Kwakuwa alituvusha salama kutoka Awamu ya Tano, nashauri daraja la Tanzanite liitwe Samia

Kwakuwa alituvusha salama kutoka Awamu ya Tano, nashauri daraja la Tanzanite liitwe Samia

Sema hivi, kaiwezesha familia yako kuvuka salama kutoka huko vitani ulikokuwa na unaendelea kupata ugari wako. Vipi kwa wengine na majirani zako una taarifa zao wanavyolala na kuamka?
 
Kwani kihistoria like eneo linaitwaje, kwa kuhifadhi kumbukumbu kwanini tusitumie jina lenye historia ya eneo husika kwa ajili ya vizazi vijavyo
 
Ni shauri wangu

Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.

Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
OOOOOOOOOOOOOOIOH muy GOD WHAT IS THIS??? kwa nini lisiitwe aliyelivujia jasho. Hilo daraja Liitwe John Pombe Joseph Magufuli. Period. Nyie vijana mnaolipwa msituletree njaa zenu hapa!
 
Ni shauri wangu

Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.

Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Kwa kumkumbuka kama dikteta wa kwanza mwanamke nchini?!
 
Aliye tuvusha salama ni yeye ama hao tunaoambiwa na kusikia humu mitandaoni wanaitwa, "Haya nendeni mkatekeleze mliyo yasema."
 
Ni shauri wangu

Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.

Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Ebu tuodolee upuuzi!
Kwa kazi gani aliyofanya!
Hata akili ndogo ya kubuni project yoyote hana, na hatakuwa!
Hadi leo anasafiria nyota ya marehemu JPM!
Abuni vyake , afanye miradi tuione
Otherwise akimaliza hiki kiporo cha Magufuri aende zake Zenj
 
Watu bwana! Yaani miezi michache hivi mnataka kila kitu kwa jina lake - mara hela zenye sura yake, mara daraja mara.... Ni mapema mno, Kwa kuwa amesema atagombea kipindi kijacho, nashauri tumpime kwanza na kipindi kijacho tutaona namna ya kuendelea. Kwa maoni yangu ni vyema haya mambo yakafanyika mtu ameshamaliza uongozi wake na pengine hata kuondoka duniani- hapo anapata heshima ya milele ambayo hawezi tena kuiharibu. Kuna watu wanaweza kuwa wamefanya mazuri wakiwa madarakani lakini baada ya kuondoka wakafanya mabaya zaidi wao wenyewe au kwa kuwatumia ndugu zao.
Nadhani wenye utaratibu wa kutangaza watakatifu wana utaratibu unaofaa - mtu keshakufa, nafasi ya kufanya mabaya haipo tena
 
Haya mambo ya kuita kila kitu kwa majina ya watu sikubaliani nayo kabisa huu ujinga miaka ya nyuma haukuwepo sana lakini umeibuka kwa kasi miaka ya tisini, zamani barabara nyingi na maeneo mengi ya umma yalikuwa yakiitwa kwa uhalisia wake mfano port access road,pugu road, Morogoro road, Dar es salaam international airport n.k lakini leo hii kila kitu majina tu ya watu utafikiri wao ndio wafadhili wa hiyo miradi kumbe ni pesa za umma.
Itafikia wakati watu wataanza kutoa majina ya mahawala zao.
 
Ni shauri wangu

Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.

Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Tanzanite sounds better, Samia ajenge la kwake after all bado kuna infrastructure kibao za kujenga tunaweza kuita jina la Rais Samia plus shule, majengo ya ofisi za serikali, mashamba, mifugo, wanyama pori kama faru akiitwa faru Samia sio mbaya hata ndege mpya inayokuja mbona we still have a lot and she has ample time to fulfill her dreams and people's dreams.
 
OOOOOOOOOOOOOOIOH muy GOD WHAT IS THIS??? kwa nini lisiitwe aliyelivujia jasho. Hilo daraja Liitwe John Pombe Joseph Magufuli. Period. Nyie vijana mnaolipwa msituletree njaa zenu hapa!
Hilo daraja hajavuja jasho Magufuli, go back to time, mkataba wa mkopo usio na riba ulisaoniwa wakatiJK ndio anamalizia ngwe yake ya pili by that time mwendazake alikuwa waziri. Sikatai juhudi zake kuhakikisha analijenga wakati ameingia madarakani but pesa tulipewa ya bure ni mkopo usio na riba tulipewa na Korea.
 
Wabongo bwana. Hivi huyu bi mkubwa kuna kipi cha maana alichofanya hadi sasa! Tumpe muda jamani
wengi wanafia hata lisilokuwepo mradi tu yeye ni alternative ya Magufuli. Samia akikaa miaka minne yote ijayo bila kufanya lolote bado atasifiwa tu kwa sababu hiyo, na hata akifanya hovyo kabisa bado atasifiwa tu.
 
Back
Top Bottom