Humu nina mawifi kibao.
Huyo ni wifi yangu kwa kaka yangu Cole Williams.
Mawifi zangu mna damshi wenyewe.
Sema wifi mwallu sijamuona siku nyingi.
Wifi marejesho sijui yu kwapi jamani
sawa bana[emoji23][emoji23]mihangaiko ndugu yangu natafta ya mwaka.mpya
Nitamuaga wiiiii.Wifi jamani.
Ya dunia yanatutenganisha.
Ila Dar sio mbali wii.
Niagie kwa shem jamani
Wifiiii
Wifi zangu nyie.
Kaka zangu na wao wanafaidi sa a
karibu xmasππsawa bana
Jamani shemeji yangu wa ukweli.Madame umeondoka Dar bila hata kuniaga shemeji yangu? Mungu anakuona.
Nakutakia maisha mema huko Mji Mkuu.. Kawachangamshe wagogo huko waache kuomba omba.. Nakuaminia sana shem..
Halafu nimefurahi nazidi kuongeza idadi ya wenyeji wangu huko Dodoma.. Najua siku nikija huko sikosi wa kunitembeza kushangaa Jiji la Dodoma.
Kila la kheri!
hamna tabu mpendwa..Haahhahaha
Afu wewe.
Ngoja nikaongeze afya Dom mpwa
Siku ukipata nafasi karibu Kilimani (mlimani) ingawa sipo kuna mwanangu yupo.
Eti wamatopeni jana walishinda ngapi?Kila la kheri Da Madame.