Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kushindwa kuongea ni kitu tofauti kabisa na kushindwa kusoma mistari michache. Huyu kashindwa kusoma hata baada ya kuachwa ajikusanye
Kama hawezi kucontrol emotions mbele ya camera, bora tu abakie na ubunge wake akakae benchi la nyuma kabisa
Kama hawezi kucontrol emotions mbele ya camera, bora tu abakie na ubunge wake akakae benchi la nyuma kabisa