Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

utamu wa mwanamke ni wewe mwenyewe....hawa kwanza weshapevuka na kukomaa,,,, hawana stress.....
 
Gari.
Ni changamoto.
Kama huna we baki kusoma thread na comments,kuzireply na kuzi-like tu.
Hata usijisumbue bro.
Speaking from experience.
 
Swali la kitoto hili....online attraction is very unique...ina involve zaidi personality na brain...mtu anakuvutia kwa anayoyaongea akiwa very free since yuko anonymous....hujui huyo mtu ni professa au ni Secretary ..mtaani utam judge mtu na kabila lake au kazi yake..Attraction is not a choice

Are u speaking from experience????
 
Back
Top Bottom