Hizi habari kuhusu Mungu, HAKUNA anayeweza kuzielezea kwa ukamilifu.... Wote wanaoabudu au kusema kuhusu Mungu Bado wameaminishwa TU, kwa sababu, kama ni kutegemea maandiko mf. Biblia... Hata biblia yenyewe HAIAMINIKI!...
Ukweli ni kwamba, HAKUNA KITU HALISI (PHYSICAL BEING) KINACHOITWA MUNGU... HAKUNA! Neno Mungu lilipewa "Uhai" ili kuelezea au kutambua NGUVU YA ASILI ambayo ipo kwa daima. Ndani ya hii nguvu ya ASILI ndiko iliko chimbuko la Sayansi na teknolojia, Maarifa ya asili (intuition) ya kiumbe hai na kisicho hai na uhusiano wao katika Hali halisi na fikirika (Realism and Idealism)
Ndivyo Maana hii nguvu inaweza kuwa positive kumfavor mtu au negative kumharm mtu, SASA... waliotuaminisha kuhusu Mungu, wanasema Kuna Mungu ktk mambo positive na yakija negative wanasema Shetani wakati ukweli nguvu ya ASILI (nature) ni Moja TU inayoact in all ways.
Hebu mshangae binadamu alivyo kigeugeu... Akifanya uhalifu akashindwa kukamatwa anasema Mungu memsaidia, lakini akikamatwa atasema Shetani alimpitia.
Wanaoamuni Mungu, wao wenyewe hawajielewi, Hivi inapotokea Simba anacheza na Yanga, Simba wakasema wanaomba Mungu wamshinde Yanga, na at the same time, Yanga wakaomba Mungu wamshinde Simba... Huyu Mungu atakuwa upande Gani?