Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Nna siri nyingi hata nafsi yangu siwezi kuiambia.......

ngoja niwape siri sijui ndio mkasa.....

nina classmate wangu wa ps enzi hzo 2000's, tumeshibana sana since then! yeye baada ya kuhitim std 7 akaamua kuingia kitaa kupambana , mm nikaendelea na shule....Mungu si athuman mbishe za mchiz zilienda powa sana na hustlin za kutosha hatimae mdogo mdogo akatusua...... nikiri hata nikiwa chuo jamaa amenisapoti sana pocket money....

regardless profile zetu kielimu na kimafanikio bado tunaheshimiana sana na kusapotiana thou wote kwa sasA tuna maisha yetu japo mchiz kanizidi hatua kadhaa......

ee bhana huwa nikienda mkoa anaoishi nashukia kwake fresh....na nikiwa na mizunguko yangu huwa nachukua ndiga yake kiroho safi.....iko hivi wote hatujaoa , sa kuna siku nimeenda kwake.....ile tumeamka mchiz anarekebisha chai jikon mm nipo nafanya usafi na kupanga nguo.... ile vooop nikakutana na mguu wa mtoto(bastola) kwenye droo ya kabati...kumbuka funguo zilikuwa pale.....nilishtuka sana nikaendelea na yangu, mpaka leo sijawahi kumwambia mchizi ! mchiz ana biashara kadhaa na ni mtafutaji haswa sasa ule mguu wa mtoto sikujua lengo la kuumiliki, na hana mali nyingi kiasi cha kuhofia usalama mpaka kumiliki bastola........ still tuna mingo na kupeana michongo ila niko nae makini sana! unaambiwa kila mafanikio ya mtu kuna jambo nyuma ya pazia !
 
Nna siri nyingi hata nafsi yangu siwezi kuiambia.......

ngoja niwape siri sijui ndio mkasa.....

nina classmate wangu wa ps enzi hzo 2000's, tumeshibana sana since then! yeye baada ya kuhitim std 7 akaamua kuingia kitaa kupambana , mm nikaendelea na shule....Mungu si athuman mbishe za mchiz zilienda powa sana na hustlin za kutosha hatimae mdogo mdogo akatusua...... nikiri hata nikiwa chuo jamaa amenisapoti sana pocket money....

regardless profile zetu kielimu na kimafanikio bado tunaheshimiana sana na kusapotiana thou wote kwa sasA tuna maisha yetu japo mchiz kanizidi hatua kadhaa......

ee bhana huwa nikienda mkoa anaoishi nashukia kwake fresh....na nikiwa na mizunguko yangu huwa nachukua ndiga yake kiroho safi.....iko hivi wote hatujaoa , sa kuna siku nimeenda kwake.....ile tumeamka mchiz anarekebisha chai jikon mm nipo nafanya usafi na kupanga nguo.... ile vooop nikakutana na mguu wa mtoto(bastola) kwenye droo ya kabati...kumbuka funguo zilikuwa pale.....nilishtuka sana nikaendelea na yangu, mpaka leo sijawahi kumwambia mchizi ! mchiz ana biashara kadhaa na ni mtafutaji haswa sasa ule mguu wa mtoto sikujua lengo la kuumiliki, na hana mali nyingi kiasi cha kuhofia usalama mpaka kumiliki bastola........ still tuna mingo na kupeana michongo ila niko nae makini sana! unaambiwa kila mafanikio ya mtu kuna jambo nyuma ya pazia !
Huyo hatari anakaba
 
hapa tutadanganyana tu.... siri ya kweli na ya kuitwa siri... hata humu huwezi kuiandika... sikatai zipo siri, ila hapa mi naamini wapo waliopata kuua,hawawezi kusema, kukanyagwa walau mara moja kinyume na maumbile, nao wapo...

siri ni hizo,siyo za kupekua simu... kama ni mdada pengine kuna kitu ulikifanya ukajutia, au mpaka sasa unajutia na umekifanya kuwa siri... mambo ya namna hiyo....

Japo nakumbuka JF ya miaka mingi nyuma, kuna jukwaa nilikuwa, na nikamkuta mmama au mdada labda, akijielezea kuwa alikuwa na kazi, ila alitaka cheo, na ijapokuwa vigezo alikuwa navyo, ila hakuwa peke yake waliokuwa wanafit kwenye hiyo position..
Alijaribu kwa kumuendea boss husika ambaye bila kusita alimwambia nafasi hiyo ataipata, ili mradi awe tayari kuliwa uroda..
Kitu ambacho baada ya kusita na kujishauri sana, alikifanya... lakini ilikuwa ni siri yake kwa muda mrefu kama alivyojieleza, na ijapokuwa anaishi vizuri na maslahi ya cheo hicho anayaona, lakini alikiri JF kuwa alikipata kwa njia hiyo.

Unaweza kupima siri ni kitu cha namna gani.. siri ni kile ambacho kinakugusa wewe binafsi...
Acha mbwembwe,lete siri
 
Daaahh Nina siri ya uchaguzi 2015..Yaaani hawa jamaa nawatunzia siri zao mpaka sasa halafu wamenitupa kama hawajui Nina siri nzito.Kama mheshimiwa unapita humu tafadhali nikumbuke ktk ufalme wako.Mzee wangu Jo unakumbuka sikuwa nikilala,usiku na mchana tunahangaika,Leo mumenitupa jamanii.
Sikiliza nyimbo ya Lucky dube The way it is
 
Nilimaliza shule ya msingi jijini DSM , kutoka shule ile tulichaguliwa watu 10 kujiunga na sekondary ( kumbuka enzi zile haikuwa rahisi watu kujiunga na secondary za umma wadada 4 wakaka 6 ) , japo baadaye nilikuja kuhama shule za umma , kuelekea shule ya sekondari niliyopelekwa tuliotoka shule 1 ya msingi tulichaguliwa wawili tu na tulipangwa pamoja form 1 Q , kiukweli nilishangaa mtu niliyejiunga naye form 1 si yule niliyefanya naye mtihani wa kumaliza darasa la 7 , sikuwahi kumuuliza yeye binafsi wala sikuwahi kumuambia mtu yeyote kuhusu jambo lile hadi leo , japo yeye alionekana kudokezwa kuhusu mimi na aliniheshimu kwa miaka miwili niliyosoma naye
Enzi gani sasa mkuu?
 
Baba alikuwa anamla bosi fulani hivi wa kike kule Nairobi,alinitoa sana mapene ninyamaze mpaka leo nimekuwa mtu mzima 100% mama hajawahi kujua na mpaka leo namuitaga shangazi.
Hongera pia umsaidie atakapo polekwa motoni.
 
Nna siri nyingi hata nafsi yangu siwezi kuiambia.......

ngoja niwape siri sijui ndio mkasa.....

nina classmate wangu wa ps enzi hzo 2000's, tumeshibana sana since then! yeye baada ya kuhitim std 7 akaamua kuingia kitaa kupambana , mm nikaendelea na shule....Mungu si athuman mbishe za mchiz zilienda powa sana na hustlin za kutosha hatimae mdogo mdogo akatusua...... nikiri hata nikiwa chuo jamaa amenisapoti sana pocket money....

regardless profile zetu kielimu na kimafanikio bado tunaheshimiana sana na kusapotiana thou wote kwa sasA tuna maisha yetu japo mchiz kanizidi hatua kadhaa......

ee bhana huwa nikienda mkoa anaoishi nashukia kwake fresh....na nikiwa na mizunguko yangu huwa nachukua ndiga yake kiroho safi.....iko hivi wote hatujaoa , sa kuna siku nimeenda kwake.....ile tumeamka mchiz anarekebisha chai jikon mm nipo nafanya usafi na kupanga nguo.... ile vooop nikakutana na mguu wa mtoto(bastola) kwenye droo ya kabati...kumbuka funguo zilikuwa pale.....nilishtuka sana nikaendelea na yangu, mpaka leo sijawahi kumwambia mchizi ! mchiz ana biashara kadhaa na ni mtafutaji haswa sasa ule mguu wa mtoto sikujua lengo la kuumiliki, na hana mali nyingi kiasi cha kuhofia usalama mpaka kumiliki bastola........ still tuna mingo na kupeana michongo ila niko nae makini sana! unaambiwa kila mafanikio ya mtu kuna jambo nyuma ya pazia !
Sawa tunakutafuta
 
Kuna mzee mmoja ni rafiki yangu ila kwasasa anastress za kufa MTU
Alinihadithia kisa cha ajabu sana ambacho sitakisema mpk nipate notification za likes zisizopungua 50

Kifupi sana mzee huyu alizunguka karibu magereza yote makubwa tz kosa alilolifanya mwaka 1971 ndio lililompeleka jela akaacha kiasi cha pesa za Tanzania milioni moja na laki NNE amekifukia chini ya ardhi maeneo ya chuo cha ualimu korigwe tanga ametoka jela 1998 toka 1971 anasema anaamini hizo hela zipo mpk Leo ila hakuzifwata kwakuwa zilishabadilishwa noti na sarafu

Ni kisa cha kusisimua mno
Hayo mashart khaaa,hatukupi likes kama hutaki acha,baki na story yako ikusisimue
 
Kuna moja hilo, sidhani kama nitakuja kumwambia mtu. I'll go down with it, ila nimeshatubu kwa mola.
 
Poa wadau, mawazo yenu ni mazuri ila mjue uzaifu wa mtu ni yeye mwenyewe, jifunzeni kujua na kutambua mazaifu yenu, hatufanani kimatendo guys
 
Mimi nikitoa siri uwa naamwambia mtu mapema kabisa "ukisema mimi nakuruka

Usije ukajidanganya ukanambia mimi SIRI,halaf nyinyi wakuniruka huwa nawapenda mno,yaani hapo sijui tutakusutaje tu,
Yalishanikuta hayo,jamaa akaniruka maili mia8[emoji3]lkn kutokana na maelezo yalivyo jamaa aliishia kutoa machozi tu na hasira kemkem[emoji3]
 
Jamani hizi habari Za siri matatizo, mana mimi mwenzio nina siri nzito nikisema tu mnanitenga wote, hivyo ngoja niufinye
 
Mie siri ambayo nilisahau kuisema (huwa situnzi siri, hii ilitokea bahati mbaya siku mwambia mtu)
Kipindi hicho nilikuwa huko Tanzania (Dar), ninaishi katikati ya mji kwenye apartment fulani hivi, sasa usiku nikaenda kula chips kwa mgogo mmoja hivi hapo hapo karibu Posta, Lahaula nikakuta ndio analetewa mafuta ya transfoma na mteja wake!
Nilizuga sijaona ili asije akanidhuru.
Sikurudia tena kula chips za Mazengo, mxewuuuu
yesu wangu am dead!!!! nimekula sana chips za mazengo dah!
 
yesu wangu am dead!!!! nimekula sana chips za mazengo dah!
hahahaah, kumbe unamfahamu. Kipindi hicho alikuwa anapikiwa opposite na Hoteli yetu ya Embassy!!!.
Yaani ni balaa. Nilivyoona hivyo nilifanya sioni maana nilihisi angenidhuru. NIkarudi zangu hosteli kimya kimya
 
Back
Top Bottom