Kwako IGP: Mkoa wa Geita mauaji ni mengi, kaimu RPC anaripoti matukio ya mauaji, RPC wa mkoa wa Geita yuko wapi?

Kwako IGP: Mkoa wa Geita mauaji ni mengi, kaimu RPC anaripoti matukio ya mauaji, RPC wa mkoa wa Geita yuko wapi?

Kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Geita wanaishi mkoa wa Mwanza wote .
Matukio ya kutokea Geita wao wanakula bata Mwanza.

Hii nchi inauma sana.
we una roho ya kichawi siyo kwa upuuzi km huu, Mwanza kuna bata gani. We unaijua kamati ya ulinzi ya mkoa kweli? Tutajie mwenyekiti na wajumbe wake. Kwa hiyo kwa upumbavu wenu polisi alinde raia moja moja? Mkauane wapumbavu km nyie mpungue hapa nchini.
 
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.

Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.

RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?

Kila siku kuna mauaji Geita.
watu wa hiyo kanda ni km wanyama tu hawana akili, nafikiri shida ni kula samaki waliooshwa na maji na dawa ya kuoshea maiti.
 
Police Hana shida, shida ni watu wa huko ni waovu na wakatili na ni wagonjwa wa akili
 
Tafuteni chanzo cha Mikasa yenu... Polisi mnawaonea .. Kila siku Geita!
Kuna tatizo la kijamii!
Au laana ya Watanzania....[emoji4]
Na huko geita kufanyiwe maombi Wana laana za kumwaga damu
 
Kanda ya ziwa yote imelaaniwa ni jamii ambayo haijaelimika,wakatili na washamba.Kila jambo la hovyo lipo katika hii kanda.

Kanda ya hovyo kabisa pumbavu.[emoji41]
 
Maneno mengi!Alafu utawajiri wakina nani?unaweza kufukuza polisi wote alafu then uajiri wengine?
Inawezekana ndugu tutawakabidhi JWTZ kipindi tunasuka Jeshi la Polisi upya.

Nyerere aliweza kulivunja Jeshi la KAR kwa kutumia Jeshi la NIGERIA inawezekana tena bila khofu.
 
we una roho ya kichawi siyo kwa upuuzi km huu, Mwanza kuna bata gani. We unaijua kamati ya ulinzi ya mkoa kweli? Tutajie mwenyekiti na wajumbe wake. Kwa hiyo kwa upumbavu wenu polisi alinde raia moja moja? Mkauane wapumbavu km nyie mpungue hapa nchini.
Mwenyekiti— mkuu wa mkoa
Katibu —RPC
Wajumbe
1. TISS MKOA
2. Uhamiaji mkoa
3. Fire mkoa
4. Magereza mkoa
Wote Hawa wote tunakuwa tunakuwa nao na bata mwanza kazi Wanafanya Geita
 
Unataka kusema polisi wangenusa kuwa Milembe atauawa isiku?.
Hii sio sawa
mbona enzi zile mikutano ya ndani ya chadema ilikua inazuwiwa kwa kuwa na intelligensia huko Geita imeshindikana hiyo intelligensia.
 
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.

Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.

RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?

Kila siku kuna mauaji Geita.
Huo mkoa si wa Mwendazake?
Wahutu toa Burundi wengi!
 
Back
Top Bottom