Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

Kwa hiyo na posho ya chakula mnapewa na mnataka kuongezewa....huo mshahara wenyewe wa kazi gani. Mama samia usiwasikilize hawa, wanatunyanyasa sana huku mtaani.....
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Kimsingi una hoja.
Ni wakati muafaka Serikali kushughulikia jambo hili kwa kadri ulivyolielezea l.
 
Nadhani magereza wako ICU kabisa,ukikutana nao na uniforms zao na wao utadhani wafungwa kabisa,wako Hoi bora traffic na hawa wengine wanapata vijisent, angalau ni nadhifu kidogo

Jirani yetu ni mkuu magereza mkoa x ila anatabia za kiwaki sana,Ana stress kila siku kutuletea maugomvi.
Mama Samia angalia hawa watu huku mtaani wanatusumbua najua shida ni maisha kuwa magumu
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Hapo asikali magereza sawa nyiyi wakina polisi mnazo hela nyingi za bule mbona nyiyi ni matajiri tu
 
Jirani yetu ni mkuu magereza mkoa x ila anatabia za kiwaki sana,Ana stress kila siku kutuletea maugomvi.
Mama Samia angalia hawa watu huku mtaani wanatusumbua najua shida ni maisha kuwa magumu
Ni shida sana
 
MAGEREZA WANAISHI NYUMBA ZA BATI PALE UKONGA MAGEREZA . HADI HURUMA WAO WAONGEZEWE ILA ASKARI WA KAWAIDA-BIG NO!!!!
 
wanajitiaga ujuaji tu lakini ni matacle matupu hawana lolote madeni kwa mangi mpaka ya chumvi na viberiti yaani hao jamaa uwaone tu mtaani kujifanya wananyanyasa raia, wakati mwingine ni wivu na frustration ndio vinawasumbua.
 
Mwalimu mwenye miaka 25 kazini na polisi mwenye miaka 25,hawalingania kama mafua na ebola[emoji28][emoji28]

Kikokotoo kitamtoa polisi na 17milion,ila mwalimu na 60mln.
Baada ya miaka 30 ya kazi.
Hilo nilikuwa sifahamu kwa kweli kwani ,kwa sasa basic salary ya police anayeanza kazi ni bei gani.!
 
Ila ni balaa na kikokotoo hujakisema.
Kuna watu wamefanya kazi miaka 30+ na kustaafu kisha pensheni million 12 hadi 15! Hii ni balaa hasa kwa askari hao na
 
Hujui ukisemacho binti mrembo,,,mipaka yetu tunaijua wewe unataka wao walalamike wakati wanaona wanachopewa kinakidhi angalau,,,tulia binti wenye akili wajadili na wenye mamlaka wafanyie kazi,,hakuna nidhamu mbele ya njaa
Nimenda hapo mwishoni, "hakuna nidhamu mbele ya njaa"
Huo ni ukweli kabisa.
 
Mheshiwa Raisi boresha maslahi ya askari magereza hawa wengine. Piga chini kwanza wana laana za watu wanao waonea na rushwa kila kona.
 
Mtoa mada nikupongeze endapo hautakuwa mmoja wapo wa wale wenye tabia za polisi. Katika taifa hili kitengo ambacho ni kiovu kuliko vyote ni polisi. Sijawahi na kamwe sitawahi kuwa na imani na kitengo hiki....
1. Polisi mnadhurumu haki za watu waziwazi
2. Polisi mnalinda wezi ilimradi tu mwizi awe na pesa
3. Polisi mnasumbua sana vijana wa bodaboda
4. Polisi mnalinda maovu ya wana siasa
5. Polisi wakati mwingine inatumika kudhuru na kuwanyima watu haki za kuishi
6. Polisi mnajigeuza miungu watu haswa muwapo ofisini kwenu
7. Polisi ni watu wenye unafiki wa kiwango cha hali ya juu
8. Polisi hamna huruma nyie mnajali tu pesa...
9. Faini zote zinaishia mifukoni mwenu na hapa sijui kwanini serikali isiwasimamie kwenye hili jambo
10. Mwenye pesa iliyozidi kwenu ndiye mshindi
11. Polisi mnatumika kutisha watu badala ya kuwa chombo cha kuleta msawazo
12. Polisi hamna siri, ikitokea mkapewa taarifa labda za kusaidia katika uchunguzi, basi aliyetoa taarifa ajiandae kugeuziwa kibao.
Mbali na uchafu wote huo kuna askari wachache sana ambao wana utu, wanajiheshimu na kufuata miiko ya kazi zao japo ni kwa nadra sana kuwapata. Walimu ndo wa kuonewa huruma lakini si kitengo hiki.
 
Mtoa mada nikupongeze endapo hautakuwa mmoja wapo wa wale wenye tabia za polisi. Katika taifa hili kitengo ambacho ni kiovu kuliko vyote ni polisi. Sijawahi na kamwe sitawahi kuwa na imani na kitengo hiki....
1. Polisi mnadhurumu haki za watu waziwazi
2. Polisi mnalinda wezi ilimradi tu mwizi awe na pesa
3. Polisi mnasumbua sana vijana wa bodaboda
4. Polisi mnalinda maovu ya wana siasa
5. Polisi wakati mwingine inatumika kudhuru na kuwanyima watu haki za kuishi
6. Polisi mnajigeuza miungu watu haswa muwapo ofisini kwenu
7. Polisi ni watu wenye unafiki wa kiwango cha hali ya juu
8. Polisi hamna huruma nyie mnajali tu pesa...
9. Faini zote zinaishia mifukoni mwenu na hapa sijui kwanini serikali isiwasimamie kwenye hili jambo
10. Mwenye pesa iliyozidi kwenu ndiye mshindi
11. Polisi mnatumika kutisha watu badala ya kuwa chombo cha kuleta msawazo
12. Polisi hamna siri, ikitokea mkapewa taarifa labda za kusaidia katika uchunguzi, basi aliyetoa taarifa ajiandae kugeuziwa kibao.
Mbali na uchafu wote huo kuna askari wachache sana ambao wana utu, wanajiheshimu na kufuata miiko ya kazi zao japo ni kwa nadra sana kuwapata. Walimu ndo wa kuonewa huruma lakini si kitengo hiki.
Ni kweli hayo yapo lakini huwezi amini Askari polisi ni watu wema wachache wanatia doa
 
Mtoa mada nikupongeze endapo hautakuwa mmoja wapo wa wale wenye tabia za polisi. Katika taifa hili kitengo ambacho ni kiovu kuliko vyote ni polisi. Sijawahi na kamwe sitawahi kuwa na imani na kitengo hiki....
1. Polisi mnadhurumu haki za watu waziwazi
2. Polisi mnalinda wezi ilimradi tu mwizi awe na pesa
3. Polisi mnasumbua sana vijana wa bodaboda
4. Polisi mnalinda maovu ya wana siasa
5. Polisi wakati mwingine inatumika kudhuru na kuwanyima watu haki za kuishi
6. Polisi mnajigeuza miungu watu haswa muwapo ofisini kwenu
7. Polisi ni watu wenye unafiki wa kiwango cha hali ya juu
8. Polisi hamna huruma nyie mnajali tu pesa...
9. Faini zote zinaishia mifukoni mwenu na hapa sijui kwanini serikali isiwasimamie kwenye hili jambo
10. Mwenye pesa iliyozidi kwenu ndiye mshindi
11. Polisi mnatumika kutisha watu badala ya kuwa chombo cha kuleta msawazo
12. Polisi hamna siri, ikitokea mkapewa taarifa labda za kusaidia katika uchunguzi, basi aliyetoa taarifa ajiandae kugeuziwa kibao.
Mbali na uchafu wote huo kuna askari wachache sana ambao wana utu, wanajiheshimu na kufuata miiko ya kazi zao japo ni kwa nadra sana kuwapata. Walimu ndo wa kuonewa huruma lakini si kitengo hiki.
Una uchunguuuuuuu 🤣🤣 ndo hao hao wanakulinda na kufanya unakuwa salama kwa muda mwingi. Uchafu wao mwingine ndio amani ya nchi hii
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Mishahara inaenda kuongezwa so stay tuned
 
Binafsi sijawahi chukia kazi ya mtu ila nachukia tabia ya mtu.
Tabia ya kishetani haifai popote pasipo kujali aina ya wito ama kazi
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Mlipwe nini nyie ni polisisiem?
 
Back
Top Bottom