Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama inakuuma pepea na feni..wakuja siongei naoWajinga bado wapo wengi sana, ndo umeandika nini
...Jk akiri hana
We ke sio?Kama inakuuma pepea na feni..wakuja siongei nao
OOOOOOOOOOOOOOIOH muy GOD WHAT IS THIS??? kwa nini lisiitwe aliyelivujia jasho. Hilo daraja Liitwe John Pombe Joseph Magufuli. Period. Nyie vijana mnaolipwa msituletree njaa zenu hapa!Ni shauri wangu
Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.
Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Kwa kumkumbuka kama dikteta wa kwanza mwanamke nchini?!Ni shauri wangu
Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.
Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Ebu tuodolee upuuzi!Ni shauri wangu
Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.
Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Daraja la MKAPAItapendeza...
Wakuja ni wakuja tu..ongea na watu wa level yako ya wakuja na miaccent ya wakuaj😂😂😂We ke sio?
Tanzanite sounds better, Samia ajenge la kwake after all bado kuna infrastructure kibao za kujenga tunaweza kuita jina la Rais Samia plus shule, majengo ya ofisi za serikali, mashamba, mifugo, wanyama pori kama faru akiitwa faru Samia sio mbaya hata ndege mpya inayokuja mbona we still have a lot and she has ample time to fulfill her dreams and people's dreams.Ni shauri wangu
Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili.
Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo tozo maalum katika Tanzanite ili, kama ilivyo ya korosho, au nyingine, iwekezwe kwenye miundombinu ya huko, Dar isibebe fahari ya eneo jingine.
Hilo daraja hajavuja jasho Magufuli, go back to time, mkataba wa mkopo usio na riba ulisaoniwa wakatiJK ndio anamalizia ngwe yake ya pili by that time mwendazake alikuwa waziri. Sikatai juhudi zake kuhakikisha analijenga wakati ameingia madarakani but pesa tulipewa ya bure ni mkopo usio na riba tulipewa na Korea.OOOOOOOOOOOOOOIOH muy GOD WHAT IS THIS??? kwa nini lisiitwe aliyelivujia jasho. Hilo daraja Liitwe John Pombe Joseph Magufuli. Period. Nyie vijana mnaolipwa msituletree njaa zenu hapa!
wengi wanafia hata lisilokuwepo mradi tu yeye ni alternative ya Magufuli. Samia akikaa miaka minne yote ijayo bila kufanya lolote bado atasifiwa tu kwa sababu hiyo, na hata akifanya hovyo kabisa bado atasifiwa tu.Wabongo bwana. Hivi huyu bi mkubwa kuna kipi cha maana alichofanya hadi sasa! Tumpe muda jamani