Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facts broBaba pia
Ila umechelewa kugundua mkuu mimi sina stress za kijinga Half american kila siku mawazo kisa women
Wote baba na mamaUngesema tu wazazi. "Hasa mama" ndio nini?
Last born huwa tuna mpenda sana mamaUngesema tu wazazi. "Hasa mama" ndio nini?
Hii pia ni aina flani ya upuuzi ambao jamii inaupalilia Kwa kasi ya ajabu sana! Kwa nini iwe "hasa mama" wakati baba ndie kavuja jasho ili tumbo lako lijae na kufika ulipofika leo? Baba ndie kabeba baraka za mtoto ninyi endeleeni kujilisha upepo! Samahani mkuu, nimekuquote lakini namjibu aliesema hasa mama.Ungesema tu wazazi. "Hasa mama" ndio nini?
Kama una maugomvi na mama Yako peleka huko kwenye familia Yako na mama Yako. Anaanza mama anafata mama anafata mama alafu anakuja baba kama humpendi mama Yako kwa sababu zako basi Fanya YakoHii pia ni aina flani ya upuuzi ambao jamii inaupalilia Kwa kasi ya ajabu sana! Kwa nini iwe "hasa mama" wakati baba ndie kavuja jasho ili tumbo lako lijae na kufika ulipofika leo? Baba ndie kabeba baraka za mtoto ninyi endeleeni kujilisha upepo! Samahani mkuu, nimekuquote lakini namjibu aliesema hasa mama.
Oyaa mkuu ni noma hawa watu kazi kufikiliaa hela za mwanaumeMiongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
Mtoto wa kiume kutaja mama! mama! mama ni dalili mbaya!Kama una maugomvi na mama Yako peleka huko kwenye familia Yako na mama Yako. Anaanza mama anafata mama anafata mama alafu anakuja baba kama humpendi mama Yako kwa sababu zako basi Fanya Yako
Na wewe ni mpumbavu wa pili kabisa unataka nitaje nani?? Parenting never ends kama una ugomvi na mam Yako peleka kwa familia Yako sio hapa JFMtoto wa kiume kutaja mama! mama! mama ni dalili mbaya!
Andiko lako limekosa mantiki baada ya kuweka neno HASA MAMAMiongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
Alipatikana bila baba huyoUngesema tu wazazi. "Hasa mama" ndio nini?
BABA WENGI NI WAPUUZI NA MIZIGO,NDIO WAMESABABISHA VIJANA LEO TUNAISHI KAMA MASHETANIHii pia ni aina flani ya upuuzi ambao jamii inaupalilia Kwa kasi ya ajabu sana! Kwa nini iwe "hasa mama" wakati baba ndie kavuja jasho ili tumbo lako lijae na kufika ulipofika leo? Baba ndie kabeba baraka za mtoto ninyi endeleeni kujilisha upepo! Samahani mkuu, nimekuquote lakini namjibu aliesema hasa mama.
Wewe unaandika utoto wako humu halafu unataka uachwe usisahihishwe! Hv mama yeye ana thamani gani ktk parenting role mpk apewe upendeleo dhidi ya baba, njoo na maelezo yenye kueleweka, ila usitulishe mahaba Yako Kwa mama Yako ndio iwe mtazamo wa kijamii.Na wewe ni mpumbavu wa pili kabisa unataka nitaje nani?? Parenting never ends kama una ugomvi na mam Yako peleka kwa familia Yako sio hapa JF
Kweli kabisa,kuna mwaka kuna shetani lilinishikaga nilisahau hadi wazazi, nashukuru mungu nilijivua aiseeMiongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.