Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
actually,Haya fungukeni wapendwa
Kazi unayo hapo πππHuyo ni pasua kichwaπ€£ nishamfumania na mashangazi watatu mpaka sasa ukisikia Headache basi ujue ndo huyo
Usijali nitakuambiaπKazi unayo hapo πππ
MFUKUZE MFUKUZE ikifika unipigie nikutumie kirikou ikubebee vitu vyako
Usimsikilize huyo πHuyo ni pasua kichwaπ€£ nishamfumania na mashangazi watatu mpaka sasa ukisikia Headache basi ujue ndo huyo
Comments zako ndo zinakuponza πππSema lamomy ni kivuruge sana. Umesababisha missy gf kanitosa, now unataka kuharibu na huku π π
Kwanini nisimsikilize wakati maneno umesema mwenyewe plus mashangazi niliyokufuma nayo hapo bado sijamjumlisha yule dada anayekuita neighbourUsimsikilize huyo π
Wewe umeamua kuongezea petrol kwenye moto unaokaribia kuzimaComments zako ndo zinakuponza πππ
Nimecheka hiyo baada ya β¦β¦..!! MFUKUZE MFUKUZE hivi kuna mwanamke atakukubali
πππKwa ulimwengu huu wa kitapeli sidhani kama kuna True Luv Maua.
View attachment 2959713
KaziKwelikweli/JobTrueTrue
Ila wanawake mpo wengi kuliko sisi, hao wengine unataka wapigwe miti na nani? πKwanini nisimsikilize wakati maneno umesema mwenyewe plus mashangazi niliyokufuma nayo hapo bado sijamjumlisha yule dada anayekuita neighbour
Na yule mwingine fundi cherehani mwenye mtotoπ
Nimesikitika sanaaa dunia nzima wanawake unataka uwapige miti peke yakoπ