manumbu1
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 713
- 403
waswezi unawakumbuka? nimesoma uyui na gongoni, uhazili nimecheza basketball, disco la muungano mess nimecheza. makokola je, vipi?
Nawakumbuka waswezi wakati niko mtoto walinitokea sehemu wakiwa wamejipaka marangi usoni Nika wa amkia shikamoo wakanijibu marahanyo ,walikuwa wana lugha ya ajabu ajabu sana, aise mboka Safi sana