saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
we una roho ya kichawi siyo kwa upuuzi km huu, Mwanza kuna bata gani. We unaijua kamati ya ulinzi ya mkoa kweli? Tutajie mwenyekiti na wajumbe wake. Kwa hiyo kwa upumbavu wenu polisi alinde raia moja moja? Mkauane wapumbavu km nyie mpungue hapa nchini.Kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Geita wanaishi mkoa wa Mwanza wote .
Matukio ya kutokea Geita wao wanakula bata Mwanza.
Hii nchi inauma sana.
watu wa hiyo kanda ni km wanyama tu hawana akili, nafikiri shida ni kula samaki waliooshwa na maji na dawa ya kuoshea maiti.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.
Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.
RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?
Kila siku kuna mauaji Geita.
Na huko geita kufanyiwe maombi Wana laana za kumwaga damuTafuteni chanzo cha Mikasa yenu... Polisi mnawaonea .. Kila siku Geita!
Kuna tatizo la kijamii!
Au laana ya Watanzania....[emoji4]
Hata jiwe mwenyewe alikuwa katili sana, nadhani huo mkoa una watu wenye roho ya ibilisiUnyama wa mkoa huu ni tangu Jiwe
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Fisi amekutwa amefungwa 'CCTV Camera'
Shikamooni Geita
tunamkaribisha mdee geitaSomalia ina nafuu
Inawezekana ndugu tutawakabidhi JWTZ kipindi tunasuka Jeshi la Polisi upya.Maneno mengi!Alafu utawajiri wakina nani?unaweza kufukuza polisi wote alafu then uajiri wengine?
Mwenyekiti— mkuu wa mkoawe una roho ya kichawi siyo kwa upuuzi km huu, Mwanza kuna bata gani. We unaijua kamati ya ulinzi ya mkoa kweli? Tutajie mwenyekiti na wajumbe wake. Kwa hiyo kwa upumbavu wenu polisi alinde raia moja moja? Mkauane wapumbavu km nyie mpungue hapa nchini.
Amekuta au ni weweKamanda Msomi Martin Otieno , Tunaomba ahamishiwe kuwa RPC wa mkoa wa Geita soon, vinginevyo KAIMU RPC naye Atakuwa matatani siku Sio nyingi.
Wee bila shaka utakua na chuki binafsi na huyo RPCMkoa wa Geita ulihitaji RPC KAMA WA MKOA WA DODOMA ( Martin Otieno )TU KWA SASA NA SI VINGINEVYO.
Kwani mkuu unasema hivyo?Wee bila shaka utakua na chuki binafsi na huyo RPC
mbona enzi zile mikutano ya ndani ya chadema ilikua inazuwiwa kwa kuwa na intelligensia huko Geita imeshindikana hiyo intelligensia.Unataka kusema polisi wangenusa kuwa Milembe atauawa isiku?.
Hii sio sawa
Huo mkoa si wa Mwendazake?Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.
Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.
RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?
Kila siku kuna mauaji Geita.
Chief CV yake kwa ufupi ipoje huyu jamaaMkoa wa Geita ulihitaji RPC KAMA WA MKOA WA DODOMA ( Martin Otieno )TU KWA SASA NA SI VINGINEVYO.
Hivi yule Mkama yuko mkoa gani kweli? Dizaini ya huyo pia ndiyo wale wanaotakiwa kuwepo GeitaMkoa wa Geita ulihitaji RPC KAMA WA MKOA WA DODOMA ( Martin Otieno )TU KWA SASA NA SI VINGINEVYO.