Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Haya fungukeni wapendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WHy??Immediate after
upendo unaanza baada ya tendo, kabla ya tendo huwa ni tamaa tu zimetujaa.Haya fungukeni wapendwa
Nakua nimekwishapiga signature kwamba wewe ni wangu. Nikama mkataba unaanza baada ya signaturesWHy??
Binafsi nikisha mwaga goli la kwanza, kuna sauti kichwani inaniambia "Mfukuze, mfukuze"Haya fungukeni wapendwa
Mikwara...!!😂Binafsi nikisha mwaga goli la kwanza, kuna sauti kichwani inaniambia "Mfukuze, mfukuze"
Ukiona nimeenda zaidi ya moja, basi ujue hiyo pisi Kila kiungo Cha mwili wangu umeielewa. 😎
Wachaa halafu sasa kama hujaoa utaoa maana ndio lengoNakua nimekwishapiga sign kwamba wewe ni wangu. Nikama mkataba unaanza baada ya signatures
Au sio, Ngoja siku unipe ndio utaona 😅Mikwara...!!😂
SawaBinafsi nikisha mwaga goli la kwanza, kuna sauti kichwani inaniambia "Mfukuze, mfukuze"
Ukiona nimeenda zaidi ya moja, basi ujue hiyo pisi Kila kiungo Cha mwili wangu umeielewa. 😎
Ndoa mpaka mimba iingie kwanza, sitaki kelele oh sijui azai na vitu vingine, una chukua chuma tayari ina kitu tumboniWachaa halafu sasa kama hujaoa utaoa maana ndio lengo
Kweli kabisaInategemea Kuna mwngn upendo unaanza kabla hata hujamtongoza
Kuna mwngn unamwendea na gear za one night lkn utajikuta Akili, mwili na roho vimehamia kwako unampenda jumla
Nakama hataki hadi ndoanNdoa mpaka mimba iingie kwanza, sitaki kelele oh sijui azai na vitu vingine, una chukua chuma tayari ina kitu tumboni
Eh kitambii au balooni eh!Kwa ulimwengu huu wa kitapeli sidhani kama kuna True Luv Maua.
View attachment 2959713
KaziKwelikweli/JobTrueTrue