Hampendi mama yake na hii ni laana ....SIMPLE!!!Kipi cha kufurahia hapo mkuu..!?? Ni mbaya sana hii, we need to be liberated psychologically. Yaani umelelewa na single mother alfu umekuwa mkubwa unakuja kuwachukia single mothers kwa nini ?? I don’t see the reason for this..!
HandicapUnaanza first leg ukiwa na aggregate ya 0-1 hapana kwa kwl
Usioe single Mother wengi wana laana. Mfano unaoa single Mother ambaye kazalishwa na mume wa mtu huyo ana laana ya kuingilia ndoa ya mwanamke mwenzake na kumpa maumivu. Hawa hawafai kbs, kwanza unaanzaje kuoa jitu limeshatimba huko halafu anakuja kwako hapana kwa kweli. Piga vita kuoa single Mother(PIVIKUSIMO)
Handicap
twenti wani senchuari single mom wanaviburi Sana isee utasikia wanaume wote ni mbwaaaaaWangekuwa ni single maza wale wa enzi zile za mama zetu sawa ila hawa wa twenti senchuali my dear brother utapata heart attack ambayo hujawai ipata tangu uzaliwe
Tatzo letu Ni njaa ukiwa na njaa huwez kuwa na mpnzNipe tofauti Moja tu ambayo unaijua
ukioa single maza unakuwa na uhakika kwamba anacho kizazi tayariPamoja na maelezo yako yote
Pamoja na kwamba mama yangu pia amenilea akiwa single mom
Lakini Mimi sitakuja kufanya Hilo kosa la kuoa single mom labda km na Mimi tayari Nina watoto wawili
Ila bado Sina mtoto usinizungue mabint kibaooooo wabichi wakunizalia first born
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wangekuwa ni single maza wale wa enzi zile za mama zetu sawa ila hawa wa twenti senchuali my dear brother utapata heart attack ambayo hujawai ipata tangu uzaliwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yosefu alipoona Mariam ana mimba alitaka kumwacha kwa Siri mpka malaika akaingilia Kati kumtetea , unafki yosefu alikosea ? Single mom hatakiwi kuolewa kabsa Ni chukizo kwa Mungu
ukioa single maza unakuwa na uhakika kwamba anacho kizazi tayari
Tatzo letu Ni njaa ukiwa na njaa huwez kuwa na mpnz
Wakaolewe na waliowazalisha exception kwa widows pekee. Na kama wewe ni baba huruma pita kwenye vituo vya yatima ukawasomeshe na kuwatunza
Kama unawapenda....Oa wewe!