Wewe ni loser, huwezi toa conclusion ya wooote 'kwa sampo' yako biased khs jf sheilas!
Wako mpk bikra humu ni bht mbaya yako pole na si vzr kujumuisha
Mwambie huyo,mabikra tumejaa sana tu
Unaanzisha vita sasa
Unansingizia ujue...
Mwambie huyo,mabikra tumejaa sana tu
Swali la kitoto hili....online attraction is very unique...ina involve zaidi personality na brain...mtu anakuvutia kwa anayoyaongea akiwa very free since yuko anonymous....hujui huyo mtu ni professa au ni Secretary ..mtaani utam judge mtu na kabila lake au kazi yake..Attraction is not a choice
Maana humu kuna watu wasio amini kama kunakitu kinaitwa bikra hapa duniani,usifanya wakaja kukawa bujumbura humu
mmmh! bikra mchezo
Kwako wala sina maswali, nitauza ng'ombe wote ili nije kuukata huo utepe!!Ha haa waje wajionee tu... Mchina katusitiri sana
aaah, hapo ndio huwa hatuelewani...ukiwa na mimi faragha huna sababu ya kuingiza maex wangu!
ngabu kasema kila siku una mume mpya, hivi siku yangu lini vileeee!Sasa unataka nitolewe ngeu mie,akuuu nisije kimbiwa na Ngabu wangu bureee