Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

Bora waongee kiingereza kibovu kuliko kutokuongea kabisa.. mtoto wako anaambiwa "happy birthday to you"anajibu "the same to you"utajisikiaje kama mzazi?
Kwa taarifa yako siku hizi bongo hadi bodaboda wanajua kiingereza.

Ukitaka kujua nenda kwenye mabanda ya mpira. Mechi ya ligi ya Uingereza wachambuzi wanachambua kiingereza na wabongo wana respond kwa sababu wanajua kinacho ongelewa. Au mtangazaji anatangaza kwa kiingereza na watu wana follow up.


Hukumbuki enzi za Morrisson. Morrison anachukua mike anaongea kwa kiingereza pale kwa Mkapa na uwanja mzima una lipuka kwa sababu wanaelewa anacho kisema..

Hiyo ya kutojua kiingereza ilikuwaga zamani miaka ya 90 sio sasa hivi
 
Kwa taarifa yako siku hizi bongo hadi bodaboda wanajua kiingereza.

Ukitaka kujua nenda kwenye mabanda ya mpira. Mechi ya ligi ya Uingereza wachambuzi wanachambua kiingereza na wabongo wana respond kwa sababu wanajua kinacho ongelewa. Au mtangazaji anatangaza kwa kiingereza na watu wana follow up.


Hukumbuki enzi za Morrisson. Morrison anachukua mike anaongea kwa kiingereza pale kwa Mkapa na uwanja mzima una lipuka kwa sababu wanaelewa anacho kisema..

Hiyo ya kutojua kiingereza ilikuwaga zamani miaka ya 90 sio sasa hivi
Hao wanaojua ndio matokeo chanya ya Hizo shule unaziponda.....si umesema wengi wapo mitaani hawana kazi za serikali ndio hao wanaomwelewa Morrison Sasa .
 
Kuna kidemu naenda kukichakata sasa hivi cha 2004 kimesoma private Primary na O level. Bumu kimenyimwa na kilikuwa na one . Baba ake ndio hawa watu wanao Jibana na kujistress ili kuwasomesha watoto wao private. Kanateseka mpaka nakuonea huruma. Nipo nakafanyia " mipango" mwakani kapate mkopo bodi.


100%


Very right mkuu ndo maana watu wenye hekima wanasemaga fahari ni baba wa ujinga. Unafanya vitu ili kuwafurahisha watu ambao hata hawakupendi. 🤣🤣🤣


Ni upuuzi wa hali ya juu


100%

🤣🤣🤣🤣
Niunganishe namie na hicho kidemu Basi namie niwe nakiwezesha hata mlo mmoja wa uhakika per day. Binafsi ninapenda mwanangu nisomeshe nje from kindergarten to university level Ila Kama Ni hapa hapa bongo no change of environment.
Mie kwenye kusoma naomba mno mtt apende kujisomea na kuwa mdadisi kuwa na curiosity ya kujua dunia na binadamu.

Mie natumia iPhone 20 max pro, nipeni heshima. Yaani nimenunua simu kisa tu ku demand respect or ku command it na sio kuwa kwa matumizi yangu.
Kuna jamaa mmoja alijenga akawa anawaambia wake za marafiki zake wamtembelee waone anapoishi ama alipojenga ili apate respect baadaye sijui awale kirahisi marafiki zake walipojua tu wakamwambia so na sie tukijenga tumwambie mke wako atutembelee.
Yaani mtu hufanyi Mambo kwa manufaa yako Bali kwa show off.
Wanasema ukinunua gari hata kwenda madukani ama gengni kununua mhindi utaenda na gari na hutoshuka na utamwambia kuwaa niletee huo huo hapo hapo pembeni ya huo hapo.
Baadaye unaichoka ndani ya two years ukianza kutoa hela nyingi kuliko unazotoa home kwa chakula Sasa bana utaanza kuwaza kuiuza Mana utakuwa unatoa hela nyingi za spear kisa show off na kuchakatia mbususu ama ku boost self image or high self esteem.
Ila Kama ulinunua Kama una mahitaji na gari nadhani itakusaidia kwa mambo Ila kisa your peer group wote wamenunua na wewe ununue uwe nao sawa hapo utajua why kuku hakojoi pia hukuwa na uwezo Bali ulijibana Kama mama anavyobana watt wake chakula wanakula ngogwe ili tu asuke ama anunue nguo fulani
 
sio tu kukata viuno. hata sokoni hana maajabu hana hit songs. kayumba wanamkimbiza.

juzi alikuwa analia Mario kamyima Korabo. mario mtoto wa buza kayumba analiliwa na mtoto wa Hopac ambebe kimuziki kwa collabo
Muziki ni kipaji haina uhusiano na ulisomea wapi. Na mara nyingi vipaji vya ukweli vinatokaga familia maskini.. Fally Ipupa, Diamond, Ali Kiba, Ferre Gola na wengine wametokea kwenye umaskini. Jengeni hoja acheni hisia
 
ni kayumba pekee ambapo mtoto anajua

kuna kukosa hela(nauli na ya kula),
usafiri ni changamoto haswaa,
kuadhibiwa sio kwamba unachukiwa,
usitegemee kazi pekee,hata waalimu wanauza visheti,
nk

Kwa kweli wanaandaliwa kuwa wananchi ambao wako tayari kukabiliana na changamoto halisi za maisha.
 
Nachoumia nikiwa huko English media nasikia watt wanabwabwaja kiswahili nikimuongelesha mtt English hola.
Bora peleka hata Ghana ama Cameroon mtt atajua English nzuri mno pia pamoja na french
Unaota watoto Wanaongea kingereza kizuri sana ndio maana waliacha kupeleka Kenya na Uganda

English Medium ndizo kitaifa huongoza mitihani ya shule za Msingi ya NECTA wako vizuri mno
 
Muziki ni kipaji haina uhusiano na ulisomea wapi. Na mara nyingi vipaji vya ukweli vinatokaga familia maskini.. Fally Ipupa, Diamond, Ali Kiba, Ferre Gola na wengine wametokea kwenye umaskini. Jengeni hoja acheni hisia
Ni kweli na wacheza ngoma kuanzia za kienyeji Hadi muziki wengi Huwa watu maskini au watoka familia za kimaskini
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu[emoji116]

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Ni maneno machungu kama chloroquin ila ndio ukweli wenyewe. [emoji1531]
 
Mleta mada na wewe tafuteni Hela .

Wenye Hela hawalalamiki na Wala hawahitaji mleta mada lofa awasemee au kuwashauri na vi theory vyake Koko ohh production ohh what what atafute Hela

Maskini Huwa na vi theory vya ajabu ajabu na hujitia kuvielekeza Kwa Wenye nazo Eti ohh mabwege Wanapigwa.Hela zao wanalipa halafu lofa anajitia kuwa ohh mnapigwa Wakati uwezo wa kupeleka huko mtoto Hana

Uzuri Wenye pesa Huwa hawapokei ushauri Kwa mtu lofa Huwa wanapeana ushauri wao Kwa wao

Mleta mada lofa vi theory vyako peleka Kwa malofa wenzio
[emoji1541]
1698130317347.jpg
 

Attachments

  • 1697309589534.jpg
    1697309589534.jpg
    59.3 KB · Views: 1
Kama pesa unayo poa tu siyo mbaya kumpeleka mtoto shule za gharama, shida inakuja kuna watu uwezo hawana halafu wanalazimisha kuwapeleka shule za ghali matokeo yake wanaanza kuwasumbua ndugu na jamaa kwa kuwaomba waongezewe pesa ya ada ya mtoto wake anayemsomesha shule za ghali.
 
Kama pesa unayo poa tu siyo mbaya kumpeleka mtoto shule za gharama, shida inakuja kuna watu uwezo hawana halafu wanalazimisha kuwapeleka shule za ghali matokeo yake wanaanza kuwasumbua ndugu na jamaa kwa kuwaomba waongezewe pesa ya ada ya mtoto wake anayemsomesha shule za ghali.
Na hao ndio wengi mkuu kifupi hao ni masikini wanao jaribu kuuficha umasikini wao kwa kuwasomesha watoto wao English Mediums wakiamini kwamba watu watawaona wana hela..ni utoto tu ndo unawasumbua
 
Mimi nashauri peleka private

Muda mwingine akili ya mwanadamu inachangamshwa na majukumu.

Ukianza kutajiwa zile milion milion za kulipa lazima uongeze kasi ya utafutaji hata kule ambapo hukuwahi kufikiria.

Unaweza kupata faida ya kuona uwezo wako halisi wa kupambana na maisha.

Kumtupa mtoto kayumba kisa unakimbia gharama utajikuta una relax na hari ya kutafuta zaidi inapungua.

Ushauri wangu msiogope changamoto

Changamoto zinatujenga zinatufunza mengi sana.

Usiseme uwezi, simama pambana.

Leo ada inakukatisha tamaa, kesho utaambiwa unahitaji milioni kadhaa kulipia matibabu yako au mwanao.

Point yangu ni kwamba tutafute zaidi na zaidi bila kuogopa.

Ikishindakana kabisa basi rudisha mpira kwa kipa, ujipange upya.
 
Mimi nashauri peleka private

Muda mwingine akili ya mwanadamu inachangamshwa na majukumu.

Ukianza kutajiwa zile milion milion za kulipa lazima uongeze kasi ya utafutaji hata kule ambapo hukuwahi kufikiria.

Unaweza kupata faida ya kuona uwezo wako halisi wa kupambana na maisha.

Kumtupa mtoto kayumba kisa unakimbia gharama utajikuta una relax na hari ya kutafuta zaidi inapungua.

Ushauri wangu msiogope changamoto

Changamoto zinatujenga zinatufunza mengi sana.

Usiseme uwezi, simama pambana.

Leo ada inakukatisha tamaa, kesho utaambiwa unahitaji milioni kadhaa kulipia matibabu yako au mwanao.

Point yangu ni kwamba tutafute zaidi na zaidi bila kuogopa.

Ikishindakana kabisa basi rudisha mpira kwa kipa, ujipange upya.
I support you kuwa don't seek to reduce or minimize cost of living but rather seek to maximize earning or investment Ila ukiwa na hii hii discipline why usiwekeze, yaani Ile 4M unayolipa kwa mwaka nurture discipline ya kumuwekeza mahala hata Germany Bund
 
Hongera Kwa kupanda miti lakini hiyo haitoshi sababu miti Ina ushindani sana zamani mti ndio Kila kitu Sasa hivi Kuna viti vya plastic meza za plastic nguzo za simenti ,kuezeka nyumba Kwa chuma nk na Kuna kampeni Dunia Nzima za watunza mazingira za kuzuia ukataji miti hovyo ulichofanya kuzuri Tena mno kama Hali itabaki hivi hivi bila kubadilika miaka hiyo ijayo utavuna pesa nyingi mno na mkakati mzuri

Lakini Kuna msemo usiweke mayai yote kikapu kimoja kikianguka yanabomoka yote

Wekeza pia Kwa kusomesha shule nzuri kukikwama huku mtoto anaibukia kwingine
Otherwise nakupongeza lakini isiwe option pekee tafadhali
Asante sana ndugu yangu yangu.
Nitazingatia sana ushauri wako huu, Asante tena.
 
Back
Top Bottom