100% Bantu Lady Checked!Kwenye ukuaj wangu had Sasa hiyo ni kazi ya mke watu wasilete uzungu wa et kusaidiana ooh sijui 50/50 mim sitak hayo wewe nenda katafute mim na watoto tule mim nitakufulia hata kukufua na wewe nitafanya ivo
Hiyo boxer hainigharim chochote as long as nakula nashiba [emoji4]
Happy new year bibi KassieNimetebasamuu halafu nikataka kucheka ila kicheko kikapotea....
Haya mambo banaa, na usishangae kuna walioachana kisa kufua nguo za ndani....
Mke anasema mimi sifui boksa zako unavaa wiki nzima unarudia...
Mume anakasirika kwanini hunijali na mimi nispoona boksa safi navaa ya jana...!!!🤔🤔🤔 (ana mkomoa nani...! Mbupuuu au mkee..!!?). Ukurutu unaanzia hapa..
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya kufanya harusi, shurti kwanza uwe umepevuka kiakili/maarifa na uwe na busara za kutosha.
Ukiwa na mihemko, hasira za mkizi na maamuzi yasiyo na kichwa wala miguu, umekwisha.....!!
Jiulize tuu, kutoa/kutolewa mahari ndo sababu ya kubadili mfumo wako wa maisha?
Kama wakati uko mseja ulikuwa unajimudu, kwanini baada ya kuoa/kuolewa uwe mlemavu mwenye viungo vyote? Hii ni hata kina dada, kama ulikuwa unajigharamia kwanini baada ya kuolewa ugharamikiwe...!!
Fanya huduma unayopewa na mwenza kama zawadi/nyongeza isipokuwepo isokuletee masononeko, maumivu au kuona hutendewi haki au kudhulumiwa.
Sikuzote penda maisha ya kujitegemea na si kutegemea flani kwa namna yeyote ile. Atayekupenda kwa dhati atakufata hapo ulipo ukiwa unajimudu na yeye asikufanyie jambo ili umuelekee, afanye bila kutarajia malipo.
Suluhiso la kuondoa hiyo kero tajwa, wekeni bajeti ya luku ya kutosha kwa mwezi, bajeti ya bili ya maji, nunueni mashine ya kufulia, chupi/boksa za kuvaa mwezi mzima bila kurudia.
Siku ya kufua iwe mara moja au 2 kwa wiki mnatumbukiza visinda vyenu humo, vesti, soksi, hendikachifu, brazia, gagulo, skin tite kisha mnaanika kama hamna mashine ya dryer.
Mkishindwa hapo tembeeni wizout. Yaani wewe usivae boksa, nayeye asivae kufuli wala brazia, nawewe usivae vesti wala soksi kukwepa nani afue na pia mtapunguza gharama ya kuzinunua.
NB: Dada wa kazi asifue nguo yeyote ya ndani. Mpeni suruali mashati magauni sketi blauzi basi. Hata hendikachifu asifue.
HYGENE: Usirudie kuvaa nguo ya ndani, vaa nguo ya ndani.mara moja kisha ifue.
Mwenye sikio asikie.
Bibi Kasinde.
Nafua mwenyewe aisee!Simfulii mtu mkwega wake kwenye pindo umegandamana kama alikuwa anapakaza maparachichi.🤣😄😄😄😄😄😄 Kama mzee wako alikuwa anajifulia mwenyewe pole sana na wewe endelea kujifulia!
😁😁😁😁😁😁Nafua mwenyewe aisee!Simfulii mtu mkwega wake kwenye pindo umegandamana kama alikuwa anapakaza maparachichi.🤣
inategemeana na mnavyoheshimiana na kupendana. Kuna wanawake wanapenda usafi wakati wote, hufua boksa za waume zao kila siku ni lazima ubadilishiwe kila unapotoka bafuni, kama hutaki na uroda hupewiHuko kwenu mnafanyaje? na kwanini?
(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
Kufua boksa moja au kimwanandani/kyupi moja unapoenda kuoga inachukua muda gani?Mke anaejieliwa hufanya kazi za mumewe mwenyewe, akianza kupangiana zamu na mumewe kufua nguo za ndani hashindwi kumpa hata kijakazi kufua
Mimi niko bize sana na kazi si shindi nyumbani lakini kila ki
tu cha Mume wangu na fanya mwenyewe hadi mafuta na mpka imefikia hatua, niki mtizama namuona hawezi lolote like a baby.
Nae ameshazoea maisha hayo.
Man! That a real questionKufua boksa moja au kimwanandani/kyupi moja unapoenda kuoga inachukua muda gani?
5 minutes,huh?I do it for less than that per single piece.Man! That a real question
By the way, even 5 minutes I don't think it's over
Uzi na ufungwe ASAP.Kwenye ndoa.. Hasa kwa wanaojua maana ya ndoa mambo mengi hayana formula.. Ama formula Ku u ni upendo
Uzi utakuwa na ubaguzi,kukosa demokrasia ya kujieleza kwa uhuru na kutoa nafasi kwa wote.Uzi na ufungwe ASAP.
Sawa, hayo yalikuwa makadirio tu.5 minutes,huh?I do it for less than that per single piece.
Haya basi afue house girlUzi utakuwa na ubaguzi,kukosa demokrasia ya kujieleza kwa uhuru na kutoa nafasi kwa wote.
Kwa teknolojia ilivyokua mambo ya kufua ni mwendo wa mashine tu na yoyote anaweza kufanya hivyo kwa wepesi na uharaka zaidi.Wanandoa mna mbwembwe na ndoa zenu, mi naona anayemkojoza mwenzake ndo afuliwe..!! Au nyie mnaonaje??
Unataka varangati la "Kaboka mchizi" lifumuke?Kila niingiapo bafuni,kabla ya kuoga nafanya kufua moja.Haya basi afue house girl