Kuna mijitu kweli ina roho mbaya waweza kuta kuna mtu alikuwa na wivu tu na maendeleo yako akataka akuondoe dunianiNilienda tena nilivuka border hadi Msumbiji!! Ajali mara nne mfululizo hiyo ya mwisho niliona giza then gari ikajiongeza speed wakati nilikanyaga break!! Nikaona wataniua siku zi zangu.
Nikaenda Msumbiji kuleta jamaa huyo anabinuka binuka nyumbani uchi mchana kweupee lakini watu hawamuoni!!
Tangu siku hiyo heshima imetawala na watoto wapo poa sana na ajali hakuna.
Mkuu unacho kitambulisho cha uraia wa Tanzania?Sasa wazazi wepi tena si ndo ao ao au?
Mlifanikiwa baada ya kufuata njia nyingine.?
Sawa sawaNdiyo na sasa hv nzima kbs,
Waganga wote ni wachawi (vigagula)
Huwezi kuwa mganga bila kuwa mchawi
Basi midume inapigwa sn pesa...wanawake ni MGEGEDO tu..pesa kiasiWe jamaa mshenzi, hahahahah sema mnawaoneaga sana wadada na wamama!
Hahahah sema nitapiga kwa bible labda na suti kaliBasi midume inapigwa sn pesa...wanawake ni MGEGEDO tu..pesa kiasi
Mkuu ukiyakanyaga pesa lazima utoe tu...naweza hata nikakutoa moshi kichwani....tuone km utagoma kutoa pesaHahahah sema nitapiga kwa bible labda na suti kali
I like itMsema kweli mpenzi wa mungu.nilishakwenda kwa mganga.kwa ajili ya demu.tulikuwa wapenzi ghafla aka badilika.akawa mgumu kinomaaa.hanipendi tena.niliumia.kuna rafiki yangu yeye ni mganga nikamueleza akasema tulia atarudi.
Tukafanya Mandingo mixer kuoga njia panda usiku.kuchoma sana UDI.kupasua Nazi n.k
Kiukweli demu alianza kubadilika na kuanza kuongea na Mimi.Mara salam n.k.
Siku zikapita tukarudi tena kwenye penzi.ila hatukudumu tuliachana.
Ushauri kama MTU hakupendi ACHANA NAE.MADAWA HUISHA NGUVU.
wazee wa Korombwee na mchomokoKka ulikiwa mpigaji nini?, na kija Jakob, Fortu, Ivan, Lyambaa?
zamani kuna mtu aliibiwa redio akaenda kwa mganga ambaye ni jirani yetu.mganga akamwambia aje na watu wote anaoishi nao .Baada ya watu wote kufika mganga akawaambia kila mtu anyanyue begi , wakanyanyua mmoja baada ya mwingine ikafika zamu ya mama mzazi wa mteja wake alikua ni mzee, kabla ajanyanyua begi mganga akasema subiri akaenda ndani na begi alivyorudi akamwambia yule mama anyanyue begi,mama wa watu akashindwa mganga akamwambia mteja wake nadhani umemuona aliye kuibia redio,mteja akasema haiwezekani mama yake aibe redio akamwambia mganga afungue bengi, mganga akagoma mteja akafungua begi kwa lazima, ndani ya begi wakakuta matofali ya blocks.Mganga alikula kichapo.
Nilipelekwa na mganga mtoni maeneo ya Msambiazi kwenye zile kona,mganga akaita mamba mtoni akaniambia nimkalie kichwani,wakati akifanya hivyo alikuwa amenishika nisikimbie.
Yaliyotekea ...nilijikuta kibenderani (polisi)nahojiwa kwa kosa la kushambulia na kutaka ku uwa
Waganga wengi ni waongo balaa
Kuna dada mmoja tulikuwa tunajua anaumwa nini lakini tuliamua kwenda kwa mganga ili tumsikie anasema nini
Mganga akaanza kumwambia umetupiwa jini na mchepuko wa mmeo na ndio linalokutesa
Daah tulicheka balaa baada ya kusikia uwongo wa mganga
Alikua? Kwahiyo kwa sasa yupo wapi?KUNA DEMU ALIKUWA ANANISUMBUA SANA. BIBI YANGU AKANIPA DAWA YA KUOGA. MAAJABU YULE BINTI ALINIPENDA MNO...
WAGANGA WAPO ILA WENG MATAPELI
Ulishawahi kwenda kwa daktari akakuambia, tuna tatizo gani leo?Rekebisha maelezo yako sasa kama hujawahi kwanini useme tulio wahi! Sema mliowahi kwenda kwa waganga njooni hapa. Inavyoonesha wewe ni mmoja wao wa kwa hizo imani ila umeamua ujitoe bila kujijua ukakosea kuandika.