Ur the true son of your father. Cc JoannahMzazi anayelipa let's say 3M kwa mwaka kimsomesha mwanae kwa miaka 7 jumlisha M4 kwa miaka 6. Jumla 45M kisha gharama chuo M5 kwa miaka 3. Jumla yote 60M jumuisha additional costs inaenda kwenye 80M.
kisha anamtelekeza mwanae atafute hizi ajira za kulipwa 2M kwa mwezi na aanze maisha ya kupanga ghetto na kununua godoro ni mpumbavu.
Unawekeza kwenye elimu fake ya NECTA na madesa ya JALALANI. Na kumwacha mtoto bila mtaji wala kiwanja au nyumba ya kuanzia maisha. Huo ni ulofa.
You are the true son of your father cc : JoannahMwisho wake Ni pale pale udsm Nkrumah hall ....
Na atatembelea Sana hii site www.ajira Portal .com .... interview ya kuomba Kazi Dodoma zitakuwa nyingi san ,either anataka au hataki ,,[emoji23] ....
Huko ndipo atakutana na st kayumbao Kwa sasa unawaona kama wamepotea njia
Am a Gemini. We are the gods of this planet.. Siwezi kuwa influenced na mtu kitu au sehemu yoyote labda Mimi ndio nivi influence na kuvibadilisha mtazamo.🤣🤣🤣Hivi wewe Likud una uhakika uliendaga USA au mwenzetu ulienda USB?Maana we mitazamo yako imekaa shaghalabhaghala
Ni ukweli kabisa mkuu. Cc JoannahWapuuzi watakujibu huna hela, ni kapuku, ukweli ndio huo hakuna cha maana sana kwenye shule za english medium, ni abrakadabra na ulimbukeni wa baadhi ya wazazi kufuata mkumbo ili nao waonekane wanasomesha watoto shule ghali kumbe wanaumia bure. Walimu wenyewe ni wababaishaji tu hata kiingereza hawakijui vizuri, watoto wanaongea kiingereza kibovu walichokaririshwa na kufundishwa na walimu wao hao wasiojua kuongea kwa ufasaha lugha ya kiingereza
"Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni"📌📌...Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Huyo ni asilimia moja katika mia waliosoma Hopac Nenda waliosoma Kayumba asilimia ngapi wako hopelessDah very hopeless aisee mtoto anasoma Hopac halafu anakuja kukata viuno jukwaani
Maskini asiye na Hela anamsikitikia tajiri mwenye Hela na kumuelekeza jinsi ya kutumia Hela zake maajabu ya Dunia hayoCha kushangaza anayetoa Hela Yuko Okay,ila asiyetoa anaumia...si maajabu hayo
Cha kushangaa akiingia chuoni analilia kuwa apewe mkopo mpaka watt wenyewe wanaumia kuwa yaani wote Ni watanzania Ila wengine wanalipiwa Ada na bumu wanapewa Ila wengine wanalipiwa. Sio kuwa wote waliosoma private wote Wana uwezo, wengine wazazi walijibana mno. Yaani hapa kinachoendesha human beings Ni ego Wala Hakuna kingine. Mfano naomba uniambie ambacho mtu wa iPhone anachofanya ambacho mie siwezi kukifanya na infinix let say.Mzazi anayelipa let's say 3M kwa mwaka kimsomesha mwanae kwa miaka 7 jumlisha M4 kwa miaka 6. Jumla 45M kisha gharama chuo M5 kwa miaka 3. Jumla yote 60M jumuisha additional costs inaenda kwenye 80M.
kisha anamtelekeza mwanae atafute hizi ajira za kulipwa 2M kwa mwezi na aanze maisha ya kupanga ghetto na kununua godoro ni mpumbavu.
Unawekeza kwenye elimu fake ya NECTA na madesa ya JALALANI. Na kumwacha mtoto bila mtaji wala kiwanja au nyumba ya kuanzia maisha. Huo ni ulofa.
Nachoumia nikiwa huko English media nasikia watt wanabwabwaja kiswahili nikimuongelesha mtt English hola.Wapuuzi watakujibu huna hela, ni kapuku, ukweli ndio huo hakuna cha maana sana kwenye shule za english medium, ni abrakadabra na ulimbukeni wa baadhi ya wazazi kufuata mkumbo ili nao waonekane wanasomesha watoto shule ghali kumbe wanaumia bure. Walimu wenyewe ni wababaishaji tu hata kiingereza hawakijui vizuri, watoto wanaongea kiingereza kibovu walichokaririshwa na kufundishwa na walimu wao hao wasiojua kuongea kwa ufasaha lugha ya kiingereza
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu[emoji116]
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Elimu bora ni nini?Nimtoe mwanangu Marthin Luther Schools nimpeleke shule ya msingi Chamazi? [emoji28] halafu unasema nitakuja kukushukuru baadae?
Elimu ni gharama na usipogharamikia lazima upate kilicho dhaifu. Ukiona watu wanahangaika na kutafuta Scholarship wakasome nje, ni elimu bora inayotafutwa hapo na sio bora elimu.
Acha kupotosha watu kwamba kayumba kuna elimu bora. Ni nchi zilizoendelea tu kama Marekani ambapo Government Schools zinatoa elimu katika ubora zaidi.
Tanzania hapa ukiwa na uwezo mpeleke mwanao akasome hata shule zenye mtaala wa Cambridge. Tusifarijiane kwenye upuuzi.
Naunga mkono hojaNasema hiviii mwanangu hatasoma kayumba hata iweje
Kupata Kila kitu kwa wakati mfano vitabu Bora maabara Bora hivyo vyote vinapatikana shule za gharama na siyo kayumba ambazo tunaambiwa elimu ni buruElimu bora ni nini?
Cha kushangaa akiingia chuoni analilia kuwa apewe mkopo mpaka watt wenyewe wanaumia kuwa yaani wote Ni watanzania Ila wengine wanalipiwa Ada na bumu wanapewa Ila wengine wanalipiwa.
Sio kuwa wote waliosoma private wote Wana uwezo, wengine wazazi walijibana mno.
Yaani hapa kinachoendesha human beings Ni ego Wala Hakuna kingine.
Yaani utumie 80M kwa mtt baadaye aje kulipwa 1.5M Ni ujuha wa kiwango kidogo mno.
Hizi hela ungekuwa umemnunulia hisa in various companies like Tesla,meta,Alibaba, Boeing, Vodafone,apple,Amazon ,etc baada ya miaka 20 angekuja kukushukuru.
🤣🤣🤣🤣Watu bado wako zile enzi kuwa mie nimenunua redio ya Bei kubwa mie nimelipa laki mbili kuzidi masanja yeye alilipa alfu 50 so ana boost self ego.
Do it silently