Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

Mzee wa Economics it's a monopolistic market.
Uoga wako ndio UMASIKINI wako.

Kama ndio hivyo kama usemavyo basi vunja bei asingefungua duka la nguo k.koo na bill Nas asingefungua duka la simu.
Maana yapo kibao k.koo

#YNWA
Kwa namna magari yanavyonunuliwa kila siku Bongo, hii biashara seems itakuwa na soko la uhakika.

Ukipita barabarani utaona miaka hii miwili ya hivi karibuni, watu wengi wanajenga vituo kila mahali

This means that, the grasses are greener out there 🤒
 
Check jamaa flani ivii Insta wanajiita Energy Africa wanafanya consultation na kujenga vituo vya mafuta na wanatoa ufafanunuzi mzurii tuu
 
Kitu kinachongeza gharama kwenye petrol station ni mahengo ya ziada na kiwanja otherwise ukiwa na 100M unajenga vizuri tuu
 
nilifikiria kumshauri afanye hivi au atafute kituo akodi pia itamsaidi
 
technique za kibiashara kk ni aproach inayotumiwa na wafanyaji biashara waliojikamilisha yeye ukute kalenga kupata faida labda ya usafiri tu yaani anapiga hela kwa mzunguko wa gari zake kibiashara maana yake ni nn sehemu aliopo huyo jamaa yawezekana kuna vituo vingi vya mafuta ko anaweza akawa kabaki na faida labda ya tsh30 tu kwenye mafuta lakin gari zake I mean truck zinazunguka sana yaani zinapiga trip nyingi kwenda depot so yeye pesa anapata kwwnye gari zake and sometimes namna ya manunuzi retailers wananunua cash so wanapewa discount meanwhile wengine wananunua kwa mkopo
 
ukumbuke lakin bei ya mafuta inakuwa influenced na umbali kutoka depot na some time kuna sheria ya petroleum industry kuhusu bei za mafuta na zina madhara kama usipofuata mind this is oligopoly market so single seller hawezi Fanya maamuzi sahihi bila kufuata maamuzi ya mwenzake( Kuna kitu kinaitwa kinked demand curve ) hii inaeleza nature ya hili soko
 
inawezekana but kuna million ways wewe kufanya hii biashara ni vile utavokuwa unajibidisha kujaribu kuielewa hii biashara
 
Ndani ya miaka mitatu ntakua billionaire........#tukumbukane boss
 

Attachments

  • Screenshot_20230209-185751.png
    47.9 KB · Views: 45
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…