Kwako Rais Magufuli sasa pasipo na kupepesa maneno: Kwa unavyoshughulika na Corona sasa - NO!

Duh! Kumbe naonekana kuna watu nawatetea?

Basi sawa mkuu hakuna nchi yenye corona ambayo haijafanya uzembe zote zimefanya uzembe kwa kutofanya kama ulivyoshauri na ndiyo maana corona imeingia nchi hizo.
 
Ulaya na China walikuwa hawana hivi vitu tena vyenye quality ya juu?

Sent using Jamii Forums mobile app


Shida ya sisi watanzania ni ujinga kupita kiasi. Makonda na mpuuzi kabisa na ameshindwa kuficha huo upuuzi wake tena bora kwa hili angekaa kimya kama huyo baba yake aliyekimbia kwa sentensi raisi tuu sasa hivi huyu raisi yuko mafichoni
 
Duh! Kumbe naonekana kuna watu nawatetea?

Basi sawa mkuu hakuna nchi yenye corona ambayo haijafanya uzembe zote zimefanya uzembe kwa kutofanya kama ulivyoshauri na ndiyo maana corona imeingia nchi hizo.

Vipi mkuu ulikuwa mmoja wa mliopewa majukumu kuuzuia ugonjwa huu kuingia nchini?

Unadhani hamkuzembea mahali mkuu?

Au mkuu unadhani kipengele hiki kinaweza kusababisha unga wako kumwagika?

Si lengo la uzi huu kutia kitumbua chake mchanga. Ndiyo maana muda wote nimekusihi sana, kuganga yajayo.
 
Wenzetu wanamaliza, sisi tunaanza!
 
naiona lockdown inakuja muda siyo mrefu kulingana na idadi ya corona kati ya leo au kesho, maana kwa zanzibar ni 23 maambukizi mapya sijui kwa bara itakuwaje?
au ndo tuseme corona imeisha
😂😂😂...!
 
Tatizo wabongo siasa imewaathiri sana na ndiyo maana hata suala hili mnalijadili kwa misukumo ya kisiasa, huu upuuzi wenu wa siasa mnauwezaga wenyewe maana kila jambo lina wataalamu wake na ndiyo maana tuna viongozi wenye kuleta siasa hadi penye kuhitajika utaalamu. Unafikiri mtu kama wewe ukipewa uongozi unaachaje kutanguliza siasa kwenye kuhitajika utaalamu.
 
Kweli wewe zwazwa. Hivi unajua kwa mujibu wa WHO kuwa binadamu zaidi ya 150,000 hufa Kila siku kwasababu mbalimbali?
Na hiyo corona duniani imeambukiza watu wangapi na wamefariki wangapi? Tangu corona ianze haijafikisha kuua hata watu 180,000 kati ya zaidi ya watu 2,400,000 walioambukizwa. Na ni zaidi ya miezi sita.
Huo uhatari wake upo wp? Na waliopona wameponaje km ugonjwa hauna dawa? Tatizo mmepandikizwa hofu!
Madhara ya lockdown nimakubwa kuliko hata ugonjwa wenyewe. Watu watakufa njaa, wengine kwakukosa huduma muhimu na zaidi ongezeko la uharifu.
Sweden na nchi nyingi wamefanikiwa bila lockdown. Marekani tunashuhudia watu wanaandamana hawataki huo upumbavu wa lockdown. Tena ktk kipindi ambacho maambukizi kwao yapo juu. Wanamaabukizi zaidi ya watu 680,000.
Fuata maelekezo ya wataalam. Kama kufa utakufa tu so jiandae, km sio corona hata uzee utakuua!
 
Tukijikita kwenye matumizi ya barakoa, hata hizi za vitambaa tunaweza kukinga kuenea kwa korona kwa kiasi kikubwa, ni swala la enforcement tu kama alivyoanza kuagiza Makonda kwa wakazi wa Dar.
Naomba kuulizà swali hizi barakoa zinavaliwa kwa muda gani haraf unazifua

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu hebu fikiria nyumba yako na familia yako ipo Manzese katikati na umeikinga kwa namna zote lakini ukaja moto ukashika nyumba zote zilizo jirani na wewe je mtapona? ni mfano ambao unaendana na Herd Immunity katika jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…