Kwani Makonda alitenda dhambi ngapi? Mbona anataka kuombewa na kila mtu?

Lazima aombewe kujikinga na watu wenye roho za kwanini kama chadema!
 
He feels guilty

Senzo 2000's
 
Jamii gani anajisafisha nayo? Wewe baki na Imani yako ambayo haina uhalisia!
 
Yaani wamesahau kabisa kwamba siasa ni science na ni taaluma vilevile....

kulalamika, kuzira au kuchukia washindani wao hakubadili chochote kwa wanaofanya siasa za malengo. Na hawa wasipojipanga tutawapanga vizuri sana...
Sayansi yenyewe ndio hii ?
 
Umeongea ukweli.
Niliwambia watu wakabisha
 
Yaani wamesahau kabisa kwamba siasa ni science na ni taaluma vilevile....

kulalamika, kuzira au kuchukia washindani wao hakubadili chochote kwa wanaofanya siasa za malengo. Na hawa wasipojipanga tutawapanga vizuri sana...
Wasiojulikana mmerudi baada ya muda mrefu wa likizo bila malipo
 
Hehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…