Kwani Makonda alitenda dhambi ngapi? Mbona anataka kuombewa na kila mtu?

Kwani Makonda alitenda dhambi ngapi? Mbona anataka kuombewa na kila mtu?

Sini ilitumika kama hadaa toka mkoloni anajiandaa kutukalia. Itaendelea kutumika kwa hadaa na watu wanaotafuta public sympathy!

Tukumbushane! Wakati wa mambo ya bandari - viongozi wa dini waliambiwa siasa na siasa zisichanganywe! Leo ni hao viongozi wa dini wakitumika kuombea shughuli za wanasiasa!! Ni viongozi hao huitwa kwenye hafla za kisiasa na kiserikali!!
 
Sini ilitumika kama hadaa toka mkoloni anajiandaa kutukalia. Itaendelea kutumika kwa hadaa na watu wanaotafuta public sympathy!

Tukumbushane! Wakati wa mambo ya bandari - viongozi wa dini waliambiwa siasa na siasa zisichanganywe! Leo ni hao viongozi wa dini wakitumika kuombea shughuli za wanasiasa!! Ni viongozi hao huitwa kwenye hafla za kisiasa na kiserikali!!
Noma sana !
 
Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!

Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?

Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .

Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.

Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI

View attachment 2831702View attachment 2831703
yaani kuombewa kwa mtu nako kunakuuma ndugu dah!!!

Mbona hii chuki inaenda mbali sana..

Na hiyo ni mambo ya Mungu na Mungu ni wa wote....

Wewe kama umeamua kutafuta pesa na porojo za siasa si ufanye bidii zaidi ufanikiwe..

Wengine wakiamua kumtafuta Neema na Baraka za Mungu au mambo mengine wew inakuhusu nini au kusumbua nini?
 
Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!

Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?

Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .

Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.

Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI

View attachment 2831702View attachment 2831703
Vipi walio kwenda hija mtu na dakitari wake walifanya dhambi gani?
 
yaani kuombewa kwa mtu nako kunakuuma ndugu dah!!!

Mbona hii chuki inaenda mbali sana..

Na hiyo ni mambo ya Mungu na Mungu ni wa wote....

Wewe kama umeamua kutafuta pesa na porojo za siasa si ufanye bidii zaidi ufanikiwe..

Wengine wakiamua kumtafuta Neema na Baraka za Mungu au mambo mengine wew inakuhusu nini au kusumbua nini?
Huyo taariha! Anajidai mtoa hukumu!
Hawa CHADEMA wanajidaigi watakatifu mara Mungu fundi!
Sasa wakimuona Makonda anatrend roho inawauma!
 
Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!

Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?

Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .

Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.

Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI

View attachment 2831702View attachment 2831703
Umesahau na hii
FB_IMG_1701498100485.jpg
 
Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!

Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?

Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .

Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.

Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI

View attachment 2831702View attachment 2831703
Naona Makonda kawasahaurisha maswala ya bandari na katiba mpya

Well and good
 
Huyo taariha! Anajidai mtoa hukumu!
Hawa CHADEMA wanajidaigi watakatifu mara Mungu fundi!
Sasa wakimuona Makonda anatrend roho inawauma!
Huyo taariha! Anajidai mtoa hukumu!
Hawa CHADEMA wanajidaigi watakatifu mara Mungu fundi!
Sasa wakimuona Makonda anatrend roho inawauma!
Yaani wamesahau kabisa kwamba siasa ni science na ni taaluma vilevile....

kulalamika, kuzira au kuchukia washindani wao hakubadili chochote kwa wanaofanya siasa za malengo. Na hawa wasipojipanga tutawapanga vizuri sana...
 
Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!

Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?

Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .

Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.

Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI

View attachment 2831702View attachment 2831703
Tambua makonda hajatembelea mtumishi was Mungu hata mmoja Hadi sasa zaidi ya watumishi was serikali wa siri kama hao!!!

Guility ya yaliyomjaa moyoni ndio inayomtafuna akijitahidi kujisafisha kwenye jamii!

Hata hivyo yupo kwenye mission aliyotumwa na kitengo!!

We huoni impact yake inaanza ku shape chama na mabadiliko kwenye serikali!!?
 
Ila chadema aliyemleta Makonda amewaweza kweli
 
Back
Top Bottom