Kwaheri Dkt. Magufuli, karibu uonevu

Kwaheri Dkt. Magufuli, karibu uonevu

Na bado watakapo kuja kujua kuwa JPM kilicho kufa na kuzikwa ni Mwili wake tu. Bali maono na utendaji wake unaishi katika nyoyo za Watanzania

Mrithi wake hataweza kukimbia ama kukiyoroka kifuli chake. Kitamuwinda kwa kila aendoko na kila atendalo.

Msiba wa JPM umeweka wazi kilichokuwa kinafichwa na kupigwa vita kuhusu kupendwa kwake zaidi na watu wa maisha ya hali za chini.

Ungeona body language ya wake wa.nausalama waliokuwa wakikaa pembezoni mwa jeneza lake kila liendako pale walipokstazwa kuandamana nslo likuzungusha Jamhuri stadium.

Utengeneza sma kubomoa Urais wa mrithi wake hakuko mbali. Kuta amliwa na nani atakuwa Naibu wa Rais na team ambayo itaundwa kufanyakazibna Mama.

Kumbuka viongozi wengi waliofanyakazi na JPM mpaka anakutwa na kifo mwachoni pa Watanzsnia wengi wanaonekani ni Watu safi. JPM hakupepesa macho wala kuchelewa kutumbua. Ni hapo sasa tutakapoba sura za watubuliwa baadhi kwenye pengie Umakamu na Uwaziri..

Shehullohi nimekupenda bure. Asomaye na afahamu

Wacha Vibaraka Wahangaike hapa na kwenye twita sisi tunaomboleza huku tukichapa kazi



Magufuli umeondoka tuu kimwili ila tuko nawe baba😢

Mungi ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan 🇹🇿🙏
 
Tulimuamini sana JPM tulijua jambo la kipuuzi likifika kwake waliofanya upuuzi lazima wakione cha moto. Na watendaji walijua Magufuli anamaanisha na hatanii ndio maana hata kama walifanya kwa uoga lakini iliwabidi wafanye.

Mkurugenzi akisikia kuna uozo sehemu hata kama ni mzembe alijua asipofatilia yeye ndio atawajibishwa so aliibana system yake and so on.

Mama Samia kazi yake kubwa itakuwa kuongeza uzito kwenye kusimamia uwajibikaji, kero za watanzania ni mambo madogo madogo uko kwenye maofisi ya halmashuri, kwenye mahospitali kwenye idara za serikali. Walirudi zama zile za ukiwa ukifanyiwa dhulma hakuna pakusema Mama atatuangusha na atawapa msemo hiki chama cha kaskazini.

Tunashukuru Mungu kwa kufanya mabadiliko bila kumwaga damu, hatimaye dhalimu kaondoka na udhalimu wake. Sasa ni wakati wa sheria na haki kutamalaki.
 
Shehullohi nimekupenda bure. Asomaye na afahamu

View attachment 1732397

Magufuli umeondoka tuu kimwili ila tuko nawe baba😢

Mungi ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan 🇹🇿🙏
Asante Mzalendo unaye jitambua. Tatizo huko kipindi cha nyuma walikuwepo wazalendo wa kupelekwa na upepo. JPM kazalisha wazalendo wa kweli katika nyanja zote za maisha ya Watanzania. Kuzomewa kwa mkalimani mpotoshaji mbele ya uso wa dunia kwenye msiba jua watazomewa kwa ubabaishaji watakuwa wengi kwa vitendo na maneno, kwa uwazi na usiri. Ila watakaozomewa watarajiwa wanafikiri wakati umefika wa kujihomolea.
 
Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.

Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.

Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.

Kuna vyombo au viongozi wa serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.

Sasa ,sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.

Raisi alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.

Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Nina uhakika kuwa haya mapambio ya kusigu na kuabudu mwisho wake ni ijumaa, baada ya hapo mtabadilishia gia angani na kuhamishia majeshi kwa mama SSH ili kupata mlo/mkate wa kila siku
 
Nina uhakika kuwa haya mapambio ya kusigu na kuabudu mwisho wake ni ijumaa, baada ya hapo mtabadilishia gia angani na kuhamishia majeshi kwa mama SSH ili kupata mlo/mkate wa kila siku

Asitarajie mapambio ya kinafiki ila junioni yatakuwepo kwa hiari tele. Kinachotakiwa ni juu yake yeye kufanya yatakayo mpendeza Mungu na Watu wa Mungu Watanzania aliopewa jukumu la kuwaongoza na kuwavusha at the time around, hilo tu.
 
Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.

Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.

Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.

Kuna vyombo au viongozi wa serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.

Sasa ,sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.

Raisi alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.

Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.

Tayari Watu Fulani Wanaanza Kujinasibu kuwa Wao ndio watabeba ndoto ya kutetea Wanyonge ( Misukule) ;
Screenshot 2021-03-23 at 13.28.06.png
 
Ndugu hili kama ulikuwa unafuatilia malalamiko ya wananchi wenye shida ,humuhumu mitaani na tv zetu hizihizi za yuuchub ,kila mwenye shida kuonewa ulimsikia akisema ....kama baba Magufuli raisi wangu mpendwa unanisikia sikiliza hiki kilio chetu ,hapa mtaani huyu anatutesa,huyu ametuzika hela zetu na malalamiko ya aina hio ukisikia mrejesho unaona jambo limetatuliwa japo si na Raisi lakini mhusika alikwenda mbio kabla mkuu hajaingilia,kwa maana viongozi wa wananchi wakuu wa mikoa na wila na wahalmashauri walikuwa wapo karibu sana na wananchi kwa hofu lisije likavuja jambo akapokea simu ya kuwa huna kazi subiri utapangiwa kazi nyengine,wewe mkuu hapo tafuta mtu akamate kazi yake huyu hafai...Hilo Mheshimiwa magu aliliweza kwa kutumia ile sentensi ya mwalimu Nyerere usimuonee haya mtu.

Unajua FUTUHI na Maigizo?? Usidanganyike na Agenda Settings,Spinning na Ze comedy za kwenye TV.
 
Tulimuamini sana JPM tulijua jambo la kipuuzi likifika kwake waliofanya upuuzi lazima wakione cha moto. Na watendaji walijua Magufuli anamaanisha na hatanii ndio maana hata kama walifanya kwa uoga lakini iliwabidi wafanye.

Mkurugenzi akisikia kuna uozo sehemu hata kama ni mzembe alijua asipofatilia yeye ndio atawajibishwa so aliibana system yake and so on.

Mama Samia kazi yake kubwa itakuwa kuongeza uzito kwenye kusimamia uwajibikaji, kero za watanzania ni mambo madogo madogo uko kwenye maofisi ya halmashuri, kwenye mahospitali kwenye idara za serikali. Walirudi zama zile za ukiwa ukifanyiwa dhulma hakuna pakusema Mama atatuangusha na atawapa msemo hiki chama cha kaskazini.
Hatuhitaji strong personalities kama huyo marehemu. Tunahitaji strong institutions ambao yeye si tu kwamba alishindwa kuzijenga. Hakuzigusa kabisa! Kiongozi anayechukia russhwa ameshindwa kabisa kuibadilisha sharia ya kupambana na rushwa na badala take akapeleka mwanajeshi kuwa kiongozi huku sheria ikiwa ikiwa kibogoyo!
Alilitia bunge kabari akaliacha liimbe na kupiga mihuri nyimbo zake?
Uteuzi wake wa jaji mkuu siyo tu kwamba ulijaa mizengwe na maswali pia.. lengo ni kuumeza mhimili ule.
Itoshe tu kusema mungu amesikia kilio cha wapenda haki na damu za watu wasiokuwa na hatia.
Akawasalimie akina AKWILINA AKWILIN, ALPHONSO MAWAZO, BENSANANE na wote waliouwawa kwa kwa amri zake za kifedhuli.
Hata kushambuliwa kwa Lisu ni kwa amri yake
 
Magufuli ameenda kimwili tuu ila kwa kazi alizofanya na serikali aliyoiacha bado anaishi kati yetu

Tanzania bado ipo imara
mama D Nikuulize kitu kitu gani kikubwa alichokifanya Magufuli ktk ustawi wa jamii katika kuboresha maisha ya watu .
 
What we need mostly is people centred developments and fiscal development in the second place, come this newly presidency.
 
Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.

Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.

Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.

Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.

Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.

Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.

Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Inampasa kila mtu kujua kimo chake, lazima ujue kuna wenye Power uwapishe. Sote hatuwezi kuwa sawa.
 
Watz tumejawa tu na miroho mbaya,imagn mtu anatumbuliwa kwa kosa ambalo c lake ila watu waliobatizwa wanyonge ndo walikuwa wanashangilia bila kujua madhara yake,vile vile magu alikuwa n mtu wa show off kwa kujibrand kwa wananchi kama mtu anaejutoa kwao ila ukiangalia kwa jicho la kipembuzi ni kama alikuwa anawapumbaza tu,mfano unakuta kuna kero ambayo inahtaj wizara husika kuitatua ambayo ipo kwa watz wengi,ila yy anachokifanya ni kutoa burungutu la hela na kuwapa wale watu walioko mbele ya camera pale ili kutatu hyo kero bila kujua watz weng wana kero hyo hyo.Mim kwangu nampongeza ty kwa kurudisha nidhamu maofsn
 
Mwanaume mzima unakuja kuanzisha Uzi wa Kuonewa huruma.
 
Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.

Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.

Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.

Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.

Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.

Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.

Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Acha pumba kitu kilichofanya usijue uonevu upo au rushwa ni kuminya uhuru wa habari vyombo havikuwa huru kuripoti vyombo kutwa vinazunguka na yeye kuonesha yupo kanisani mara kampa omba omba milioni angeruhusu vyombo kuripoti kama kikwete tungepata jawabu
 
Ndugu hili kama ulikuwa unafuatilia malalamiko ya wananchi wenye shida ,humuhumu mitaani na tv zetu hizihizi za yuuchub ,kila mwenye shida kuonewa ulimsikia akisema ....kama baba Magufuli raisi wangu mpendwa unanisikia sikiliza hiki kilio chetu ,hapa mtaani huyu anatutesa,huyu ametuzika hela zetu na malalamiko ya aina hio ukisikia mrejesho unaona jambo limetatuliwa japo si na Raisi lakini mhusika alikwenda mbio kabla mkuu hajaingilia,kwa maana viongozi wa wananchi wakuu wa mikoa na wila na wahalmashauri walikuwa wapo karibu sana na wananchi kwa hofu lisije likavuja jambo akapokea simu ya kuwa huna kazi subiri utapangiwa kazi nyengine,wewe mkuu hapo tafuta mtu akamate kazi yake huyu hafai...Hilo Mheshimiwa magu aliliweza kwa kutumia ile sentensi ya mwalimu Nyerere usimuonee haya mtu.
Hili ndio hasa linawaliza watu ila wapuuzi wachache wakiongozwa na Mange Kimavi wanahisi kuwa watu wanahuzunika sababu ya Equity of wealth status.

Serikali ilikuwa both Proactive and Reactive. Ila sasa tunategemea kurudi kule kule ambako mahakama inawekwa mfukoni na mafisadi na matajiri halafu maskini anaporwa haki yake huku anaona. Serikali ya kulindana kwamba mwenye wadhifa anadhurumu mnyonge na kumtishia kumpoteza.

Endapo mama atakuwa na genge baya la washauri maana nina hakika utawala wa mama Samia by 100℅ utaegama kwenye ushauri wa wanaomzunguka ambao pia wana maslahi binafsi.
 
Back
Top Bottom