wala siwezi kulibishia hilo.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio habari yenye akili zaidi. Tanganyika ilikufa mwaka sitini na nne.Wezi mnajifanya mna akili sana.Mkae mkijua kuwa hata siku moja Tanganyika haitaweza kubadilishwa na mtu yeyote au kikundi chochote cha mamlaka au watu binafsi kwa misingi ya dini,ukabila,rangi na ukanda.Hata siku moja Tanganyika haiwezi kuwa Somalia au Sudan,jitahidini kufanya wizi wenu ila amani yetu msiichezee kwani Mungu kaiumba Tanganyika kwa makusudi yake.
Kama Ethiopia wangekuwa wananufaika kweli kwa nini raia wake kila siku wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta makazi na maisha?Kila siku kesi za wahamiaji haramu zinawahusu tu Ethiopia kwa nini wakati wana uchumi mzuri.Mambo ya makaratasi na uhalisia wa maisha ni vitu viwili tofauti.Watuoneshe Cha maana walichofanya Hadi wanaota mvi vinginevyo hizi sio zama za backward minded kama hao.
Just imagine Ethiopia Ili kuvutia Uwekezaji wao wanafuata kabisa import duty za Mitambo,wanatoa tax exemption nk Sasa ingekuwa hayo yanafanyika Tanzania si wangeanza kuharisha Kwa midomo?
Kuchukua mawazo ya watu kama hao ni kuendelea kuwa maskini,Samia amekataa huo ujinga View attachment 2685497
Ni muungano wa inchi ipi na ipi ?Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio habari yenye akili zaidi. Tanganyika ilikufa mwaka sitini na nne.
HGA siyo mkataba wa kibishara, HGA huwa ni masharti ya nchi mwenyeji (inapofanyika hiyo biashara).Ni azimio la makubaliano ya uwekezaji. Mikataba inakwenda kusainiwa baada ya azimio hilo kuwa limeshapita bungeni.
Imepitishwa IGA bungeni na inatoa baraka ya kupitishwa mikataba ya kibiashara HGAs.
CCM ni genge la wahuniKila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Sioni tija unapotumia u communist kama hoja ya kujitetea. Thats typically stupid.Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....
Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..
Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Walichelewa kufungua uchumi Kwa sababu miaka Mingi walikuwa Wajamaa so wanafanya wakati Nchi imesha burst.Tanzania hatuhitaji kusubiria tufike huko.Kama Ethiopia wangekuwa wananufaika kweli kwa nini raia wake kila siku wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta makazi na maisha?Kila siku kesi za wahamiaji haramu zinawahusu tu Ethiopia kwa nini wakati wana uchumi mzuri.Mambo ya makaratasi na uhalisia wa maisha ni vitu viwili tofauti.
Ona Sasa unavyorukaruka kama maharage ya Mbeya!HGA siyo mkataba wa kibishara, HGA huwa ni masharti ya nchi mwenyeji (inapofanyika hiyo biashara).
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaohusu nchi mbili TANGANYIKA na ZANZIBAR.Kama Zanzibar ina prevail Tanganyika iko wapi?Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio habari yenye akili zaidi. Tanganyika ilikufa mwaka sitini na nne.
Vyombo gami hivyo na vyombo vya nchi gani??Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vimeshindwa kumbambana na wezi, hadi tuwape Waarabu. Tuombe MUNGU nchi isichokozwe na majirani.
Wazee hao wanatumika katika kujenga hoja mbele ya jamii kwamba kama na hawa nao wana mashaka na DPW basi hawapaswi kusikilizwa.Hata kama hawajalipwa ,hao ni Wajamaa minded people ambao hawanaga Msaada wowote Wala hawajui uchumi zaidi ya kuongozaa Kwa hisia na propaganda..
Sasa hao wazee Wana nini Cha kuonesha Kwa miaka Yao yote ya utumishi ikiwa hadi.leo hii madawati na vyoo viliwashinda?
Wakae Kwa kutumia wafundishwe Uchumi wa kuwafanyia Wananchi matajiri,hao ni aina ya watu wanaotaka wenzao wazisi kuwa maskini Ili wao waendee kuwatawal.
Elimu hizi zinatupeleka shimoni Mwenyezi Mungu tunusuru sisi watoto wako.Walichelewa kufungua uchumi Kwa sababu miaka Mingi walikuwa Wajamaa so wanafanya wakati Nchi imesha burst.Tanzania hatuhitaji kusubiria tufike huko.
Ukiangalia list yako ni ya Wazee ambao ni frustrated maishani, hawana lolote la kujivunia na wana uchungu kwamba wenzao wanafanya makubwaHao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?
Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.
Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?
Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Kilichopita bungeni ni Agreement of IGA, na baada ya hapo kinachofuata ni kusainiwa kwa mikataba ya kibiashara baada ya kufanyika mijadala ya kina ya pande mbili, wawekezaji na wafanya biashara wa ndani kupitia wanasheria wa serikali.HGA siyo mkataba wa kibishara, HGA huwa ni masharti ya nchi mwenyeji (inapofanyika hiyo biashara).
Watu ma failures eti ndio wakupe Ushauri ni upuuzi.Wazee hao wanatumika katika kujenga hoja mbele ya jamii kwamba kama na hawa nao wana mashaka na DPW basi hawapaswi kusikilizwa.
Ni vita yenye umafia mwingi wa chini kwa chini na naamini usalama wa Taifa wapo kazini kwa kipindi chote hiki cha habari za uwekezaji wa hii kampuni.
Eti ndio washauri wengine wanategemea sadaka Sasa watu wa hivyo na mambo ya biashara wapi na wapi ππUkiangalia list yako ni ya Wazee ambao ni frustrated maishani, hawana lolote la kujivunia na wana uchungu kwamba wenzao wanafanya makubwa
Umeifanyia nini Tanzania tegemezi wewe?Eti ndio washauri wengine wanategemea sadaka Sasa watu wa hivyo na mambo ya biashara wapi na wapi ππ
Mimi ni mfanyabiashara nimeajiri watu wa 3 Hadi Sasa na Niko mbioni kuongeza uzalishajiUmeifanyia nini Tanzania tegemezi wewe?