Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Ukweli ulio na logical consistency.

Usio na contradiction.

Dhana ya sasa ya kuwepo Mungu, hususan kuanzia na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ina contradiction, haina logical consistency.

Contradiction moja kubwa ni The Problem of Evil, ambayo nimeielezea hapo juu.

Contradiction hii haijapatiwa ufumbuzi mpaka leo. Inaonesha huyo Mungu hayupo ndiyo maana contradiction hii haijapatiwa ufumbuzi.

Ila, katika uzi huu, kufanya mazungumzo ya kifalsafa ya logical consistency, contradiction, the problem of evil, etc, na watu wengi, ni kazi ngumu.

Kwa sababu watu wengi hawaelewi au hawajali haya mambo.

Watu wengi hapa hawaelewi hata The Problem of Evil ni nini.

Wangeelewa, nisingekuwa na kazi kubwa sana ya kujieleza.
Acha mambo mengi we amini Mungu yupo ..
 
Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
We mtu wa Mungu uwezi kutukana vile na wewe ndio unatufanya tuhakikishie kuwa hakuna mungu
 
Kila uumbaji au upatikani wa kitu una mizizi yake, kama ilivyo simu ya kwanza kutengeneza, gari, na vitu vengine utaniambia sayansi kibao sababu wewe ni daktari nazungumza sababu ya vitu vyote kuwepo hizi sio nadharia zenu za binadamu wa kwanza alikuwa nyani
Kama Kila Kitu kina Mzizi Ipi Asili Ya Mungu wa Wakristo,Waislamu na Wayahudi..
Maana Asili ya Mungu wa Wahindu, Wabudha, Kaballah na Dini zingine Anajulikana
 
Acha mambo mengi we amini Mungu yupo ..
Mungu angekuwapo, tusingehitaji kuamini yupo.

Wote tungejua yupo, tungejua bila shaka, na wote tungemjua Mungu wa kweli kusingekuwa na longolongo za kila mtu na Mungu wako.

Kuamini Mungu yupo nako ni uthibitisho Mungu hayupo.

Yani ni hivi, hata nikisema nikubali unachosema, niamini Mungu yupo, huko kuamini Mungu yupo nako kutakuwa ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.
 
Mungu si kitu wala jambo au mambo flani, sababu ni zaidi ya hayo na aliyo yaumba
Hujajibu Swali umesema Kila Chochote Kina Asili Bhasi nimeuliza Bhasi asili ya Mungu ni wapi na ni lini mizizi yake mbona ni swali jepesi..
Nimekupa Mfano ukienda kwa Hizo dini zingine utaona Wanaelezea Jinsi Mungu alivyotokea na Jinsi alivyoumba Mumgu wengine kwa Kazi zingine mpaka ikafikia Kuumba kwa Ulimwengu
 
Mungu angekuwapo, tusingehitaji kuamini yupo.

Wote tungejua yupo, tungejua bila shaka, na wote tungemjua Mungu wa kweli kusingekuwa na longolongo za kila mtu na Mungu wako.

Kuamini Mungu yupo nako ni uthibitisho Mungu hayupo.

Yani ni hivi, hata nikisema nikubali unachosema, niamini Mungu yupo, huko kuamini Mungu yupo nako kutakuwa ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.
Kwahiyo wewe unaamini uwepo wako na hapo ulipo ni alinacha?
 
Kwahiyo wewe unaamini uwepo wako na hapo ulipo ni alinacha?
Kwa nini unaulizia kuamini?

Kuqmini si muhimu. Unaruhusiwa kuamini unavyotaka, iwe uongo, ukweli.

Imani ni haki ya kibinadamu. Amini vyovyote unavyotaka.

Sasa kwa nini unajikita kwenye maswali ya "unaamini?".

Yani ni hivi, imani unaruhusiwa kuamini hata uongo, sasa swali la imani lina umuhimu gani?

Let's talk about facts, si imani.
 
Umewai kujiuliza how the planets eg earth mars ...the sun moon.. stars ...mvua ...namna jua Lina waka na mwishowe usiku kuingia ni...namna majira kama kipupwe kiangazi kuja zikipishana ni binadamu aliweka au maana hamna binadamu mwenye uwezo wa hivyo
 
Hujajibu Swali umesema Kila Chochote Kina Asili Bhasi nimeuliza Bhasi asili ya Mungu ni wapi na ni lini mizizi yake mbona ni swali jepesi..
Nimekupa Mfano ukienda kwa Hizo dini zingine utaona Wanaelezea Jinsi Mungu alivyotokea na Jinsi alivyoumba Mumgu wengine kwa Kazi zingine mpaka ikafikia Kuumba kwa Ulimwengu
Uwezi kumzunguzia mungu wa kweli kwenye kitu ama jambo sababu yeye si kitu ama jambo, wao baniani sijui nani wanaabudu vitu ambavyo wameunda wenyewe sisi tuna muabudu yule aliye tuumba siye, ukirudi kwenye swali sisi tuna muamini na kumuabudu mungu aliye juu tena juu zaidi ya kila alivyo viumba zaidi ya mambo yote ambayo tunayaendea mbioo, na hutuwezi kumuabudu mungu wa kuundwa au kutengezwa, na kaweka bayana mungu kama miungu hao wengine unao wasema miungu ya uongo yeye ni mmoja hajazaa wala hajaazaliwa kasema kwamba hajafanana na yoyote na hii ni kwa imani yangu ya kiislam, niambie bayana ipi unaisema wewe wakati mungu mbona kaweka wangu kaweka bayana, sasa kwa akili zako kwa bayana hii utataka kusema au kuhoji kwanini hazai, yeye si binadamu ni mungu habari za kuzaa na yeye wapi na wapi natamani uniulize zaidi
 
Umewai kujiuliza how the planets eg earth mars ...the sun moon.. stars ...mvua ...namna jua Lina waka na mwishowe usiku kuingia ni...namna majira kama kipupwe kiangazi kuja zikipishana ni binadamu aliweka au maana hamna binadamu mwenye uwezo wa hivyo
Kwani ikiwa hakuna binadamu aliyeweka hivyo, basi ni lazima Mungu kaweka?
 
Kama kuna mtu haamini kama kuna Mungu basi ajaribu kumuita Mungu kwa Imani atapopata jibu ndio ataamini.
 
Kwa hiyo mungu huwa anapita kila nanasi kuweka sukari??
Hapiti kila sehemu lakini utaratibu wa uundaji wake na matendo ndiyo maana tunawambia anastahili kushukuliwa, hiyo ni miongoni mwa mifano midogo kati ya mikubwa ambao yote kwa ujumla ndio maana tunawasisitiza ndugu zetu
 
Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Nature ndo Mungu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom