Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Kizazi cha ChatGPT kila kitu kina Google.Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini?
(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
[emoji3][emoji3][emoji3] uzungu umezid sikuhizi ndo maana ndoa zinalegea mwanamke ameolewa au mwanamme kaoa Ili aje kusaidiwa na mwanamke hiyo ndio maana ya ndoa hayo mambo mengine achien wazungu sisi tuendeleze tamaduni zetuKabisaaa, hata mke awe mtu wa ofisini , akirudi lazima afanye majukum yake ikiwemo na usafi wa wote wawili na watoto, mimi nawasha tv kabisa na kina junior tunanza kuangalia katuni zetu mama anafua boksa huko uani.
Hiyo ndio ndoa wakati wa amani, mkianza eti leo na wewe fua , boksa zako zinanuka , mara oooh mm leo nimechoka hiki kufanya , kwani wewe huna mikono, kwani zamani ulikuwa unafanyiwa na nani?. Kila kazi mm! Hapa na 50/50 hiiiiiiiiiii umekwisha mwanaume
HAPO NDOA HAKUNA ,ILA IPO NDOANO [emoji28][emoji28]
Wewe upo vizuriUnataka varangati la "Kaboka mchizi" lifumuke?Kila niingiapo bafuni,kabla ya kuoga nafanya kufua moja.
Hapa nimetoka msikitini na kupiga uji wa pilipili manga.Nikimaliza nafua nguo za "wajukuu" kidogo na zangu huku nasikiliza "Sintosahau"! Mambo ni wagadaa!Wewe upo vizuri
C na D inatumika sana pale penzi linapokuwa jipya,lakini miaka inavyokwenda mbele A ndio inatumika zaidi...Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini?
(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
Wife ana raha sanaHapa nimetoka msikitini na kupiga uji wa pilipili manga.Nikimaliza nafua nguo za "wajukuu" kidogo na zangu huku nasikiliza "Sintosahau"! Mambo ni wagadaa!
Atakayenioa anacho atafua boksa zake na michupi yangu πΉπ€£π€£Kwa teknolojia ilivyokua mambo ya kufua ni mwendo wa mashine tu na yoyote anaweza kufanya hivyo kwa wepesi na uharaka zaidi.
Haki bila wajibu ni uhuni. Umenena kweli, nitatoa mfano wangu mimi. Dhumuni la kuoa lilikuwa ni pamoja na kupata msaidizi katika masuala ya kupika, kufua, kuosha vyombo na kutandika kitanda. Nilikuwa nakereka katika masuala hayo. Lakini wakati huo huo nilijua kuwa mke si mpagazi au mtwana, hivyo jukumu langu kuu ni kumwekea vitendea kazi ili iwe rahisi kwake kutekeleza majukumu yake.Nimetebasamuu halafu nikataka kucheka ila kicheko kikapotea....
Haya mambo banaa, na usishangae kuna walioachana kisa kufua nguo za ndani....
Mke anasema mimi sifui boksa zako unavaa wiki nzima unarudia...
Mume anakasirika kwanini hunijali na mimi nispoona boksa safi navaa ya jana...!!!π€π€π€ (ana mkomoa nani...! Mbupuuu au mkee..!!?). Ukurutu unaanzia hapa..
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya kufanya harusi, shurti kwanza uwe umepevuka kiakili/maarifa na uwe na busara za kutosha.
Ukiwa na mihemko, hasira za mkizi na maamuzi yasiyo na kichwa wala miguu, umekwisha.....!!
Jiulize tuu, kutoa/kutolewa mahari ndo sababu ya kubadili mfumo wako wa maisha?
Kama wakati uko mseja ulikuwa unajimudu, kwanini baada ya kuoa/kuolewa uwe mlemavu mwenye viungo vyote? Hii ni hata kina dada, kama ulikuwa unajigharamia kwanini baada ya kuolewa ugharamikiwe...!!
Fanya huduma unayopewa na mwenza kama zawadi/nyongeza isipokuwepo isokuletee masononeko, maumivu au kuona hutendewi haki au kudhulumiwa.
Sikuzote penda maisha ya kujitegemea na si kutegemea flani kwa namna yeyote ile. Atayekupenda kwa dhati atakufata hapo ulipo ukiwa unajimudu na yeye asikufanyie jambo ili umuelekee, afanye bila kutarajia malipo.
Suluhiso la kuondoa hiyo kero tajwa, wekeni bajeti ya luku ya kutosha kwa mwezi, bajeti ya bili ya maji, nunueni mashine ya kufulia, chupi/boksa za kuvaa mwezi mzima bila kurudia.
Siku ya kufua iwe mara moja au 2 kwa wiki mnatumbukiza visinda vyenu humo, vesti, soksi, hendikachifu, brazia, gagulo, skin tite kisha mnaanika kama hamna mashine ya dryer.
Mkishindwa hapo tembeeni wizout. Yaani wewe usivae boksa, nayeye asivae kufuli wala brazia, nawewe usivae vesti wala soksi kukwepa nani afue na pia mtapunguza gharama ya kuzinunua.
NB: Dada wa kazi asifue nguo yeyote ya ndani. Mpeni suruali mashati magauni sketi blauzi basi. Hata hendikachifu asifue.
HYGENE: Usirudie kuvaa nguo ya ndani, vaa nguo ya ndani.mara moja kisha ifue.
Mwenye sikio asikie.
Bibi Kasinde.
Cheza na wanawake wewe!!!!Kwa teknolojia ilivyokua mambo ya kufua ni mwendo wa mashine tu na yoyote anaweza kufanya hivyo kwa wepesi na uharaka zaidi.
Kwanini mkuu ?Cheza na wanawake wewe!!!!
Usipokuwa na agreement toka mwanzo ya division of labour, lazima ndoa ibongonyoke. Ndiyo maana utaingia katika nyumba unakuta mwanamke bila aibu anatoa amri kwa mume wake akaanue nguo nje wakati yeye anachati katika simu.Kwanini mkuu ?
πππAtakayenioa anacho atafua boksa zake na michupi yangu πΉπ€£π€£
Namwambia kabisa ukimaliza babe uje nikupoze na tumbua π€
Hiyo ni noma sana mpka uambiwe hivyo utakuta hauwajibiki kama baba labda.Usipokuwa na agreement toka mwanzo ya division of labour, lazima ndoa ibongonyoke. Ndiyo maana utaingia katika nyumba unakuta mwanamke bila aibu anatoa amri kwa mume wake akaanue nguo nje wakati yeye anachati katika simu.
Naomba nikufulie chupi yakoNimetebasamuu halafu nikataka kucheka ila kicheko kikapotea....
Haya mambo banaa, na usishangae kuna walioachana kisa kufua nguo za ndani....
Mke anasema mimi sifui boksa zako unavaa wiki nzima unarudia...
Mume anakasirika kwanini hunijali na mimi nispoona boksa safi navaa ya jana...!!!π€π€π€ (ana mkomoa nani...! Mbupuuu au mkee..!!?). Ukurutu unaanzia hapa..
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya kufanya harusi, shurti kwanza uwe umepevuka kiakili/maarifa na uwe na busara za kutosha.
Ukiwa na mihemko, hasira za mkizi na maamuzi yasiyo na kichwa wala miguu, umekwisha.....!!
Jiulize tuu, kutoa/kutolewa mahari ndo sababu ya kubadili mfumo wako wa maisha?
Kama wakati uko mseja ulikuwa unajimudu, kwanini baada ya kuoa/kuolewa uwe mlemavu mwenye viungo vyote? Hii ni hata kina dada, kama ulikuwa unajigharamia kwanini baada ya kuolewa ugharamikiwe...!!
Fanya huduma unayopewa na mwenza kama zawadi/nyongeza isipokuwepo isokuletee masononeko, maumivu au kuona hutendewi haki au kudhulumiwa.
Sikuzote penda maisha ya kujitegemea na si kutegemea flani kwa namna yeyote ile. Atayekupenda kwa dhati atakufata hapo ulipo ukiwa unajimudu na yeye asikufanyie jambo ili umuelekee, afanye bila kutarajia malipo.
Suluhiso la kuondoa hiyo kero tajwa, wekeni bajeti ya luku ya kutosha kwa mwezi, bajeti ya bili ya maji, nunueni mashine ya kufulia, chupi/boksa za kuvaa mwezi mzima bila kurudia.
Siku ya kufua iwe mara moja au 2 kwa wiki mnatumbukiza visinda vyenu humo, vesti, soksi, hendikachifu, brazia, gagulo, skin tite kisha mnaanika kama hamna mashine ya dryer.
Mkishindwa hapo tembeeni wizout. Yaani wewe usivae boksa, nayeye asivae kufuli wala brazia, nawewe usivae vesti wala soksi kukwepa nani afue na pia mtapunguza gharama ya kuzinunua.
NB: Dada wa kazi asifue nguo yeyote ya ndani. Mpeni suruali mashati magauni sketi blauzi basi. Hata hendikachifu asifue.
HYGENE: Usirudie kuvaa nguo ya ndani, vaa nguo ya ndani.mara moja kisha ifue.
Mwenye sikio asikie.
Bibi Kasinde.
Huyu sasa ndio mkeπππππKwenye ukuaj wangu had Sasa hiyo ni kazi ya mke watu wasilete uzungu wa et kusaidiana ooh sijui 50/50 mim sitak hayo wewe nenda katafute mim na watoto tule mim nitakufulia hata kukufua na wewe nitafanya ivo
Hiyo boxer hainigharim chochote as long as nakula nashiba [emoji4]
Tema mate chini. Hata ufanye nini kamwe huwezi kuwatimizia watakayo hawa wapenzi wetu. Natoa mfano, humu JF kila wakati utasikia, mwanaume tafuta pesa. Je Kocha wa Manchester City si mke wake ambaye ameishi naye miaka 30 ametoa sababu ipi ya kudai talaka? Just imagine! Mwanamke kama ni mnoko ni mnoko tu, jinsi ya kuishi naye ni agreement ya division of labour na unahakikisha huo mkataba unadumu miaka yote, ukivunja kipengele kimoja basi wewe kwisha.Hiyo ni noma sana mpka uambiwe hivyo utakuta hauwajibiki kama baba labda.