Kwa wanandoa: nani ana jukumu la kufua nguo zenu za ndani?

100% Bantu Lady Checked!
 
Happy new year bibi Kassie
Hapa umemaliza kila kitu
 
Kama umelelewa kwenye imani ya kikristo, kuna neno UPENDO... hili ni Tunda la Roho na lina matawi yake...

UPENDO- Haujivuni, Haubesabu mabaya, Hautakabari, na mengine 4 nimesahau atayekumbuka aongeze hapa.

Ukimpenda mwenza wako kwa Tunda la Roho = UPENDO huwezi kufika kwenye hii kesi ya nani afue kufuli...

Kila la Kheri.
 
Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini?

(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
inategemeana na mnavyoheshimiana na kupendana. Kuna wanawake wanapenda usafi wakati wote, hufua boksa za waume zao kila siku ni lazima ubadilishiwe kila unapotoka bafuni, kama hutaki na uroda hupewi
 
Mke anaejieliwa hufanya kazi za mumewe mwenyewe, akianza kupangiana zamu na mumewe kufua nguo za ndani hashindwi kumpa hata kijakazi kufua

Mimi niko bize sana na kazi si shindi nyumbani lakini kila ki
tu cha Mume wangu na fanya mwenyewe hadi mafuta na mpka imefikia hatua, niki mtizama namuona hawezi lolote like a baby.

Nae ameshazoea maisha hayo.
 
Kufua boksa moja au kimwanandani/kyupi moja unapoenda kuoga inachukua muda gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…