Kwa wale walio singo, unamtamani nani humu angekuwa mwenza wako?

Kwa wale walio singo, unamtamani nani humu angekuwa mwenza wako?

Binadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.

Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.

Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?

Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.

Karibu kwa chat!
Mimi sipo singo kwahiyo hii mada haitihusu mimi na lifetime soul Angel Nylon nampenda mpaka ndotoni
 
Mbona unasema "ninge", si utaje tu wajue kabisa legend..🤣🤣subiri kwanza kwaresma iishe jambo liwe jambo!🤣🤣
Nishakutaja mbona JF nzima inajua,,halafu iyo kwaresma tangu tuwekeane hiyo miadi naona inakimbia Kwa Kasi ya 5G,kweli usiku wa deni haukawii kucha🙆🙆😅😅
 
Back
Top Bottom