- Thread starter
- #61
"Eti gharama ya kuwalisha watu wakiwa majumbani mwao ni ndogo mno".
Hivi wewe unajua gharama za kuwalisha watu milioni 60.
Asubuhi, mchana na usiku?
Unajua lockdown down itakaa siku ngapi?.
JE corona isipo isha Ina maana watu watakaa ndani mwaka mzima.
Utaweza kuwalisha?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Unapenda kula sana eeh?
Soma bandiko kuelewa. Umesoma vizuri kilicho andikwa? Kama hukuona pako hivi:
"Gharama za kuwaweka watu manyumbani salama wasife kwa njaa (peke yake) tu ni ndogo mno na zitazidi kupanda kadri siku zinavyopita."
Ni kuonyesha umbumbu kuliko pitiliza kujaribu kunukuu andiko aliloandika mtu kindivyo sivyo kwa malengo au maslahi yako binafsi.
Nukuu yako ya kimbumbumbu uliitoa wapi mkuu?