Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Acheni kulopoka lopoka, kachukueni ushahidi mfungue kesi kilamtu atawaunga mkono.Ushahidi wote Marekani inao
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kulopoka lopoka, kachukueni ushahidi mfungue kesi kilamtu atawaunga mkono.Ushahidi wote Marekani inao
Lazima aombewe kujikinga na watu wenye roho za kwanini kama chadema!Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
He feels guiltyKiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Jamii gani anajisafisha nayo? Wewe baki na Imani yako ambayo haina uhalisia!Tambua makonda hajatembelea mtumishi was Mungu hata mmoja Hadi sasa zaidi ya watumishi was serikali wa siri kama hao!!!
Guility ya yaliyomjaa moyoni ndio inayomtafuna akijitahidi kujisafisha kwenye jamii!
Hata hivyo yupo kwenye mission aliyotumwa na kitengo!!
We huoni chongolo out,halafu namba mbili haonekani!!?
He feels guilty anajikuta anataka kusalimia kila mtu.Acheni kulopoka lopoka, kachukueni ushahidi mfungue kesi kilamtu atawaunga mkono.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ila kiukweli jamaa anatanga tanga sana.Jamii gani anajisafisha nayo? Wewe baki na Imani yako ambayo haina uhalisia!
Hamna lolote! Baraka ziko naye kokote aendako!He feels guilty
Senzo 2000's
Ila kiukweli jamaa anatanga tanga sana.
Sayansi yenyewe ndio hii ?Yaani wamesahau kabisa kwamba siasa ni science na ni taaluma vilevile....
kulalamika, kuzira au kuchukia washindani wao hakubadili chochote kwa wanaofanya siasa za malengo. Na hawa wasipojipanga tutawapanga vizuri sana...
Hahaha sasa huyu hawamfati yeye anawafata.......wanashindwa kumkimbia tuMbona Askofu Dr Shoo alikuwa anaenda Gerezani kumuombea Mbowe Wakati wa Ugaidi?!
Mtajuana wenyewe........Karma itawahukumuWewe ulojaa wivu na husda!
Umeongea ukweli.Tambua makonda hajatembelea mtumishi was Mungu hata mmoja Hadi sasa zaidi ya watumishi was serikali wa siri kama hao!!!
Guility ya yaliyomjaa moyoni ndio inayomtafuna akijitahidi kujisafisha kwenye jamii!
Hata hivyo yupo kwenye mission aliyotumwa na kitengo!!
We huoni chongolo out,halafu namba mbili haonekani!!?
Mmejitia aibu sana. Hata manjishtukiaIla chadema aliyemleta Makonda amewaweza kweli
Mahakama hizihizi za akina Thomas Simba ?Acheni kulopoka lopoka, kachukueni ushahidi mfungue kesi kilamtu atawaunga mkono.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mafisadi Walishauza Bandari kitambo kabla ya MakondaNaona Makonda kawasahaurisha maswala ya bandari na katiba mpya
Well and good
Labda kama Mungu ni shangazi yakeHamna lolote! Baraka ziko naye kokote aendako!
Wasiojulikana mmerudi baada ya muda mrefu wa likizo bila malipoYaani wamesahau kabisa kwamba siasa ni science na ni taaluma vilevile....
kulalamika, kuzira au kuchukia washindani wao hakubadili chochote kwa wanaofanya siasa za malengo. Na hawa wasipojipanga tutawapanga vizuri sana...
HahahahaaLabda kama Mungu ni shangazi yake
ni hii 👇Sayansi yenyewe ndio hii ?
View attachment 2831749
HeheheSini ilitumika kama hadaa toka mkoloni anajiandaa kutukalia. Itaendelea kutumika kwa hadaa na watu wanaotafuta public sympathy!
Tukumbushane! Wakati wa mambo ya bandari - viongozi wa dini waliambiwa siasa na siasa zisichanganywe! Leo ni hao viongozi wa dini wakitumika kuombea shughuli za wanasiasa!! Ni viongozi hao huitwa kwenye hafla za kisiasa na kiserikali!!