa tuliishi vizur tu japo sikuwa karibu sana na mzee japo nilikuwa nalipiwa ada za shule Ila niliwapenda wadogo zangu shida ilianza 2014 nimemaliza form four mzee Katengana na mama wa kambo alikuwa anadai mchawi na sis watoto ni wachawi had shule alikuwa anaenda kututangaza imagine wanafunzi watakavokutenga nilikosa kabsa marafiki na haya masikio ndo balaa sasa akahama home na kwa vile yule mama wakambo alikuwa hatuelewan sana nikaambiwa nihamie kwa shangazi , kwa shangazi Nayo ndo Yale yale naruhusiwa tu kuangalia tv wakat watoto wake wapo 😀 Nalala stoo yani niligeuzwa house gal siruhusiwi kukaa sebleni kama hakuna mtu 😒 Chakula nilie jikoni sio dining namshukuru Mungu nilienda kusoma boarding form five na six nilichaguliwa shule ya wasichana tupu balaa likaanZa 2017 naingia chuo baba aligoma kulipa ada mzee wangu alikuwa na masters sio kwangu tu had watoto wa mama wa kambo Ila namshukuru MUNGU nilimaliza chuo japo Chet sijakufata had Leo nadaiwa chuo Nina wadogo wamekataliwa kabsa kulipiwa ada , wale watoto wanasomeshwa na pango nyumba zilizopangishwa watoto wako watatu wa kiume yuko chuo mwaka wa kwanza mwaka juz alishindwa kwenda chuo sababu ya ada Ana miaka 20 wa pili yuko form six this gal ni genius sana ananiambia dada nataka kuwa doctor baba angenipambania nipate scholarship Ila namuonea huruma tu wa mwisho yuko form one yuko na miaka 13 . I love this kids bas tu sema tu ningekuwa na uwezo Ningewapambania sema na mm masikio yanachanganya sisikii . Baba kapelekana na mkewe mahakamani wanasema watamfikiria wa mwisho tu kumsomesha since hao wawil wanamiaka kumi na nane sio lazma wasome wajitegemee just imagine mtu una masters unaongea utumbo hivo kwa wanao baba alikuwa anawasomesha watoto wa dada zake na kaka zake Leo hii sis hatuna mbele wala nyuma Alafu anakazania et tujikombe kwa ndugu 😒 Dah naumia sana na nasikia sahiz kazaa nje watoto watatu kila mtoto na mama yake so tupo 7 😭 I feel very sad inside me hata elimu haikumsaidia niko kwa rafik yangu nakaa she is very gud friend she is my world at least I can call her my home 🙏🏻 Wadogo zangu tunawasiliana baba nilikata mawasiliano nae 1 yr ago hajawah kunitafuta , anyway kama mtu anakazi yoyote naomba 🙏🏻 Am 26 am a gal thankyu.

Am sorry for a long message .
Pole sana, yani hawa wazazi ni mtihani sana
 
Ukiacha yote aliyowahi kunifanyia ikiwa ni pamoja na haki ya kumjua baba lkn hii kauli ( NATAKA KUAGIZA GARI LINGINE KWA SASA HVYO SIWEZI KUKUTUMIA MATUMIZI HUKO CHUONI )ndio ilinfanya nione ilikua bahati mbaya sana yeye kunizaa ingawaje hata upendo wa kinafki nimeushindwa.

Yan una mzazi si fukara lkn unaishi maisha ya kuomba omba yeye yupo busy kuhangaika kulinda ndoa yake and worse yeye ni mama, boalra angekua baba huenda ningempa excuse kalishwa limbwa na mke wake sasa mama nae kapewa limbwata na mume wake aisee wazazi ni mtihan mkubwa

ITS SEVEN YEARS NOW NAONA VEMA KUKAA MBALI NAYE, YANI MZAZI ANAKUCHUKIA MPAKA HUELEWI ULIKOSEA NINi

Hii situation ipo sana.
 
Mzee mbona kama unaandika kinyume chake,yaani baraka zitoke kwa watoto ziende kwa wazazi??hata mzazi akosee vipi mtoto anawajibika kwa mzazi wake kulinda hadhi yauungu aliyopewa na mwenyezi Mungu.ndio maana imeandikwa waheshimu baba namama yako siku zako zipate kuongezeka,nasio mzazi aheshimu watoto wake.sipingi kua kuna wazazi vimeo sana,ila mambo haya nadhani yanamiongozo flani ya kuepusha mkanganyiko ktk jamiii ndio maana hata kama mzazi hakumtunza vyema mwanae wakti wautototoni mzazi huyo anaweza asipate laana,lkn mtoto kutokumtunza mzazi wake ktk uzee wake laana inamuhusu.

Hakuna laana ya kutokumtunza mzazi ambae hakukujali mzee so alitegemea we utoboe vip ili umtunze utoe jicho ama? Uwe jambaz? Na ukifa kwa ujambaz ama ukimwi apate na sababu ya kukupondea zaid mimi binafsi namtunza kama yeye aliyo fanya siumiz kichwa zaid na watu kama mashangaz ndo kabisa wapo kushoto RIp Momy [emoji22]
 
Nakuelewa sana mtu wangu. Hiki unachopitia ni kitu ambacho kuna watu wengi wanapitia halafu wanaamini ndio maisha so kuvumilia na kukubali upuuzi ndio namna ya kuishi. HII SI SAHIHI KABISA.

Mimi pia napitia the same story. Mimi mtoto wa pili kutoka mwisho. Tupo wa 5. Mzee wangu alikuwa mpambanaji sana kutoka mtoto wa mfugaji yaani wale watoto wa kuchunga ng'ombe na kutoroka kuja mjini kujipambania na kujiendeleza kwa elimu hadi akawa mhandisi wa mitambo na kufanya kazi wizara ya ujenzi chini ya magufuri kabla hajawa hata mbunge.

Mzee kapambana na kutafuta mali nyumba 3, biashara za maduka ya spare, trekta 2, mashamba matatu mbeya, mawilli morogoro, land Rover 110, land Rover 109, Isuzu tipper, na garage yenye vifaa vingi tu vya kisasa vya gereji. Hivi ni baadhi ya vitu vichache mzee aliacha. Na kulikuwa na salio Bank pia.

Picha linaanza mshua kafariki ghafla kwa shinikizo la damu. Tukabakia na bi mkubwa kama msimamizi na mshika mirathi. Watoto watano, wakwanza amemaliza form 6 kwa mbinde balaa mzee alikuwa kila siku anampa risala atulie asome yeye michezo, wapili nae mzee kuvuta alikuwa yupo kidato cha n'ne akasema yeye shule hataki, tusome sisi wadogo tu, watatu alikuwa form one, wanne ni mimi nikiwa darasa la 5, na wa mwisho akiwa vidudu ndio anataka kuanza la kwanza.

Sasa kutokea hapo ikawa bi mkubwa kwa kushauriana na sista wa kwanza ni kuuza kitu kimoja baada ya kingine bila consultation ya watu wenye ujuzi. Mfano waliuza gari Isuzu tipper kwa bei ya hasara ya 1 million kwa kupigwa sound na madalali. Then upotevu uliendelea kwa mali zingine ambazo ziliuzwa kwa bei za hasara. Me nikiwa mdogo na sina nguvu za kushauri au kukataa.

Haya yaliendelea kwa muda mrefu na mali nyingi zilitoweka katika mazingira ya uzembe sana. Na wahusika ni bi mkubwa, sista mtoto wa kwanza na bro mtoto wa pili, huyu watatu alikuwa mkoani alipokuwa akisoma boarding. Mimi na mdogo wangu tulikuwa nyumbani.

Mimi nilimaliza primary na kufaulu shule ya Serikali. Kipindi hicho ada kwa mwaka ni elfu 20. Lakini nilikuja kuilipa hiyo pesa mwenyewe nikiwa nakwenda chuo maana nilitakiwa kupeleka cheti na sio results slip. So nilikwenda kulipa ada ya miaka yote minne kwasababu sikuwahi kulipiwa ada na bi mkubwa. Kwakifupi pesa ambazo zilitolewa serikalini kwaajiri ya kusomesha watoto, maza alizigawanya kwa kuwapa wakubwa ambao hawakuwa shule, yule wa boarding alipewa account yake yote ambapo aliacha shule na kuanza kufanya upuuzi wa kujifanya mjasiliamali wa maswala ya miziki na kupromote wasanii akaishiwa kudhurumiwa pesa na mwenzake aliyekuwa mjanja wa mjini so akakosa shule na biashara chali.

Huku nyumbani pesa zangu mimi ambayo ilikuwa ni around 3 milion sikupata hata mia maana account ilikuwa ni ya kusimamiwa sikuwa nimetimiza miaka 18 kwa wakati huo. so bi mkubwa ndie alikuwa na access ya account yangu na ya mdogo wangu wa mwisho. Pesa zetu zilitumika bila sisi kujua na ziliisha haraka sana ndio maana nilipofaulu kwenda sekondari hakukuwa hata na 100 ya kunisapoti.

Huu uharibifu ulifanyika ndani ya muda mfupi na waliofanya ni bi mkubwa, sista mtoto wa kwanza, na bro mtoto wa pili. Bro alisema anataka kupambana akapewa tractor akaenda kulitelekeza huko hadi leo hii haijulikani kuwa aliuza au alifanyaje hiyo ni siri yake, sista kwa kushirikiana na boyfriend wake wa kipindi hicho waliuza mashamba na pesa kidogo wakamtumia maza nyingine sista akala bata na jamaa na kumhonga.

Maisha yakifika kipindi yakawa magumu maana ufujaji ulimaliza pesa zote zilizokuwapo kwenye akiba na asset ambazo zilikuwa za kuuzika kirahisi kama magari, trekta, mashamba, na mzigo kwenye maduka ya spea, waliviuza kwa bei za hasara chini ya bei ya soko so ni kama walivigawa bure na vingine kama tractor vilipotea bila taarifa.

Sasa ilifika kipindi naenda shule kwa shida napewa 200 ndio pocket money. Aisee nikikumbuka nashikwa hasira sana.

Fast forward leo, nilipita kwa shida sana ila MUNGU sio Jr makamba nikafika chuo na kumaliza salama kwa msada wa marafiki, na baadhi ya ndugu ambao walinisaidia kwa lawama sana kwa kuwa mzee alikuwa na mali walihisi mimi ni wale watoto wa kusema uongo jambo ambalo lilinifanya nikiwa na shida kufa na tai shingoni sikuwa tayari kumwambia ndugu bora nimuombe mtu baki au marafiki na familia zao wataweza nipa sapoti bila kuhoji.

Baada ya kumaliza elimu ilikuwa kama zari nilipata ajira ndani ya miezi mitatu tu. Kwa namna nilikuwa nachukia kuwa karibu na ile familia nilikopa hela kidogo nikaondoka nyumbani miezi minne tu baada ya mwezi wa kwanza kuanza kazi. Bi mkubwa alilalamika sana na kunitamkia kuwa naondoka kwasababu nimepata kazi badala ya kukaa na kuwasaidia mahitaji pale ndani.

Nilishajaribu kuweka mambo sawa kwa kulazimisha nyumba zile nyumba mbili kati ya tatu zipangishwe ili kodi isaidie maana nyumba walikuwa wakiishi ndugu so nilizungumza nao kiuungwana wakakubali kupisha. So kodi nikawa nashika mimi nampelekea bi mkubwa mahitaji yake ya ndani kama chakula na kadhalika.

Yule sista ambaye nae anaishi mkoani na jamaa mluga luga tu na bro nae asiyejisoma anaishi kwa mwanamke wake aliezaa nae, wakawa na mawasiliano maana bi mkubwa alikuwa na tabia za umbea za kuwaambia kila ninachofanya. Sasa sijui ni wivu wakaanza kusagia kunguni kuwa kwann nashika pesa za kodi nimuachie mama ashike mwenyewe, yule mtoto wa tatu alikuwa amepotelea mikoani huko maana aliacha shule asijue anafanya nini na maisha yake akarudi home kwa bi mkubwa na kuishi pale na akiwa anajifanya ni mtu wa kusali kumbe unafiki tu maana ndie alikuwa mchochezi.

Kuna siku bila taarifa bi mkubwa ananipigia simu kuwa yupo kwa wapangaji wamegoma kumpa kodi niwaambie kuwa yeye ndie mwenye nyumba na kuanzia sasa atakuwa anapokea yeye, aisee nilimind sana. Nikamuuliza kwann umeenda kwa wapangaji, akaanza kujibu kwa ukali kuwa nisimpande kichwani. Nikaona isiwe shida, ya nini kupata laana ya bure. Nikawaambia wapangaji wote kuwa huyo ni bi mkubwa watoe shaka.

Tokea siku ile nikaachana na maswala ya familia nikapiga kimya. Yule mtoto wa tatu na huyu mdogo wangu wa kike wakageuka masnitch namba moja wakiungana na wale wakubwa wawili kuwa wapinzani kwangu.

Kimsingi nikaamua kujitenga na familia kwasababu katika kitu sipendi ni kuishi na watu ambao hawaeleweki na wana mambo ya ajabu na upuuzi mwingi.

Haiwezekani watu kwa uzembe wenu mharibu na kufuja mali za familia halafu zinabakia chache anatokea moja wa wanafamilia anataka kuzisimamia vizuri mnamletea ligi kwa hoja za kipumbavu na za wivu wivu na mafigisu ya kifala. Mimi nikasema kama mtaniona. Huu ni mwaka wa tano naandika sijaenda tena na bi mkubwa ameshaniulizia sana. Naongea nae tu kwenye simu kumsalimia kawaida akianza kuniuliza nipo wapi au nafanya nini ntasitisha mazungumzo hapo hapo nikate simu na huwa siulizii chochote hapo nyumbani. Nikitaka kutoa sapoti nampigia mpwa wangu namuelekeza nilipo nampa kama vifurushi na pesa kidogo namtumia bi mkubwa napiga kimya.

Kuna familia nadhani tunakuwa tumezaliwa kimakosa. Sasa kulazimisha kublend nazo unaweza kufa kwa pressure. Mimi kama wewe nimeamua kukaa nao mbali na ninaona namna ninavyokwenda vizuri kwasasa maisha yangu yana utulivu na sina msongo wa mawazo
Huwa namuelewa sana mtu akizungumza kama wewe hivi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Daaah
 
Be warned, This post is strictly for God's Believers. If you'll find it useless, you're strongly advised not to provoke or outrage targeted Audiences.

View attachment 2553687

Natumaini nyote mko salama, and so do I.

Tatizo la wa toto kutoku[patina na wazazi lipo sana, haijalishi ni mzazi wa kiume au wa kike wengi wetu humu inawezekani mzazi mojawapo kati ya baba na maama hatupatani nae. Achilia mbali mawasilianao kua hafifu bali unakuta mtoto Fulani na mzazi Fulani katika familia hawapatani kabisa, kutokana na nature ya maisha mara nyingi mzazi asiyekua na mahusiano mazuri na watoto au mtoto hua ni baba.

Lakini pia kwa watoto wa kike mara nyingi hua mzazi wao wa kike ndio hua hawapatani nae, lakini kwa sie wakiume ni aghalabu kusikia hatupatani na mama zetu. Ila rate ya baba kutopatana na watoto/mtoto wake ni kubwa Zaidi kuliko ya mama.

Kuna baadhi ya sababu zisizo rasmi zinazoweza kumfanya Baba asiwe na mahusiano mazuri na mwanae:- 1. Baba kutosimama kwenye misingi ya ubaba katika familia na kujikita katika uzinzi,uhuni, ugomvi,ubabe na ukorofi usio na msingi,kutekeleza familia nk. 2: baba kusahau kwamba wanawe wameshakua watu wazima hivyo wanaweza kujiamlia mambo yao katika maisha pia kuamua mustakabali wa familia yao, hivyo baba anakua anataka awachukulie kama watoto tu wasioweza kuamua chochote katika familia yake na hawana uwezo wa kumshauri,kumpinga,kumkosoa na kumuelekeza juu ya jambo Fulani katika famiia.

Baadhi ya sababu hizi zimewafanya wazazi wengi wa kiume kutokua na mawasiliano mazuri na watoto zao, unakuta mtoto anakaa miaka hana mawasiliano kabisa na baba. Kutokana na tabia au makossa anayoyafanya mzai yanaweza kumfanya mtoto asimpende wala kumuheshimu baba yake tena, pengine mtoto anaweza declare kabisa kwamba yeye hana Baba kwa ajili ya madhila anayofanya baba yake.

Inawezekana kutokana na tabia alizonazo baba yako amepoteza misingi ya ubaba hivyo Hupatani nae, labda amekua mlevi sana hadi anachukua vitu ndani ili akalewe akishalewa basi anajikojolea kabisa na kuongea matusi…tabia hiyo imekufanya umchukie,kumdharau na ukate mawasiliano nae. Nipende kukuambia kwamba unakosea sana..tena sana.

Katika Amari za Mungu kumi anasema kwamba Torati 5:16 “Waheshimu baba na mama yako kama BWANA Mungu wako alivyokuamuru,siku zako zipate kuzidi nawe upate kufanikiwa” katika amri zote alizotoa Mungu ukizivunja utakua na la kujibu siku ya hukumu lakini ukivunja amri ya kutowahehimu wazazi hukumu yake utaipata hapa hapa duniani. Kasema kwamba ukiwaheshimu wazazi basi utaishi miaka mingi yenye heri katika dunia lakini kama hutawaheshimu utapata taabu na karaha hapa duniani.

Inawezekana matokeo usiyaone sasa ila ukaja kuadhibiwa kupitia watoto wako, watoto wako wakaja kukusumbua na kukudharau hadi ukajutia kwanini uliwazaa kumbe ni kwakua ulishindwa kuwaheshima wazazi.

Haijalishi baba yako ana tabia gani na mabaya kiasi gani hata kama ni mlevi aliyepindukia hadi anajikojolea mbele yenu na kuwatukana au kumtukana mama yako matusi mbele yenu. Mafundisho yaanasema mkubwa amuheshimu mdogo na mdogo amuheshimu mkubwa , lakini pia yule mkubwa anaweza kumbariki yule aliye mdogo.

So kama mkubwa anaweza kumbariki mdogo hivyo hivyo pia si anaweza kumlaani?? haijalishi baba yako yupo katika hali gani, hata kama kashapoteza ile nafasi ya ubaba katika familia kwa ulevi wake, ukorofi, matusi, umalaya nk…tambua Kamba baba yako huyo bado kashikilia mlango wa Baraka mashani mwako hivyo anaweza kukufungulia Baraka au kukufungia maana yeye ni mzazi wako ulitoka maungoni mwake.

Inawezekana ni mtu mwema uliyeshika dini lakini labda siku moja baba yako kwakuambia kwamba inatakiwa mfanye tambiko la familia, au muende mkanywe au umpe pesa akanyw. Kwakua wewe ni mtu wa ibada hujihusishi na mambo hayo basi ulighafilika na kumjibu labda kwa tone ya hasira kuonyeshwa kutokupendezwa na jambo hilo, elewa hapo umetenda kosa kubwa.

Mungu anasema Zaburi 138:6 “Ingawa bwana yupo juu lakini humuona mnyenyekevu na kumjua mwenye kiburi kutokea mbaliMithali 3;34Hakika bwana huwadharau wennye kiburi bali huwapa wanyenyekevu neema” Kama tulivyoona hapo kwenye maandiko unyenyekevu ndio nguzo kuu kuna sehemu Mungu anasema kwamba yeye hakai nyumbani kwa mwenye kiburi bali kwa mtu mwenye unyenyekevu.

Hivyo basi wewe mtu wa Mungu baba yako anapokuambia maneno mbalimbali yasiyofaa mjbu kwa uyenyekevu kwamba baba haapana jambo hili haliwezekani kwa sababu Fulani lakini ukipandisha sauti kwa mzazi wako basi Mungu atajitenga nawe hata kama wewe ndio ulikua kwenye haki maana yeye kamwe hakai kwa mtu mwenye majivuno na kiburi.


View attachment 2553697
Baba yako kama kakukosea usimchukie na kumdharau kwani yeye ndio mzazi wako, unachotakiwa umuombnea neema ana Baraka aweze kurejea katika hali yake ya kawaida ili aweze kusimama katika ubaba. Ila pindi unapomuhukumu kwamba baba hafai, baba simtaki tena kutokan na tabia zake basi Mungu atajitnga nawe maana unakua umejivisha majivuni na kiburi japokua haki inakua yako ila pindi unapofanya hivyo basi utaoata laana kwani hukumu ni ya mungu sisi tunatakiwa tuombeane rehema na neema.

Nawausia ninyi na kuihusia nafsi yangu kwamba tujitahidi kurejesha mahusiano na mawasialiano mazuri kwa wazizi wetu japokua inawezekana wametenda mambo mabaya, lakini bado hao ni wazazi wetu wanauwezo wa kutulaani na kutubariki maana wao wameshikilia Baraka zetu. Najua ni ngumu sana kwa roho zetu hizi za kibinaadam basi tuombe rehema za kutuwezesha kufanya hivyo.

Kuna wakati kweli mzazi wako anakutenda kitu hadi unajutia kwanini ulizaliwa na baba wa namna hiyo, lakini ndio ishakua kwani hakuna mtu aliyepata privilege ya kuchagua azaliwe wapi na kwa nani. Wazazi pia acheni kufanya maisha ya watoto wenu hasa ya kiroho yawe magumu kutokana na matendo yenu. Mambo mengine hua mnafanya kwa makusudi kabisa ili kuwakomoa watoto wenu eti kwakua nyie ndio mmeshika mpini watoto wapo kwenye makali. Sio vyema kabisa, mnatuumiza na kutuweka katika wakatoi mgumu.

Inspired from true Events.
Da’Vinci

View attachment 2553684
Mkuu assnte nimepitia na naendelea kupitia mengi sana Mm na dingi haziivi kabisa kwa muda mrefu sana Imagine Nina approach 50 yrs baba bado ananitukana ananikejeli ananidharau na hapo Nina mtunza ninasaidia madogo WOTE mi BDO mkubwa Nimejitoa Sina MAWASILIANO Naye inanisaidia kuondoka keto tutakutana Akhera kwa hapa duniani naona imeshindikana
 
Be warned, This post is strictly for God's Believers. If you'll find it useless, you're strongly advised not to provoke or outrage targeted Audiences.

View attachment 2553687

Natumaini nyote mko salama, and so do I.

Tatizo la wa toto kutoku[patina na wazazi lipo sana, haijalishi ni mzazi wa kiume au wa kike wengi wetu humu inawezekani mzazi mojawapo kati ya baba na maama hatupatani nae. Achilia mbali mawasilianao kua hafifu bali unakuta mtoto Fulani na mzazi Fulani katika familia hawapatani kabisa, kutokana na nature ya maisha mara nyingi mzazi asiyekua na mahusiano mazuri na watoto au mtoto hua ni baba.

Lakini pia kwa watoto wa kike mara nyingi hua mzazi wao wa kike ndio hua hawapatani nae, lakini kwa sie wakiume ni aghalabu kusikia hatupatani na mama zetu. Ila rate ya baba kutopatana na watoto/mtoto wake ni kubwa Zaidi kuliko ya mama.

Kuna baadhi ya sababu zisizo rasmi zinazoweza kumfanya Baba asiwe na mahusiano mazuri na mwanae:- 1. Baba kutosimama kwenye misingi ya ubaba katika familia na kujikita katika uzinzi,uhuni, ugomvi,ubabe na ukorofi usio na msingi,kutekeleza familia nk. 2: baba kusahau kwamba wanawe wameshakua watu wazima hivyo wanaweza kujiamlia mambo yao katika maisha pia kuamua mustakabali wa familia yao, hivyo baba anakua anataka awachukulie kama watoto tu wasioweza kuamua chochote katika familia yake na hawana uwezo wa kumshauri,kumpinga,kumkosoa na kumuelekeza juu ya jambo Fulani katika famiia.

Baadhi ya sababu hizi zimewafanya wazazi wengi wa kiume kutokua na mawasiliano mazuri na watoto zao, unakuta mtoto anakaa miaka hana mawasiliano kabisa na baba. Kutokana na tabia au makossa anayoyafanya mzai yanaweza kumfanya mtoto asimpende wala kumuheshimu baba yake tena, pengine mtoto anaweza declare kabisa kwamba yeye hana Baba kwa ajili ya madhila anayofanya baba yake.

Inawezekana kutokana na tabia alizonazo baba yako amepoteza misingi ya ubaba hivyo Hupatani nae, labda amekua mlevi sana hadi anachukua vitu ndani ili akalewe akishalewa basi anajikojolea kabisa na kuongea matusi…tabia hiyo imekufanya umchukie,kumdharau na ukate mawasiliano nae. Nipende kukuambia kwamba unakosea sana..tena sana.

Katika Amari za Mungu kumi anasema kwamba Torati 5:16 “Waheshimu baba na mama yako kama BWANA Mungu wako alivyokuamuru,siku zako zipate kuzidi nawe upate kufanikiwa” katika amri zote alizotoa Mungu ukizivunja utakua na la kujibu siku ya hukumu lakini ukivunja amri ya kutowahehimu wazazi hukumu yake utaipata hapa hapa duniani. Kasema kwamba ukiwaheshimu wazazi basi utaishi miaka mingi yenye heri katika dunia lakini kama hutawaheshimu utapata taabu na karaha hapa duniani.

Inawezekana matokeo usiyaone sasa ila ukaja kuadhibiwa kupitia watoto wako, watoto wako wakaja kukusumbua na kukudharau hadi ukajutia kwanini uliwazaa kumbe ni kwakua ulishindwa kuwaheshima wazazi.

Haijalishi baba yako ana tabia gani na mabaya kiasi gani hata kama ni mlevi aliyepindukia hadi anajikojolea mbele yenu na kuwatukana au kumtukana mama yako matusi mbele yenu. Mafundisho yaanasema mkubwa amuheshimu mdogo na mdogo amuheshimu mkubwa , lakini pia yule mkubwa anaweza kumbariki yule aliye mdogo.

So kama mkubwa anaweza kumbariki mdogo hivyo hivyo pia si anaweza kumlaani?? haijalishi baba yako yupo katika hali gani, hata kama kashapoteza ile nafasi ya ubaba katika familia kwa ulevi wake, ukorofi, matusi, umalaya nk…tambua Kamba baba yako huyo bado kashikilia mlango wa Baraka mashani mwako hivyo anaweza kukufungulia Baraka au kukufungia maana yeye ni mzazi wako ulitoka maungoni mwake.

Inawezekana ni mtu mwema uliyeshika dini lakini labda siku moja baba yako kwakuambia kwamba inatakiwa mfanye tambiko la familia, au muende mkanywe au umpe pesa akanyw. Kwakua wewe ni mtu wa ibada hujihusishi na mambo hayo basi ulighafilika na kumjibu labda kwa tone ya hasira kuonyeshwa kutokupendezwa na jambo hilo, elewa hapo umetenda kosa kubwa.

Mungu anasema Zaburi 138:6 “Ingawa bwana yupo juu lakini humuona mnyenyekevu na kumjua mwenye kiburi kutokea mbaliMithali 3;34Hakika bwana huwadharau wennye kiburi bali huwapa wanyenyekevu neema” Kama tulivyoona hapo kwenye maandiko unyenyekevu ndio nguzo kuu kuna sehemu Mungu anasema kwamba yeye hakai nyumbani kwa mwenye kiburi bali kwa mtu mwenye unyenyekevu.

Hivyo basi wewe mtu wa Mungu baba yako anapokuambia maneno mbalimbali yasiyofaa mjbu kwa uyenyekevu kwamba baba haapana jambo hili haliwezekani kwa sababu Fulani lakini ukipandisha sauti kwa mzazi wako basi Mungu atajitenga nawe hata kama wewe ndio ulikua kwenye haki maana yeye kamwe hakai kwa mtu mwenye majivuno na kiburi.


View attachment 2553697
Baba yako kama kakukosea usimchukie na kumdharau kwani yeye ndio mzazi wako, unachotakiwa umuombnea neema ana Baraka aweze kurejea katika hali yake ya kawaida ili aweze kusimama katika ubaba. Ila pindi unapomuhukumu kwamba baba hafai, baba simtaki tena kutokan na tabia zake basi Mungu atajitnga nawe maana unakua umejivisha majivuni na kiburi japokua haki inakua yako ila pindi unapofanya hivyo basi utaoata laana kwani hukumu ni ya mungu sisi tunatakiwa tuombeane rehema na neema.

Nawausia ninyi na kuihusia nafsi yangu kwamba tujitahidi kurejesha mahusiano na mawasialiano mazuri kwa wazizi wetu japokua inawezekana wametenda mambo mabaya, lakini bado hao ni wazazi wetu wanauwezo wa kutulaani na kutubariki maana wao wameshikilia Baraka zetu. Najua ni ngumu sana kwa roho zetu hizi za kibinaadam basi tuombe rehema za kutuwezesha kufanya hivyo.

Kuna wakati kweli mzazi wako anakutenda kitu hadi unajutia kwanini ulizaliwa na baba wa namna hiyo, lakini ndio ishakua kwani hakuna mtu aliyepata privilege ya kuchagua azaliwe wapi na kwa nani. Wazazi pia acheni kufanya maisha ya watoto wenu hasa ya kiroho yawe magumu kutokana na matendo yenu. Mambo mengine hua mnafanya kwa makusudi kabisa ili kuwakomoa watoto wenu eti kwakua nyie ndio mmeshika mpini watoto wapo kwenye makali. Sio vyema kabisa, mnatuumiza na kutuweka katika wakatoi mgumu.

Inspired from true Events.
Da’Vinci

View attachment 2553684

Why is warning in English, and andiko in swahili?
 
Mimi kwa upande wangu niliharibiwa kisaikolojia tu

Stori ipo iv

Sijawahi kukosa kitu kwa mzazi wangu (baba), ila shida ilikua moja tu.

Wakati nakua mm nilikua sisikilizwi hata kwa vitu vya kawaida, kila jambo ni lazma waseme wenzangu ndo litatekelezwa ila nikilianzisha mm haliwez kufanyiwa kazi, hapo ni hadi vile vitu vinavyonihusu mm binafsi ni lazma nipate back up ya walionitangulia (ambao wamekulia maisha hayo watakua wanajua).

Nakumbuka kuna safafari nilikua naenda shule so mm na rafiki zangu tukakubaliana tupande gari moja na kila mmoja amuombe mzazi wake nauli akakate tiketi mwenyewe, kwa upande wangu nilinyimwa wakati wenzangu wote walipewa hela na wazazi wao kasoro mm tu (hili jambo liliniharibu sana), ikabidi niwadanganye marafiki zangu kwamba sitosafiri hyo siku but ilivyofika asubuhi wakaniona napanda kwenye wanteni kwa bei sawa na magari mazuri waliyopanda wao, niliumia sana

Hiyo hali iliendelea mpaka nilipokua chuo.

Kisa kingine kilichonifanya niache chuo

Nakumbuka nilikua mwaka wa pili na ilitakiwa niwe na laptop kwaajili ya kufanyia mazioezi ya autocard(wale mliosoma engineering mtanielewa umuhimu wa laptop kwenye hili somo)

Nilivyoomba laptop mzee akaniambia nimwambia kwanza ndugu yangu na yeye ndo atamwambia ili amtumie hela, nilifanya kama alivyoniambia ila shida ikawa hela ilivyotumwa sikupewa hiyo laptop kwa wakati

Hapo taa nyekundu ikawaka kichwani mwangu nikajiona kama msukule ivi, kwa haraka sana nikaanza kutafuta kazi ili niachane na chuo, mungu ni mkubwa nikapata kazi na nikaachana na habar za chuo ili nianze kuishi maisha yangu mwenyewe

From there nikitaka kufanya jambo nilikua sisikilizi mtu ninafanya kile ninachojiskia mwenyewe.

Mpaka leo hii namuone huruma wife na ndugu wanaopenda kunishauri vitu coz hata wanishauri kitu cha heri huwa siwasikilizi nafanya kama nilivyokuwa nafanyiwa mimi.

Nimelaumiwa sana kwenye upande wa familia ila hawajui kwamba wao ndio wamenifanya mimi niwe hiv nilivyo sasa


Kwa sasa hela ya kubadili mboga ninayo ila ndo hivyo tena saikolojia ishajiendea kibra.
Tupo wengi haki Mm na dingi mbali mbali Toka sekondsri na kwa bahati mm ndo niliyesoma na Hadi chuo kikuu na mwenye Hela ya mboga na mkubwa Wa famili yaaani Mzee ni mwendo wa kunitukana haya inaniuma sana baba aniambia na Hela zako we ni umbwa TU akiwa nanshida inabidi amtume Maza mi natoaga TU ila ndo tushafika.... Sitaki tena suluhu nimewaambia nam kwangu ni mwanaume Kuna siku kanitukana mbele ya wife
 
Halafu sijui kwann watu wa namna hii wanakuwa walalamishi baadae as if hawajui walichofanya. Hapo anataka umbwatukie tu ili aje kukulaumu na kulazimisha kupeana laana na mikosi wakati sio lazima.
Juzinilibakinkidgo nimtukane Mzee Ila nimepanga nitamwambia yaaaninkiko kwangu na maisha yanaenda dingi ananitukana mm ni sawa na mbwa Nililia sana Nina hasira Naye kazoea sana miaka zaidia ya 20 inatosha
 
Tupo wengi haki Mm na dingi mbali mbali Toka sekondsri na kwa bahati mm ndo niliyesoma na Hadi chuo kikuu na mwenye Hela ya mboga na mkubwa Wa famili yaaani Mzee ni mwendo wa kunitukana haya inaniuma sana baba aniambia na Hela zako we ni umbwa TU akiwa nanshida inabidi amtume Maza mi natoaga TU ila ndo tushafika.... Sitaki tena suluhu nimewaambia nam kwangu ni mwanaume Kuna siku kanitukana mbele ya wife
Inakuaje mzee wako anakuchukia bila sababu??
 
Juzinilibakinkidgo nimtukane Mzee Ila nimepanga nitamwambia yaaaninkiko kwangu na maisha yanaenda dingi ananitukana mm ni sawa na mbwa Nililia sana Nina hasira Naye kazoea sana miaka zaidia ya 20 inatosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pole mkuu
 
Tupo wengi haki Mm na dingi mbali mbali Toka sekondsri na kwa bahati mm ndo niliyesoma na Hadi chuo kikuu na mwenye Hela ya mboga na mkubwa Wa famili yaaani Mzee ni mwendo wa kunitukana haya inaniuma sana baba aniambia na Hela zako we ni umbwa TU akiwa nanshida inabidi amtume Maza mi natoaga TU ila ndo tushafika.... Sitaki tena suluhu nimewaambia nam kwangu ni mwanaume Kuna siku kanitukana mbele ya wife
Daah pole sana mkuu kama upo 40s na anakutukana huyu baba atakua ana mapepo. Mimi ningekata mawasiliano nae
 
Back
Top Bottom