Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
- Thread starter
-
- #201
Ukitokea msiba ukweni unashindwa hata kua karibu na mkeo. Utasikia mzazi mwenzie yule amekuja. Uchebe linakuja kumpa pole mkewako. Kiufupi kaolewe ulipobeba mimba
pole sana kakaUkitokea msiba ukweni unashindwa hata kua karibu na mkeo. Utasikia mzazi mwenzie yule amekuja. Uchebe linakuja kumpa pole mkewako. Kiufupi kaolewe ulipobeba mimba
Kuna mzee mmoja nimewahi kukutana nae aliniambia maneno haya
"Usioe mwanamke kwa kumuonea huruma mfano umekaa nae kwa kipindi kirefu ila kama kuna vitu umeona havifai na umejitahidi aviache, na vimeshindikana basi hata iwe vipi usioe kwa huruma"
hahahahahahh safi sana mkuuDada yangu ni single mother hali ni tete imebidi kaka zake tugawane watoto wake. Mmoja nimemchukua mimi namsomesha ni kichwa kweli kweli darasani anawakimbiza kisawasawa. Kwa upande wa elimu bila shaka atafika mbali sana. Mungu amsaidie.
Dogo amekua baraka sana kwangu tokea nimeanza kumuhudumia mambo yangu yananiendea vizuri sana. Baba yake yupo anapiga masanga tu na siku akijichanganya eti anamtaka mtoto nitamlima vichwa vya maana.
Labda Kama sio MimiKama na wewe umetelekeza mtoto jiandae kulimwa vichwa. Kuwa baba wa mtoto sio kuweka tu mbegu na kuacha mwanao alelewe kwa jasho la wanaume wenzio.
Changamoto zao kama zip mkuu?Shida si kuwaoa, shida ni unaweza kuwavumilia changamoto zao?
Nikwel Nina single mother kaniambia Baba mtoto wake kamtelekeza na mtoto na shangaa namba zake anazo na wanawasiliana'wengi' wapo ivyo ,singo maza LAZIMA awe na namba ya mzazi mwenza ( kama yupo hai )
wana maintain mawasiliano ili ' kulea mtoto ' na hapo ndipo utata unapoanzia
Washenzi hawaNenda kamuulize mzee Abdul alikubali kulea mimba ya Nasibu na akamlea had akafika umri wa kujiunga na elimu ya secondary lakn Leo hii diamond ana pesa na ameamua kuungana na mama yake kumkataa mzee Abdul mbele ya vyombo vya habari hawakumbiki hata chembe ya wema wake na mtt kaamua kubadili jina anajiita mtoto wa Nyange, wakat maisha yake tangu mama akiwa mjamzito alikaa na kulelewa kwa mzee abdul
Singo maza ni laana na ni nyoka mwenye sumu kali ukiona anaish na ww ujue yupo hapo kwasababu ya hali ngumu ya maisha na siyo mapenzi siku akiwa vizur kiuchumi atakudhalilisha kinoma
😂😂😂😂Usioe single Mother wengi wana laana. Mfano unaoa single Mother ambaye kazalishwa na mume wa mtu huyo ana laana ya kuingilia ndoa ya mwanamke mwenzake na kumpa maumivu. Hawa hawafai kbs, kwanza unaanzaje kuoa jitu limeshatimba huko halafu anakuja kwako hapana kwa kweli. Piga vita kuoa single Mother(PIVIKUSIMO)
VitishoKwa taarifa yako, mwanamke aliyezaa amekuthibitishia tayari kuwa ana uzazi na atakuzalia watoto. Hao unaowaita "wasichana wabichi" wametoa mimba nyingi na unakutana naye alishaharibu kizazi kwa abortions au kutokana na magonjwa ya zinaa na hana uwezo wa kuzaa tena. Danganyika na muonekano wa nje ujute milele..,.
nakiporo atapasha😂Umlime vichwa kwan unadhan baba wa mtoto Ni Nani? Atamtaka na atamchukua na hakn kitu utamfanya
Shikilia msimammo wako, ipo siku utaleta ushuhuda hapa.Vitisho
Wewe umeoa singo maza?
Tuanzie hapo kwanza
Hiyo ni kweli mkuu niko na dem wa hivyo ana sponsor aliyemzalisha mume wa mtu zamani naona amemuonea huruma amempeka chuo cha ususi na anajua hawezi kumuoa tena. Ananiambia mimi nimuoe huyo mzee walishaachana nae siku nyingi amenamsomesha tu na kumlipia fees mbalimbalihapana mkuu nimekutana nayo zaidi ya mara mbili wadada wanawaletea dharau wanaume wanaotaka kua nao seriously kisa tu anakibwana kina kagari halafu mume wa mtu mwisho anapigwa mimba anakua single maza baadae anaanza tafuta huruma mara oooh Kama unanipenda Mimi mpende na mwanangu
Hapo ujue alitelekezwa na alichokitafuta hakukipata anaanza kua na frustration kutwambia wanaume wote mbwa tu wakati alijua kabisa anapotea!
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo wewe kipimo cahko cha mwanamke bora ni kuwa Single Mother? HujitambuiNAWAPENDA PIA SINGLE MOTHERS… [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]. Najua wapo wanasoma hizi comments na wanaogopa kutoa neno ila mjue tu tunawapenda sana na kuwaoa tutawaoa. I love you guys, wako vizuri sana.