Wapi vipi sasa?Acheni unafiki mlimwombea mabaya sana lakini wapi!
Umempiga nyundo ya utosi huyo bawachaMbona Askofu Dr Shoo alikuwa anaenda Gerezani kumuombea Mbowe Wakati wa Ugaidi?!
Wauza unga wenyewe ndio wale akina Nyandu Tozi !
Noma sana !Sini ilitumika kama hadaa toka mkoloni anajiandaa kutukalia. Itaendelea kutumika kwa hadaa na watu wanaotafuta public sympathy!
Tukumbushane! Wakati wa mambo ya bandari - viongozi wa dini waliambiwa siasa na siasa zisichanganywe! Leo ni hao viongozi wa dini wakitumika kuombea shughuli za wanasiasa!! Ni viongozi hao huitwa kwenye hafla za kisiasa na kiserikali!!
Tatizo hao wanasumbuliwa na mengi! Ukanda,udini na ukabila! Wapuuzi sana!Umempiga nyundo ya utosi huyo bawacha
Umekurupuka kibwege sana !Umempiga nyundo ya utosi huyo bawacha
Umeandika uongo kwa faida ya nani ?Tatizo hao wanasumbuliwa na mengi! Ukanda,udini na ukabila! Wapuuzi sana!
yaani kuombewa kwa mtu nako kunakuuma ndugu dah!!!Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Nyinyi tunawajua mmejaa ukabila na ukanda wa kipumbavu!Umeandika uongo kwa faida ya nani ?
Vipi walio kwenda hija mtu na dakitari wake walifanya dhambi gani?Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Huyo taariha! Anajidai mtoa hukumu!yaani kuombewa kwa mtu nako kunakuuma ndugu dah!!!
Mbona hii chuki inaenda mbali sana..
Na hiyo ni mambo ya Mungu na Mungu ni wa wote....
Wewe kama umeamua kutafuta pesa na porojo za siasa si ufanye bidii zaidi ufanikiwe..
Wengine wakiamua kumtafuta Neema na Baraka za Mungu au mambo mengine wew inakuhusu nini au kusumbua nini?
Umesahau na hiiKiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Naona Makonda kawasahaurisha maswala ya bandari na katiba mpyaKiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Mbowe si alikuwa Gaidi kwani Makonda naye ni Gaidi ?Nyinyi tunawajua mmejaa ukabila na ukanda wa kipumbavu!
Huyo Mbowe alikiwa anatembelewa na Viongozi wa dini gerezani mbona hamkuongda!
Huyo taariha! Anajidai mtoa hukumu!
Hawa CHADEMA wanajidaigi watakatifu mara Mungu fundi!
Sasa wakimuona Makonda anatrend roho inawauma!
Yaani wamesahau kabisa kwamba siasa ni science na ni taaluma vilevile....Huyo taariha! Anajidai mtoa hukumu!
Hawa CHADEMA wanajidaigi watakatifu mara Mungu fundi!
Sasa wakimuona Makonda anatrend roho inawauma!
Ndio akili yako ilivyokudanganya ?Naona Makonda kawasahaurisha maswala ya bandari na katiba mpya
Well and good
Tambua makonda hajatembelea mtumishi was Mungu hata mmoja Hadi sasa zaidi ya watumishi was serikali wa siri kama hao!!!Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Nje ya madaVipi walio kwenda hija mtu na dakitari wake walifanya dhambi gani?