Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kwanini iwe mama, acheni upumbavu kwani sacrifices za baba hazina maana?Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
Masuala ya wazazi yaache kama yalivyo haujui baba alikua anakimbia nini nyumbani mpaka anaenda kukesha uko bar. Kuishi na mwanamke sio rahisi kama unavyofikiri. Chumba cha wazazi kinaficha mengi sana ni vile tu sisi wanaume tuna vifua vya kuficha siri. Wewe kama mtoto baki tu kuwaheshimi wazazi wako wawili bila kuchagua upandeBABA WENGI NI WAPUUZI NA MIZIGO,NDIO WAMESABABISHA VIJANA LEO TUNAISHI KAMA MASHETANI
UNAKUTA UNA BABA,HAKUWAHI KUWA HATA NA KIWANJA,YEYE HESHIMA ALIWEKA BAA,HAJASAFIRI ILA MTAMUONA HOME AKIWA HANA HELA AU ANAUMWA,KIUFUPI MUDA MWINGI MNAKUWA NA MAMA.
HII HOJA YA YEYE NDIO KAVUJA JASHO TUMBO LIJAE NI UJINGA TU UNASUMBUA.
Pole sanaMtoto wa kiume kutaja mama! mama! mama ni dalili mbaya!
Mkuu ukinijua nipoje kwenye hayo maswala utatamani uishi kama mimi we mmenya ndizi 😂Baba pia
Ila umechelewa kugundua mkuu mimi sina stress za kijinga Half american kila siku mawazo kisa women
Mama yangu SI inabidi ale pesa ya mume wake?Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
KweliMama yangu SI inabidi ale pesa ya mume wake?
Hii moment wazazi wa kiume wanaipenda sana ila kuitengeneza na kuretain bond kati ya baba na mtoto huwa ni ngumu hasa wakati wao wa ujana....wawnaume wengi wanawekeza pesa kwa watoto bila kujali kuwapa muda watoto mwisho wa siku watoto wanaegemea upande waliokuwa wanapewa muda na affection kutoka kwa mzazi aliyekuwa akiyafanya hayo wakati wa utoto..hiyo huwa inakaa kwa brain ya mtoto hadi utu uzima na inatengeneza bond kat ya mama na mtoto..WaNaume jipeni muda na watoto wenu buanaWazazi wote wanapaswa kufaidi sio mama pekee acha hizo mleta mada.
Tupe misimamo ykoMkuu ukinijua nipoje kwenye hayo maswala utatamani uishi kama mimi we mmenya ndizi 😂
ACHENI KUTETEA WAJINGA.Masuala ya wazazi yaache kama yalivyo haujui baba alikua anakimbia nini nyumbani mpaka anaenda kukesha uko bar. Kuishi na mwanamke sio rahisi kama unavyofikiri. Chumba cha wazazi kinaficha mengi sana ni vile tu sisi wanaume tuna vifua vya kuficha siri. Wewe kama mtoto baki tu kuwaheshimi wazazi wako wawili bila kuchagua upande
UNAJIDANGANYA.Masuala ya wazazi yaache kama yalivyo haujui baba alikua anakimbia nini nyumbani mpaka anaenda kukesha uko bar. Kuishi na mwanamke sio rahisi kama unavyofikiri. Chumba cha wazazi kinaficha mengi sana ni vile tu sisi wanaume tuna vifua vya kuficha siri. Wewe kama mtoto baki tu kuwaheshimi wazazi wako wawili bila kuchagua upande
Kama baba ako alikua hivyo iyo ni kesi yako binafsi, sio kesi ya wakina baba woteUNAJIDANGANYA.
NA WANAUME WENGI WANAJIDANGANYA NA UNAFIKI HUU.
MTU HATA KULA YA WATOTO NI SHIDA,USEME MAMBO YA CHUMBANI TENA?
YAANI UMEAJIRIWA,HULETI CHAKULA NYUMBANI,UTEGEMEE WATOTO WAJUE MAMBO YA CHUMBANI?
Mimi kamari SIjawahi, pombe imenikataa natapika Ila hao wanawake😮💨Sio wanawake Tu,jumuisha anasa zote yaani pombe, wanawake na kamari.
Hiyo vitu ni Adui mkubwa Sana kwa mwanaume yeyote.
Tufanyeni anasa kwa kiasi ili tusije wasahau familia zetu
KWANI NIMESEMA NI BABA YANGU AU AKINA BABA WOTE?Kama baba ako alikua hivyo iyo ni kesi yako binafsi, sio kesi ya wakina baba wote
Mimi nimekua nikiona sacrifices za baba kwaiyo siwezi kumshusha thamani. Infact kama ni suala la kusaidia wazazi basi kiasi nitakachompa baba lazima kiwe mara mbili ya nitakachompa mama, kwa sababu najua hela ya mama itaishia kwenye mambo yake binafsi wakati ya baba kwa asilimia kubwa itatumika kwa masuala ya nyumbani
KWANI NIMEKUZUIA KUONA SACRIFICE ZA BABA YAKO?Kama baba ako alikua hivyo iyo ni kesi yako binafsi, sio kesi ya wakina baba wote
Mimi nimekua nikiona sacrifices za baba kwaiyo siwezi kumshusha thamani. Infact kama ni suala la kusaidia wazazi basi kiasi nitakachompa baba lazima kiwe mara mbili ya nitakachompa mama, kwa sababu najua hela ya mama itaishia kwenye mambo yake binafsi wakati ya baba kwa asilimia kubwa itatumika kwa masuala ya nyumbani
Hudhuria vikao utaipata.Tupe misimamo yko