Mitaa ya pombe sn kule Ng'ambo ni kwa Gondwe, Nguno na Mapumziko! Yani huko pombe la kienyeji kwa kwenda mbele!
Teh Teh Teh Teh!
Mi kama nilikuwa nakuona pale ngomasakasi! Karibu na amani hotel.
Au sio wewe!?
Mimi nilikuwa naenda kuwacheck kina Mzungu wakidrible. Mimi ni mama aisee.
Nakumbuka nilivyoingia milambo high school nikapita mitaa ya chem chem kila nyumba nasikia harufu ya pilau ukiangalia nyumba zilivyopinda nilichoka.
Mkuu Ntuzu we kumbe yale masuala ya wanzuki na pombe ya ulazi ndio ilikuwa weekend yako saaafi pale kwa mwendesha!
Sio!?
Au ulikuwa unapigia pale Kachoma! Karibu na chem chem!?
Teh teh teh teh!
Tehtehtehteh... sio mimi bwana, mie nilikuwa mtoto wa geti kali, uncle wangu alikuwa meneja wa RTC Tabaora wakati aunt alikuwa mwl kazima sec, alikuwaje mkali!
lazima uwajue kamsululu, marehemu meja, joad, byela (rip) nk.
Ntuzu we sasa naona unakuja vibaya!Nimecheza basket ball na hao akina Major na akina Bakari Chaima!
Kumbe Major ni marehemu?
Duhh anti kutaja hayo mambo ya geti kali.
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja alikuwa na ndege wake kule Cheo karibu na kambi ya jeshi.
Mtoto geti kali kiroho mbaya!
Sasa jamaa siku moja kanipitia nimsindikize. Manake ndege ilimuahidi kukutana nyuma ya nyumba magharibi time!
Basi wakati tunaenda tukakosea step tukapita maeneo ya jeshi!
Weeee!
Kulirukishwa kichura kama hatuna akili nzuri!
Kitokeo cha hapo. Breki ya kwanza isevyaaaa kwenda kutafuta supu ya makongoro! Pale karibu na Mzee makubeli!
Manake miguu ilikuwa inauma kishenzi!
Teh teh teh teh!
Cc manumbu1
Ntuzu we sasa naona unakuja vibaya!
Meja yupi unaemjua wewe!
Manake meja nnae mjua mimi tumesoma pamoja Isike.
Na pale student centre tulikuwa wote kila jioni!
Na je! Kibira family unawafahamu.
Wale kina issa kibira. Na pale fourways karibu na TBR by night!?
Nawakumbuka bado wapo ingawa wameanza kuisha kama tembo sijui wanawasafirisha naoKuna wale wengine wanaitwa Ntyetye! Wanapenda kukaa kwa makazi ya watu! Unawakumbuka?
Nimecheza basket ball na hao akina Major na akina Bakari Chaima!
Kumbe Major ni marehemu?
Huyo Huyo aliekua anacheza BasketBall pale Uhazili!