The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 809
mbona umecheka?
ulicho andika nimekipenda na kinafanya nkafurah.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona umecheka?
It's all the same, hata nikibandika tangazo haimaanishi tutaanza kukutana na kudinyana siku hiyo hiyo..
waonaje....?
Mna take online very serious...mtu akiwa online ni mtu mwingine na akiwa mtaani ni mwingine.. ndo maana ya anonymous....mkikutana mnaanza stages za kufahamiana...usisahau watu wanajilinda na psychos pia.. so uongo na false infos ni kawaida...why nikwambie everything about me while sikujui enough?
Mr.Kajicho uko fasta!.....Subiri watakuja kutoa maelezo
yani hapa dada lara kamalizaa...mtu unae mjua utasikia mara katembea na huyu,mara kapigwa mtungo,mara anangoma...ila hambae humjui kabisa habari zake huna na akuna anae mjua.so unacheck akiwa anavigezo unaweka kambi...kama just night stend poa..na kama hujarizika hata kumuona ndo hapo hapo unampotezea so haina kujuana tamuuu
Wengi sana
ni kweli kabisa, mimi nina rafiki yangu, anakaribia 37, alisubiri sana mtaani mpaka amekata tamaa, mwisho akaamua kuwa member wa mitandaoni yani yeye kila mtandoa yumo asa long as anajua kuna uwezekano wa kupata mwanaume jamani wanaume anaokutana nao ni balaa hapo ndo nika prove kwamba hakuna waume humu
Nakupenda.....Umeelewa nini darling
Mahusiano mengine mtu haanzishi..yanatokea tu...attraction is not a choice...na sio Lazima yafike popote yanaweza kufa natural death pia
Not necessarly HE COMES FROM DIFF BACK GROUND REMEMBER! Hawezi kuwa sawa kimtazamo na sie! TO FREE YOURSELF FROM VICIOUS CYCLE OF POVERTY YOU NEED A PASS TO THE OTHER SIDE WHERE THE GRASS IS ALWAYS GREENER REGARDLESS OF THE SEASON!
yani hapa dada lara kamalizaa...mtu unae mjua utasikia mara katembea na huyu,mara kapigwa mtungo,mara anangoma...ila hambae humjui kabisa habari zake huna na akuna anae mjua.so unacheck akiwa anavigezo unaweka kambi...kama just night stend poa..na kama hujarizika hata kumuona ndo hapo hapo unampotezea so haina kujuana tamuuu